Tangu mwezi wa kumi uanze, wananchi tunafurahia neema ya pesa nyingi sana

Tangu mwezi wa kumi uanze, wananchi tunafurahia neema ya pesa nyingi sana

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Nashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali.

Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imara kupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu ni Kwa chama tawala sababu wananchi tunafurahia nchi
 
Mimi nawasikitikia tu vijana wenzangu maana now nikama mfumo umewakataa hasahasa wasomi.
Hii inatokana na mifumo mibovu ya viongozi tuliokuwa nao. Viongozi wapenda rushwa, wasiojali wengine ,walafi wa madaraka na wanaopenda matumbo yao na yawatoto wao.
Kwa nini vijana kwa sababu ndio kizazi cha tanzania ya kesho. Mimi nadhani kwa miaka ijayo tutakuja kuwa na kizazi cha ajabu aijawahi kutokea
 
Nashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali.

Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imarakupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu ni Kwa chama tawala sababu wananchi tunafurahia nchi
toka mpira hadi uchawa unapanda kwa kasi sana
 
Nashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali.

Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imara kupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu ni Kwa chama tawala sababu wananchi tunafurahia nchi
Kuuuuuma la mama yako
 
Nashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali.

Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imara kupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu ni Kwa chama tawala sababu wananchi tunafurahia nchi
Umekalisha pumbu na puru lako chafu lenye kichaka cha vinyweleo na kinyesi kwenye kochi la shemeji yako baada ya kuvimbiwa kiporo cha viazi na bamia unaandika upumbavu tu humu ,
Mbwa we !
 
Umekalisha pumbu na puru lako chafu lenye kichaka cha vinyweleo na kinyesi kwenye kochi la shemeji yako baada ya kuvimbiwa kiporo cha viazi na bamia unaandika upumbavu tu humu ,
Mbwa we !
Moderator naombeni shugulikieni huyu masikini
 
Nashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali.

Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imara kupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu ni Kwa chama tawala sababu wananchi tunafurahia nchi
heri yako wee uliyelambishwa za uchaguzi wa serikali za mitaani mapemaaaa, unaona kama kila mtu kapewa duh!
 
Nashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali.

Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imara kupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu ni Kwa chama tawala sababu wananchi tunafurahia nchi
Naomba laki 3 tu nipate mtaji wa mitumba maana nina hali ngumu sana ndugu maana wewe Mungu amekubariki
 
Back
Top Bottom