BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Hahaaaa watu mna wivuKhee unaogeshwa mkubwa mzima
Vipi na mafuta unapakwa Yale ya babycare
Enewei mtaaachana tu
Nasemaaa mtaaachana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa watu mna wivuKhee unaogeshwa mkubwa mzima
Vipi na mafuta unapakwa Yale ya babycare
Enewei mtaaachana tu
Nasemaaa mtaaachana tu
Pole sanaMbona unarudi kila sehemu kama wimbo
Ndoa hizi za mwendokasi ukiweza kufikisha miaka 10 basi ujuwe mmeshinda vita na mna haki ya kufanya bonge la Anniversary kama mshiko unaruhusu.Mleta mada enjoy.
Baada ya miaka 10 tuletee mrejesho
Hahaha kweli kabisa.Ndoa hizi za mwendokasi ukiweza kufikisha miaka 10 basi ujuwe mmeshinda vita na mna haki ya kufanya bonge la Anniversary kama mshiko unaruhusu.
Time frame ni miaka mitatu tu, rangi zote utaziona. [emoji23][emoji23]
Satanic mentality za wabongo, wanapenda uzi ungesomeka ndoa yangu inanichuruzisha damu na kamasiWatu hawapendi habari njema wanafurahi kuona kila mtu akilialia tu na kulalamika all day everyday ili waone wote mpo sawa.
Wengi ndio hivyo akikutwa mmoja wanageneralize kwa woteSatanic mentality za wabongo, wanapenda uzi ungesomeka ndoa yangu inanichuruzisha damu na kamasi
Tumpe muda Sir? [emoji3]Sasa ndoa ina mwaka tu unakuja kuleta ushuhuda humu [emoji38]
Yah! Apewe muda ili ayajue n mengine mengi... Lakini wasiachane! Dhambi
Habari JF
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa
Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa
*Nguo nafuliwa
*Kuoga naogeshwa
*Mtoto kanizalia
*Chakula napakuliwa
* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi
*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah
*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye
*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye
Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Hongera unayepitia mazuri, moyo wako umejaa furaha na amani tele.Kweli watu mnapitia magumu sana, mioyo yenu imejaa machungu balaa[emoji2297][emoji2297]
Poleni sana
Ulikuwa hujui ??Habari JF
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa
Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa
*Nguo nafuliwa
*Kuoga naogeshwa
*Mtoto kanizalia
*Chakula napakuliwa
* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi
*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah
*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye
*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye
Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Asante sana.Hongera unayepitia mazuri, moyo wako umejaa furaha na amani tele.
Hongera.