Tangu NATO kujiingiza kuisaidia Ukraine Alshabaab, Alqaida na Boko haramu wamepotea

Tangu NATO kujiingiza kuisaidia Ukraine Alshabaab, Alqaida na Boko haramu wamepotea

Hii Vita ya Ukraine itadumu sio chini ya miaka 10 ivi mpaka USA na washirika wake wakubali yaishe kiroho safi
Hii ni vita ya Ukraine na Urusi, West wamesema wao wanawasikilia Ukraine kile wanataka kuhusu nchi yao na watasimama nao kadri wanavyoweza.
 
Kwa hali ya mambo ilivyo katika medani za kivita duniani kwa sasa hayo makundi ya kidini ya kigaidi lazima yafe tu. Unaambiwa wagner wapo mpaka afrika ukanda wa sahel. Pale nchi za niger na mali wameshatamalaki wakifanya yao, kumbuka mgogoro wa niger nigeria inapigwa mkwara mzito ikijitia wazimu kuingoza ECOWAS kuingia kijeshi niger wataiwasha moto. Sasa kama nigeria itawashwa moto boko haram watasalimikaje huko nigeria? Hao hao wagner waje ukanda wa mashariki na pembe ya afrika al shabaab wataponaje kama si kujiunga nao? Hayo makundi ya kigaidi kwa sasa hayana uwezo tena kupigana vita vya kisasa
 
Al Qaeda iliisha nguvu miaka kadhaa baada ya viongozi wake kuwa wanauawawa, sasa imebakia affiliates. Boko Haram ilijigawa na Shekau akauwawa, na bado Nigeria imenunua sana silaha na kupambana nao term ya mwisho ya Buhari.
Sanasana ISWAP ndio wanafanya mashambulizi sana na juzikati hapo walilipua helicopter ya Nigeria na kuua makumi ya wanajeshi.
Alshabaab mission yake iko palepale na ugaidi wake haujaisha wala kupungua.

Magaidi wapo ila taarifa zinazouza sasa hivi ni vita ya Ukraine
 
Takriban kwa miaka 23 iliyopita haikupita siku usisikie habari za kusisimua kuhusu mashambulizi ya Alqaida ,Boko haramu.Makundi hayo kila siku yalizalishwa vitoto vyao kuanzia Alshabaab kuteremka chini mpaka ISIS na vijukuu kama viel Saheli ni West Afrika.

Mitandao hiyo ilionekana kila siku kutanuka mpaka ikafikia maeneo Msumbiji na mashamba ya Kilombero nchini Tanzania.

Vinchi vidogo vidogo vilivyo wajumbe wa NATO kama vile Ureno navyo vilionekana kujishughulisha au kushughulika na vikundi hivyo kwani waliingia kati eti kulifunza jeshi la Ureno kupambana na Alqaida.

Nigeria ikiwa ni nchi kubwa yenye kuheshimika kwa Afrika ikiwa na idadi kubwa ya watu kwa kila kilomita mraba moja ilishindwa kupambana na wanamgambo wa Bokoharamu ambao walitajwa kuteka watu na kujificha nao kwenye vichaka jirani na makazi ya watu.Kumbuka Nigeria ni nchi iliyo mpakani na Jangwa la sahara na halina misitu kama Tanzania.

Miaka karibu miwili tangu Urusi ianze kupigana na Ukraine na ambapo nchi nyingi za Ulaya na umoja wa NATO wameonekana kuiunga mkono Ukraine,mashambulizi ya makundi hayo yote yamekuwa hayasikiki sana.

Hata Nigeria imerudi tena kuwa nchi yenye amani kiasi.

Kwa upande wa Msumbiji wamerudi kutumia bandari zao zilizokuwa zimetekwa na Alshabaab
.
IMG_20230809_141442.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kenya na msumbiji ilikua kila siku habari,Boko Haram daily pilika...juzi sijui Jana jeshi Niger limepoteza pesonels 17,inadaiwa Al qaeda
Uongo, hakuna mwaka imekuwa kila siku wanafanya mashambulizi.
 
We ni **** kweli habari za kutafuta google unatuletea ilimladi utuaminishe, leta hoja yenye mashiko mkuu acha upumbavu
 
Takriban kwa miaka 23 iliyopita haikupita siku usisikie habari za kusisimua kuhusu mashambulizi ya Alqaida ,Boko haramu.Makundi hayo kila siku yalizalishwa vitoto vyao kuanzia Alshabaab kuteremka chini mpaka ISIS na vijukuu kama viel Saheli ni West Afrika.

Mitandao hiyo ilionekana kila siku kutanuka mpaka ikafikia maeneo Msumbiji na mashamba ya Kilombero nchini Tanzania.

Vinchi vidogo vidogo vilivyo wajumbe wa NATO kama vile Ureno navyo vilionekana kujishughulisha au kushughulika na vikundi hivyo kwani waliingia kati eti kulifunza jeshi la Ureno kupambana na Alqaida.

Nigeria ikiwa ni nchi kubwa yenye kuheshimika kwa Afrika ikiwa na idadi kubwa ya watu kwa kila kilomita mraba moja ilishindwa kupambana na wanamgambo wa Bokoharamu ambao walitajwa kuteka watu na kujificha nao kwenye vichaka jirani na makazi ya watu.Kumbuka Nigeria ni nchi iliyo mpakani na Jangwa la sahara na halina misitu kama Tanzania.

Miaka karibu miwili tangu Urusi ianze kupigana na Ukraine na ambapo nchi nyingi za Ulaya na umoja wa NATO wameonekana kuiunga mkono Ukraine,mashambulizi ya makundi hayo yote yamekuwa hayasikiki sana.

Hata Nigeria imerudi tena kuwa nchi yenye amani kiasi.

Kwa upande wa Msumbiji wamerudi kutumia bandari zao zilizokuwa zimetekwa na Alshabaab
Ni observation nzuri na sahihi kabisa.Mkuu hivyo vikundi wameviunda wao for destabilization purposes ili waibe resources etc.,na resources wanawapa wao,sasa resources si zinakwenda Ukraine, lazima huko kwingine kupwaye.
 
Upo sahihi kbs hata Drc Kuna mchezo mchafu unafanyika kwa kufadhili vikundi vya waasi hata Monusco wanatumika sn ndio maana nchi km Tanzania wanakuwa km mbuz wa kafara.kwasisi tuliyozunguka maziwa makuu tunafahamu sn.Uk,USA,France, Belgium n.k watu wabaya sn ila tukiwapinga tunaambiwa maustadhi na huku wengine sisi ni wakristo.bure kbs

Ukweli yaani wakristo wengi hawataki kufungua akili kujua adui ni nani? Wao bado wanaamini hayo makundi ya kigaidi ni ya kislam.
 
Upo uwezekano kuwa vikundi hivyo vilikuwa vinafadhiliwa na nchi za magharibi ambazo zimehamishia nguvu kunako Ukraine
Ndio mwenendo wa kimaumbile.Ukienda Ukraine Urusi inapiga sana kule karibu na Kharkiv ili Ukraine ishindwe kusonga mbele Kherson kuelekea sea of Azov. Na Ukraine nao wanapiga sana huku karibu na Crimea ili kupunguza nguvu za Urusi Kharkiv kuelekea Kyiv.
Pale America na washirika wake walipoelekea sana Ukraine huku Afrika vijana waliowaona ni kikwazo katika kulinda rasilimali zao kama kule Burkina na Mali nao wakapata mwanya kuziangusha serikali vibaraka.
 
Back
Top Bottom