Tangu mwezi wa kumi uanze, wananchi tunafurahia neema ya pesa nyingi sana

Tangu mwezi wa kumi uanze, wananchi tunafurahia neema ya pesa nyingi sana

Kuna Dr alisema kila watz 10, kuna wa4 wanachangamoto ya afya ya akili
 
Ulianza;
1: Kubet (nimeshinda 45m)
2: Chawa wa chama
3: Chawa wa Mtu
4: Kuuza utu..(Mungu akusaidie usifike huku)
 
Nashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali.

Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imara kupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu ni Kwa chama tawala sababu wananchi tunafurahia nchi
Hongera kwenu machawa kutesa kwa zamu
 
Back
Top Bottom