Habari JF
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa
Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa
*Nguo nafuliwa
*Kuoga naogeshwa
*Mtoto kanizalia
*Chakula napakuliwa
* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi
*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah
*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye
*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye
Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa
Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa
*Nguo nafuliwa
*Kuoga naogeshwa
*Mtoto kanizalia
*Chakula napakuliwa
* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi
*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah
*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye
*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye
Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu