Tangu NATO kujiingiza kuisaidia Ukraine Alshabaab, Alqaida na Boko haramu wamepotea

Tangu NATO kujiingiza kuisaidia Ukraine Alshabaab, Alqaida na Boko haramu wamepotea

Ukweli yaani wakristo wengi hawataki kufungua akili kujua adui ni nani? Wao bado wanaamini hayo makundi ya kigaidi ni ya kislam.
ukiacha LRA kundi la kigaidi la Uganda na Ant Balaka la Jamhuri ya Afrika ya Kati ambayo ni makundi yaliyopigana nchini kwao tu, kuna makundi mengine yanayojinasibisha ni ya kikristo yanayotishia amani ya Dunia kama hayo makundi ya kiislam? Kwanini waislam watumiwe kuleta vita katika mataifa ya dunia? Kwamba ni wajinga na hawana akili za kubaini njama za hao western?
 
Takriban kwa miaka 23 iliyopita haikupita siku usisikie habari za kusisimua kuhusu mashambulizi ya Alqaida ,Boko haramu.Makundi hayo kila siku yalizalishwa vitoto vyao kuanzia Alshabaab kuteremka chini mpaka ISIS na vijukuu kama viel Saheli ni West Afrika.

Mitandao hiyo ilionekana kila siku kutanuka mpaka ikafikia maeneo Msumbiji na mashamba ya Kilombero nchini Tanzania.

Vinchi vidogo vidogo vilivyo wajumbe wa NATO kama vile Ureno navyo vilionekana kujishughulisha au kushughulika na vikundi hivyo kwani waliingia kati eti kulifunza jeshi la Msumbiji kupambana na Alshabaab.

Nigeria ikiwa ni nchi kubwa yenye kuheshimika kwa Afrika ikiwa na idadi kubwa ya watu kwa kila kilomita mraba moja ilishindwa kupambana na wanamgambo wa Bokoharamu ambao walitajwa kuteka watu na kujificha nao kwenye vichaka jirani na makazi ya watu.Kumbuka Nigeria ni nchi iliyo mpakani na Jangwa la sahara na halina misitu kama Tanzania.

Miaka karibu miwili tangu Urusi ianze kupigana na Ukraine na ambapo nchi nyingi za Ulaya na umoja wa NATO wameonekana kuiunga mkono Ukraine,mashambulizi ya makundi hayo yote yamekuwa hayasikiki sana.

Hata Nigeria imerudi tena kuwa nchi yenye amani kiasi.

Kwa upande wa Msumbiji wamerudi kutumia bandari zao zilizokuwa zimetekwa na Alshabaab
Marekani ni tatizo kubwa la ulimwengu huu kwa sasa.....hata COVID iliisha siku urusi ameivamia Ukraine. Matangazo kuhusu covid yalikoma.
 
Niko Nje ya mada kidogo;

Hivi Yule mkatoliki kule Nigeria kaachiwa?
Silikali haina ela yakumtoa uyo sisi tunaela zakununu magoli ya simba na yanga alafu atutaki maswali magumu nawaikristo [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
 
Habari za hivi punde ni kwamba watu 23 wamepigwa chuma na magaidi huko Mali,
 
Hii Vita ya Ukraine itadumu sio chini ya miaka 10 ivi mpaka USA na washirika wake wakubali yaishe kiroho safi
Kama Trump ataruhusiwa kugombea uchaguzi wa Marekani na itokee ashinde uchaguzi,basi vita ya Ukrein na Russia itakuwa imeisha kwa sababu chache zifuatazo: (1)Trump atasitisha misaada ya fedha na silaha inayopelekwa kwa Ukraine.
(2)Trump na Putin ni mabilionea marafiki wanaoelewana,ndiyo maana Putin alosubiri kwanza Trump aondoke madarakani ndipo akaivamia Ukraine.
(3)Trump na sera yake anayoiita "America first",Huwa hapendi kujihusisha sana na organisation za nje kama NATO na kadhalika.
Mpaka sasa Joe Biden amekuwa ni janga kubwa sana kwenye huu mzozo wa Russia na Ukraine,amekuwa akichochea petroli kwenye moto ambao tayari unawaka.
 
Back
Top Bottom