Tangu nimeanza kupiga mazoezi badala ya kupungua naongezeka uzito

Mkuu 10 km kwa week bado chache sana. Fanya kuongeza juhudi. Mimi binafsi nakimbia mara 3 kwa week na ni 15 km kwa siku.
 
sawa mkuu
 
Mtu unapiga mazoezi ikifika jioni unaenda kula nyama choma na kupigilia balimi utapungua wapi, pathetic kabisa nonsense 6.4Kg
Mnahangaika bure na hizo fitness staili zenu,ukishakuwa na uhakika wa msosi tabu za ubonge na nyama uzembe zinaanza.Penda kutembea kwa miguu au kutumia baiskeli mda mwingi la sivyo mtapata tabu sana hapo bado hao watoto wenu wa huko dar wenye vitambi sijui itakuaje
 
duu huu mlo tunaofanya kazi ngumu hautafai yaani ule hivyo halafu kesho ukabebe zege
 
tukianza Kupishana na baiskeli wote huko mtaani cjui itakuwaje
 
Potezea wali, ugalo, chipsi na vyakula vinginevyo vya wanga badala yake kula matunda, na mboga za majani kwa wingi pamoja na nyama na mayai ..usipopungua nitafute ntakupa millioni 1
 
Watu wengi hawaelewi kuwa key point ya kupungua uzito kwa 80% ni chakula. Unakuta mtu snajiumiza kwa mazoezi magumu halafu akimaliza anaenda kula sahani ya wali iliyojaa full, kwa staili hii hta ufanye mazoezi kwa miaka 200 hutopungua kamwe !. Ukitaka kupungua na upo serious cha kwanza potezea wanga, ninaposema wanga namaanisha wali, ugali ,chapati, mkate, mandazi , na pia kaa mbali na sukari. .....ukiacha kula wanga sometimes unaweza jihisi km homa hyo ni kawaida. Sasa jikite kwenye kula mayai, nyama, na mboga za majani na kuhusu matunda epuka matunda yenye sukari nyingi kula sana parachichi na tango , tikiti maji n.k fuata hii programm nakupa guarantee utapungua hadi utashangaa!!! na hii ni bila kufanya zoezi hta kidogo
 
Potezea wali, ugalo, chipsi na vyakula vinginevyo vya wanga badala yake kula matunda, na mboga za majani kwa wingi pamoja na nyama na mayai ..usipopungua nitafute ntakupa millioni 1
sawa mkuu nimescreen shot kabisa, lakini kwenye ugolo hapo umebug stumii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…