Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo wapi tena huko?Sujui sababu ila naogopa kuingia mmu
....njoo mimi nitakuwa mwenyeji wako mrembo.Sujui sababu ila naogopa kuingia mmu
ulikotoka ulikua unaingia? palikuaje?Sujui sababu ila naogopa kuingia mmu
njoo PM nikupe manual ya huko, ni balaaa.....Sujui sababu ila naogopa kuingia mmu
Kweli we pipa inabidi wakupatie na mfuniko ili mwende sawa sawa [emoji2]Jamaa kanistua sana nikajua kuna jukwaa la kuona pilau meloo kanificha aisee ningemlahan meloo afu mods mshaulin bosi atuwekee na jukwaa la pilauu kuingia shart ulipie buku 5 dah atapiga hela hebu mumshaul bas msikaze fuvu maisha yeyw haya haya mnaogopa nn hakuna cha ajabu uchi walianza adam na hawa