Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
yaani mkuu kabisa upo hapa unasisitiza eti watu "wabet" ndio watapata maendeleo?Pana watu wapo bar wanabeti,wengine ofisi zao madili Yao bar kijiwe Cha kukutana kusaini au kujaza documents, wengine biashara zao zipo online wanaingiza pesa wakiwa bar, wengine alfajiri wanafunga hesabu mfano wauza ticket mabus,madalali sokoni
duh
we have long way to go