Tangu nimeoa naona nafaidika sana na ndoa yangu

Tangu nimeoa naona nafaidika sana na ndoa yangu

Habari jf
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa

Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa

*Nguo nafuliwa

*Kuoga naogeshwa

*Mtoto kanizalia

*Chakula napakuliwa

* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi

*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah

*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye

*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye

Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Sawa
 
Habari jf
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa

Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa

*Nguo nafuliwa

*Kuoga naogeshwa

*Mtoto kanizalia

*Chakula napakuliwa

* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi

*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah

*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye

*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye

Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Chunga
 
Habari jf
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa

Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa

*Nguo nafuliwa

*Kuoga naogeshwa

*Mtoto kanizalia

*Chakula napakuliwa

* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi

*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah

*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye

*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye

Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Tupo siti moja mkuu.
 
Habari jf
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa

Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa

*Nguo nafuliwa

*Kuoga naogeshwa

*Mtoto kanizalia

*Chakula napakuliwa

* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi

*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah

*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye

*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye

Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Tuwekee picha ukiogeshwa na jinsi unavyochambwa pia....nitakununulia soda na andazi moja.
 
Wataalamu wa Ndoa hivi mnaweza kutupa makisio hii ndoa itakuwa na muda gani?!

Anyway, mimi kama mwanafunzi wa Taaluma ya Mambo ya Ndoa, especially kwa kutumia notice za mwalimu wangu, naweza kufanya makisio yafuatayo kufahamu umri wa hii ndo....

1. Kwichikwichi hadi mimba = Miezi 4
2. Matunzo ya Mimba = Miezi 9
3. Ukiona tambo za hivi, huyu hajaanza kulipa ada ya shule, kwahiyo mtoto atakuwa na maximum of = 2 years

Adding them together 4 + 9 + 24 (2 years) = 37 months/ 12 3 years, 1 month.

So, the ndoa ina umri wa kati ya miaka 3 hadi miaka 3 na miezi 6!
 
Una Mda gani mkuuu katika ndoa
Umri wenu wanandoa

Nijibu nikushauri


Time will talk
 
Jipe muda mkuu wala usione tabu ku share furaha ya ndoa yako, kwa experience yangu wewe umeshajaa, yani umewekwa kati, siku yako inakuja pale utakapobadilisha mfumo uliozoeleka, ishi naye kwa akili
 
*Kuoga naogeshwa
mmmH

1633679529600.jpeg

---
Just kidding, don't take serious
 
Hongera sana mkuu kwa kupata kitu adimu,muhumu sala na mombi ili shetani asiweze kufanya yake...
 
Habari JF

Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa

Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa

*Nguo nafuliwa

*Kuoga naogeshwa

*Mtoto kanizalia

*Chakula napakuliwa

* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi

*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah

*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye

*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye

Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
 

Attachments

Khee unaogeshwa mkubwa mzima

Vipi na mafuta unapakwa Yale ya babycare

Enewei mtaaachana tu
Nasemaaa mtaaachana tu
 
Bado Sana ungekuwa na miaka zaidi ya ishirini ujumbe wako ungesound Kwa sasa bado unatambaa kabisa


Na hujui majukumu yako unashadadia ulioa ili akufurie, akupikie, na NK

We jamaa hujui wajibu wako umemlemea mkeo subiri siku ameanza naniliii
Tangu enzi na enzi wanawake wamekuwa wakitimiza majukumu niliyoyataja hapo juu kwa waume zao na ndoa zilikuwa zinadumu sana

Mkuu nikwambie tu kwa kifupi naenjoy maisha ya ndoa kwa sasa ya huko mbeleni siyajui
 
Porojo dot com, wanawake wa sasa hawezi kutumia jina lako labda kama hajakwenda shule umeoa Mwantumu.

Wenye akili timamu watakuwa wameelewa nimeandika.

Thread yako ni soga tu la kubuy time.
Sawa wewe usiye na porojo

Wangu anatumia jina langu, ni msomi tena wa chuo kikuu cha taifa!

Baki na mawazo ya makupuku wenzio
 
Back
Top Bottom