Tangu mvua ianze sijasikia "kataa ndoa" wala "fear women" humu ndani.

Sainya Jnr

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2019
Posts
467
Reaction score
1,112
Leo sisalimii
Moja kwa moja kwenye hoja.

Aisee leo nimepata kugundua kitu fulani hapa ulimwenguni.

Mara nyingi hasira za wanawake huwa zinakuwa ni ushindi au furaha kwa wanaume. Immediately a woman gets mad, she cheats with another man, it's men who are winning.

If women want revange, she cheats and it's still men winning.

Women get bored in a relationship and find another man to cheat with.
STILL MEN WINNING.

Lakini hapo Dar miongoni mwenu huwa mnadate na mashetani baada ya kuwakemea.

Na hakuna mwanamke mwenye hapendi pesa.

We kazi yako ni kuomba tu umpate mwenye hapendi pesa mingi.

Demu anameza Piriton baada iende tumboni yenyewe inakwama kifuani.
SEMA MAZIWA KULALA😔😔😔

Baadeni naona zishaanza kushuka 🍻 🍻 🍻
 
Wapo Kazini Wanalamba Asali, Ndani Ya Vibuyu
Kimya !!!
 
Reactions: EEX
Hapo kwenye maziwa kulala unatafuta vita.Labda ungetumia maziwa kunyauka kupunguza ukali wa maneno.
 
Mbona mada yao ilikuwepo leo, tena sio moja... Ni vichwa vya habari tu ndio vinabadilika... Mfano ile ya "wanaume tusinunue vilivyokuwa vimetumika"
 
Hapo kwenye maziwa kulala unatafuta vita.Labda ungetumia maziwa kunyauka kupunguza ukali wa maneno.
Wengi walimeza Piriton then zikakwama kifuani
 
Reactions: EEX
Mbona mada yao ilikuwepo leo, tena sio moja... Ni vichwa vya habari tu ndio vinabadilika... Mfano ile ya "wanaume tusinunue vilivyokuwa vimetumika"
Kumbe😁
 
Nimekukosea nn broo🤣
Acha maajuza wetu, Wamekukosea ninii?
Hawana shida na mtu, kwa mileage yao kwenye ubao, ni wakuheshimu..

Wewe mwanamke anayekuja kukusalimia kabeba mkaa utampata wapi dunia hii?
Hata siku zao zikifika hawakusumbui Peds, wao wanavikaniki vyao vya kufua.
 
Mkuu futa hii tuanze upya🤣🤣
 
🤣🤣🤣 mods mpeni huyu BAN, anafanya uzalilishaji
 
Tatizo lenu badala ya kuwaza mvua hizi nipande nn shambani mnawaza nikampande nani?.
 
Subir kitawalamba kitu.......waambie wasikimbie matokeo ya mechi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…