Tangu nimeoa naona nafaidika sana na ndoa yangu

Tangu nimeoa naona nafaidika sana na ndoa yangu

Huyo hapo bado wanavaa nguo sare, vitenge wanashona sare mke na mume vya kuvaa jumapili. [emoji1][emoji1]
Mkuu kitu nisichoweza kuvaa ni sare ya aina yoyote ile

Huko siko lakini si vibaya mke na mume kumatch kimavazi
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Sawa wewe usiye na porojo

Wangu anatumia jina langu, ni msomi tena wa chuo kikuu cha taifa!

Baki na mawazo ya makupuku wenzio
Mmebadilisha lini jina na kwenye mamlaka ipi?

Unaelewa vizuri process za kubadili jina? Kwa ndoa hizi za mwendokasi nani wakufanya ujinga wa kubadili jina kwa sababu ya ndoa?

Hivi unajuwa Regina Mwalekwa wa BBC sasa hivi anaitwa Regina Mziwanda?
 
Wanasemaga baada ya miaka 3 ndiyo unakua sawa kimwili na kiroho[emoji1787]
 
Watu hawapendi habari njema wanafurahi kuona kila mtu akilialia tu na kulalamika all day everyday ili waone wote mpo sawa.
Wengi wanadanganywa sana kumbe ndoa ni tofauti kutegemea na mtu
 
Labda uliomba sana kwa Imani yako na ukapewa uliyepangiwa. Big up!
 
Habari JF

Ni zaidi ya mwaka sasa tangu nilipoamua kuoa, ninayoyapata humu ndani ya ndoa ni tofauti kabisa na maneno ya wengi yaliyokuwa yakinitia hofu na kukatisha tamaa

Tangu nimeoa napata faida zifuatazo:
*Chakula napikiwa

*Nguo nafuliwa

*Kuoga naogeshwa

*Mtoto kanizalia

*Chakula napakuliwa

* Mke anatumia jina langu kwenye shughuli zake rasmi

*Unyumba ananipa kila ninapohitaji,, yaani asione dushe limestuka anachukuwa anaweka waah

*Manunuzi ya vitu vyote vya nyumbani anafanya yeye

*Bajeti na matumizi ya nyumbani anapanga yeye

Wakuu kiukweli naenjoy saana,, wale wenye shida na ndoa zenu msigeneralize mambo.. Pambanieni ndoa zenu
Kwa hiyo marioo umeamua kujitangaza status yako kabisa[emoji848]
 
Omba Mungu sana meza isije kupinduka ole wako nakwambia hayo yote unayo tendewa yote utayasahau hutakumbuka hata moja.
Jamaa wako kwenye honeymoon phase tu kwa sasa yeye anaona mke anampenda sana 😅

Wacha mwanamke aanze kuona kumfanyia hizo kazi kama favors ndio atajua hajui
 
Labda nianze kwa kukuuliza unadhani waliotarakiana awali katika ndoa zao hawakuwa wanapendana kama ninyi au zaidi yenu ninyi??
USIWE NA HOFU KUMBUKA HATA ALIE NA NJAA AKISHIBA KUPITA KIASI HUONA CHAKULA NI KARAHA ...
BWANA MDOGO BADO SAFARI YAKO NI NDEFU KATIKA MAHUSIANO HUJAWA LEGEND...
 
Endeleeni hivyo hivyo ila omba sana usije ukafulia (ukapalala) mfukoni,, najua utakuja kuomba msaada humu JF
Utamu wa ndoa huanza pale ambapo kipato kimeyumba ratiba haziendi kama awali mjengoni! Bill kulipa kwa tochi sana halafu mko nyumba ya kupanga😅
 
Baada ya miaka 3,Rudi hapa tena utupe haya maelezo! Ndoa ndiyo bado inamwaka mmoja! Ukijifunika shuka moja,mmoja akaachia ushuzi hakuna hata wakugomba?? Subiri miaka ipite kama mitatu hivi! Utakuja hapa unalia
Hahahahahah raha ya ndoa huanza kuanzia mwaka wa 3
 
Back
Top Bottom