Kwa mujibu wa katiba ya Japan kiongozi mkuu wa executive ni waziri mkuu.
Tangu mwaka 2000, Japan imeongozwa na mawaziri wakuu 11, kati ya hao 8 wameongoza chini ya mwaka 1 na nusu.
1. Yoshiro Mori: 5/4/2000 - 25/4/2001
Sawa na mwaka 1 na siku 22
2. Junichiro Koizumi: 26/4/2001 - 26/9/2006
Sawa na miaka 5 na siku 154.
3. Shinzo Abe: 26/9/2006 - 26/9/2007
Sawa na mwaka 1 na siku 1.
4. Yasuo Fukuda: 26/9/2007 - 24/9/2008
Sawa na siku 365
5. Tarao Aso: 24/9/2008 - 16/09/2009
Sawa na siku 358
6. Yukio Hatoyama: 16/09/2009 - 08/06/2010
Sawa na siku 266
7. Naoto Kan: 8/6/2010 - 2/9/2011
Sawa na mwaka 1 na siku 87
8. Yoshihiko Noda: 2/9/2011 - 26/12/2012
Sawa na mwaka 1 na siku 116.
9. Shinzo Abe: 26/12/2012 - 16/9/2020
Alirudi tena kwa mara ya pili akaongoza kwa miaka 7 na siku 266.
10. Yoshihide Suga: 16/9/2020 - 4/10/2021.
Sawa na mwaka 1 na siku 19
11. Fumio Kishida: 4/10/2021 - hadi sasa
Sababu kubwa za awamu kubadilika haraka haraka ni mbili;-
1. Kushuka kwa kukubalika na wananchi (fall of approval ratings). Mjapan akisoma negative comments mitandaoni kuhusu yeye siku 2 tu anajiuzulu.
2. Kushindwa uchaguzi. Mjapan akishindwa uchaguzi, kabla hata ya kumaliza kuhesabu kura anatangaza kushindwa.
My take:
Siyo hapa kwetu Tanzania mtu anakaa madarakani muhula wa kwanza halafu wenyewe kwa ujinga wetu tunaanza kuomba aongezewe muhula mwingine (maarufu kama mitano tena). Halafu anaondoka madarakani anakabidhi nchi kwa jamaa zake.
Ebo! Ikulu kusiwe mahala pa kuishi kwa uhakika wala mazoea.
Kama mtu analitendea haki taifa sawa. Lkn siyo kwasbb za kinafiki na kizandiki
Tangu mwaka 2000, Japan imeongozwa na mawaziri wakuu 11, kati ya hao 8 wameongoza chini ya mwaka 1 na nusu.
1. Yoshiro Mori: 5/4/2000 - 25/4/2001
Sawa na mwaka 1 na siku 22
2. Junichiro Koizumi: 26/4/2001 - 26/9/2006
Sawa na miaka 5 na siku 154.
3. Shinzo Abe: 26/9/2006 - 26/9/2007
Sawa na mwaka 1 na siku 1.
4. Yasuo Fukuda: 26/9/2007 - 24/9/2008
Sawa na siku 365
5. Tarao Aso: 24/9/2008 - 16/09/2009
Sawa na siku 358
6. Yukio Hatoyama: 16/09/2009 - 08/06/2010
Sawa na siku 266
7. Naoto Kan: 8/6/2010 - 2/9/2011
Sawa na mwaka 1 na siku 87
8. Yoshihiko Noda: 2/9/2011 - 26/12/2012
Sawa na mwaka 1 na siku 116.
9. Shinzo Abe: 26/12/2012 - 16/9/2020
Alirudi tena kwa mara ya pili akaongoza kwa miaka 7 na siku 266.
10. Yoshihide Suga: 16/9/2020 - 4/10/2021.
Sawa na mwaka 1 na siku 19
11. Fumio Kishida: 4/10/2021 - hadi sasa
Sababu kubwa za awamu kubadilika haraka haraka ni mbili;-
1. Kushuka kwa kukubalika na wananchi (fall of approval ratings). Mjapan akisoma negative comments mitandaoni kuhusu yeye siku 2 tu anajiuzulu.
2. Kushindwa uchaguzi. Mjapan akishindwa uchaguzi, kabla hata ya kumaliza kuhesabu kura anatangaza kushindwa.
My take:
Siyo hapa kwetu Tanzania mtu anakaa madarakani muhula wa kwanza halafu wenyewe kwa ujinga wetu tunaanza kuomba aongezewe muhula mwingine (maarufu kama mitano tena). Halafu anaondoka madarakani anakabidhi nchi kwa jamaa zake.
Ebo! Ikulu kusiwe mahala pa kuishi kwa uhakika wala mazoea.
Kama mtu analitendea haki taifa sawa. Lkn siyo kwasbb za kinafiki na kizandiki