Tangu nikiwa mdogo nimekuwa na ndoto za kuwa askari (mwanajeshi)

[emoji2960]
 
hahahahahahahahhaha
 
Dont cross 31 man.. ukivuka hiyo focus shughuli mingine
Duuuh, kwahiyo nina miaka miwili ya kupambania kombe. Miaka miwili inaonekana ni mingi kimtindo, ila i see no hope mzee, tatizo la ajira limefanya huko jeshini kuwe kama peponi.
 
Duuuh, kwahiyo nina miaka miwili ya kupambania kombe. Miaka miwili inaonekana ni mingi kimtindo, ila i see no hope mzee, tatizo la ajira limefanya huko jeshini kuwe kama peponi.
Unaona ni mingi? We subir usipoweza kujipenyeza at hiyo 2 yrs game over.

But weka kichwani si lazima uwe askari, sometimes kuna better chance kwenye maisha. So usikate tamaa
 
Unajiona wewe ni askari kihisia, sio? Lakini hii inaweza kupelekea watu wakahisi hauko sawasawa kwa kichwa, yaani kitendo cha kujichukulia wewe ni mwanajeshi wakati ni raia wa kawaida.
Wewe endelea kuniona siko sawa kichwani uje kujichanganya utajua kuwa hii nchi ina wanajeshi wengi kuliko raia.
 
Tanzania mipango miiiingi aujachelewa juz kat nlikua msata pale katka mahafar nikajionea wazee weng tu wakihitimu mafunzo ya awari ya jwtz
 
kwenye maisha hakuna alie wahi kutamani kuwa fulani na ndoto hiyo ikatimia, wachache ndoto zao hutimia ila wengi hujikuta kwenye nafasi nyingine tofauti na ndoto zao...haya maisha bwana yana siri nzito sana nyuma yake...jipe moyo pengine hiyo ndoto yako inaweza ikatimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…