Tangu nimeoa naona nafaidika sana na ndoa yangu

Tangu nimeoa naona nafaidika sana na ndoa yangu

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Habari JF

Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa

Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa

*Nguo nafuliwa

*Kuoga naogeshwa

*Mtoto kanizalia

*Chakula napakuliwa

* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi

*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah

*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye

*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye

Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
 
Habari jf
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa

Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa

*Nguo nafuliwa

*Kuoga naogeshwa

*Mtoto kanizalia

*Chakula napakuliwa

* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi

*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah

*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye

*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye

Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Nchi kama Tanzania inabidi kujivunia sana kuwa na mwanamuziki kama ALIKIBA.
 
Back
Top Bottom