Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Hahahahahah nina mwaka wa 5 sijabadili mwanaume.
Pokea taarifa tafadhali.
Mwaka wa 5 na anasugua tu mbususu yako,, hana hata mpango wa kukuoa[emoji23][emoji23][emoji23],,,, unafikiri yy mjinga? Hapana, n kwamba anakuona kama chombo cha starehe

Yaan kaona hakuna mke hapo,,, n kukupelekea tu moto, akitaka kuoa anaenda kuoa anaejielewa,,, ambae haombi ombi hela, ambaye anaweza kutekeleza majukumu yake kama mwanamke sio ww feminist!!!!
 
Kuna mwanaume hata akiwa hana Kitu bado anapambana Iwe jua Iwe mvua na anajua ye ni mwanaume anatakiwa kufanya nini.

Halalamiki wala kuomba nimsaidie, kama binadamu lazima nijiongeze angalau.

Kuna mijitu sasa imejiwekea Ratiba kwamba kama ni ada ya watoto mke nusu mume nusu, Bill za umeme na maji mchango unapitishwa au pengine mume anajisahaulisha alipe mke.
Yaani mume yupo kama hayupo.
Aseee mume mwendawazimu wa hivyo hapana.
Kama wanawake wenyewe ndio hivi waoji wana kazi 🤣🤣🤣🤣
 
neno hapana uhakika hapa limetumikaje? matumizi nyumbani ni mimi natoa japo kutokana na shida hela za matumizi yake binafsi sijampa kwa muda kidogo
Mchaga wa rombo mwanaume hatakiwi kuoa vunjo ila wa vunjo anaoa rombo vizuri tu nawanakua na maisha mazuri , mrombo anaweza kuoa kibosho na uru tu ,huko uchagani kwingne lazima mwanaume wa rombo aisome namba , ila wadada wa rombo wanafaa kuolewa na mchaga yoyote.
 
Ukweli mchungu ni kwamba men are providers and women are receivers
Ndio maana pesa ya mwanamke haitoki bure bure anaweza kupa na aka kudai au na masimamo juu.

Una nikumbusha mbali sana hata kipindi mzee wangu alipo kuwa ana umwa mama alijitahidi kumhusaidia mzee lakini ndio hivyo tena umri Usha enda bora wazeeka wote lakini lakini

Mwanamke yeyote wa kizazi cha sasa umuoe imewekwa ndani alafu kipato chako ni chakusua sua jiandae kusumbuliwa tu.

Kwanza akikunyima unyumba kwa mda wa mwezi mmoja kuanzia hapo tambua kuna mtu ana mpa.

Me siamini mkeo yuko fresh haumwi, hana tatizo lolote basi tambua fika kuna kitu kina hakipo sawa.

Ukiona mapenzi kwa mkeo yana pungua basi mapenzi yake kwako yameanza kushuka pia.

Kila mahusiano unayo yajua wewe either ndoa au laa mwanamke ana kuwekea mahesabu kama akiona unaenda tofauti na malengo yake ana tafuta sababu.

Most women are very shy to break up a relationship ila kuonyesha dalili tu, mbona nyingi utapata na wanajua kabisa wakitoka kwako waende wapi na ni rahisi kujua yaani wale marafiki wa kiume unao ona message zao kwenye simu yake basi kuna ambao anatembea nao.
Inabidi ujikaze kiume ila huo ndio ukweli, huo sio wako tena
Umegonga mule mule....yaani sio wanaume sio wanawake wote tunakuwa na backup plan. Demu msambwanda ukilegea tuu unaenda jipoza kwa msambwanda new
 
Unaambiwa siku Eva alipoleta chakula mezani [ Eva alipoleta tunda Adam ale] ndipo bustani ya Eden ilipofia hapo. Huyo hakua mke anayekupenda alipenda kazi,aliolew na kazi yako siyo wewe
Nakutafuta sana
 
Kuna jamaa yangu naye anapita kipindi kama chako. Kafirisika biashara. Hila biashara ya mwanamke ipo juu. Anaona Dunia kama jehanamu. Unyumba hapewi yupo too stress. Kaenda kutafuta vibarua Maboss wa Kibongo ndo hivyo Hela zinachelewa kutoka. Shida apigi vyombo. Sometimes vyombo vinaondoa stress vikipanda na mziki utacheza siku inaisha vizuri. Hila sio vyombo vya kujikataa na kuwa mchafu hivyo utakuwa rejected hata mbwa anakukimbia.
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
pole sana . wanawake wanaamini kwenye pesa ukiwa huna kitu lazima akudhrau
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Kwa hiyo ulitegemea ukimpiga ataacha kazi arudi kwao Vunjo!
 
Ndugu Pole kwa changamoto hii.
Unapowaza kumfukuza wakati huna kazi utaishije na mtoto?au unamfukuza aondoke na mtoto na wewe urudi kwa wazazi wako.?
Anyway nakushauri tafuta kitu cha kufanya upate walau 500 kwa siku, kazi sio kuajiriwa tu..
 
Aisee hawa wanawake wakishakuona huna kazi na ndalama haziingi lazima uzione rangi zao halisi [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
hapo cha kufanya mwanawane ni kufukuza tuu maana mwanamke mara mia atombwe huko nje lakini sio kuleta dharau wakati mwanawane u are down. piga chini fasta
Afukuze ale nn wakati hana kazi
 
pole sana . wanawake wanaamini kwenye pesa ukiwa huna kitu lazima akudhrau
Sisi ndyo tumewapaa sabbu ya kuamini kwenye pesa bila ubabe na kuamua hutatoboaa apo kamaa unaweza tfuta connection mkoa mwingine ataa kazi ya kawaida kabisa tafuta Mali mliyonayo apo uza ondoka ata usiage katafute maisha yakko mbele ukiendelea kukaa apo wallaah utapata kessi ya mauwaji au kujerui ukajikuta jela
 
Sisi ndyo tumewapaa sabbu ya kuamini kwenye pesa bila ubabe na kuamua hutatoboaa apo kamaa unaweza tfuta connection mkoa mwingine ataa kazi ya kawaida kabisa tafuta Mali mliyonayo apo uza ondoka ata usiage katafute maisha yakko mbele ukiendelea kukaa apo wallaah utapata kessi ya mauwaji au kujerui ukajikuta jela
Utashangaa ukiondoka hatakubali atakubembeleza sana usiondoke ....atasema yote...sometimes mafanikio ya wanawake huchangiwa kuwa mtu stable nyuma yake ....akiwa alone wakati mwingine hawawezi .....fanya kuondoka utashangaa...pole sana pia muda ni mwalim mzuti sana plus uvumilivu
 
Back
Top Bottom