Tangu nijiunge JamiiForums sikuwahi kuingia MMU

M
mapenzi
M
mahusiano
U
urafiki.

hilo komwe lako kama linaona halijawahi kuingia mmu sasa kalipeleke mmx,ng'ombe kabisa.
 
Join Sunday mnavituko haya bibie u have our attention maana Ndio kitu ulicho taka

Haya leta maneno.......tukupeleke Kwa rikiboy au tuache kwanza
 
Huyu ndo mr pipa Naemjua bado Chizi Maarifa na Poor Brain nao soon waje watoe neno la busara
 
Sujui sababu ila naogopa kuingia mmu
Amini,amini nami ninakuambia.Kama ulilifikiria tu,basi pasina shaka uliliishi moyoni mwako na uliingia.Kwani tulizungumza nini kuhusu zinaa?Hata kwa kuangalia tu,umeitenda zinaa.Je,hatukutaarifiana na kuomba toba kwa maneno,vitendo,mawazo na kwa kutotimiza wajibu?Basi jibu na liwe juu yako.Utanikuta Kapernaumu.🙏
 
Pipa on one and two teh teh teh 😂
 
Hicho ni kitu ambacho hakiwezekani kamwe. Zinaa ni wewe mimi sio
 
Nilivyosoma kichwa cha uzi nikajua una miaka kadha wa kadha, kumbe una siku 4 tu??

Shubaamit[emoji52]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…