Njaa Kali nini mbona unahasira kama Binti kiziwiOvyo kabisa. Unatweza utu wako kwa kujifanya chawa.
Naona ugumu wa maisha umefikia Hadi kichwani kama umedata Fulani hiviWe ni chawa kabisa!
Vipi we ni mmoja wapoKuna Dr alisema kila watz 10, kuna wa4 wanachangamoto ya afya ya akili
una funza kichwaniVipi we ni mmoja wapo
We unao hao funzauna funza kichwani
Hongera kwenu machawa kutesa kwa zamuNashangaa Kuna watu wanalalamika maisha ya Tanzania yamekua magumu mbona wananchi tunafurahia sana maisha maana tuna viongozi wanaotujali.
Tunamshukuru sana Mungu Kwa kutupa viongozi imara kupitia chama Cha ccm maana nchi imejengeka sana na wananchi tunaishi maisha mazuri na mwakani kura yangu ni Kwa chama tawala sababu wananchi tunafurahia nchi