Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Hii hali unayopitia ni ya kawaida sana kwa wanawake, mimi binafsi yalishanikuta, nilikuwa nanyimwa unyumba tena sio mara moja. Kila ukimgusa hataki na mwisho wa siku akaniambia kabisa kuwa hana hisia na mimi tena.

Mwanaume ukiishiwa pesa au ukawa huna kazi kwa mda, hutaacha kuona kila rangi kwa hawa wanawake.

Hasa wanawake wenye viajira vyao, hawa ni wabaya bora hata wauza mchicha na wachoma vitumbua watakuheshimu pamoja na u jobles wako, lakini mwenye ajira atakusimanga kila siku na utelezi hupati, tena utaonekana mzembe na mbaguzi wa kazi .
 
Kunywa Pepsi dada...nitalipia

Sure yani...unajikuta janaume limekaa km.furushi la mavi etc mume..hapana jmn..maisha sio marahisi

Sasa wewe ukimuangalia diamond unaona kuna mume wa mtu au baba wa familia pale au furushi
Unaoa mwanamke kazi yake ni kula na kunya. Kati ya mwanaume na mwanamke nani ni furushi? Hela yake ni yake.

Siku hizi hakuna wanawake wa kuoa. Ni maslay queen tu waliobaki, watakuchuna na kukufirisi mwisho wa siku wanakukimbia unapokuwa na shida hata uwafanyie jambo gani zuri hawana shukrani.

Maslay queen huwa wanafikiri ndoa ni starehe yaani wahudumiwe kwa kila kitu kazi yao ni kula na kunya tu halafu hufikiri kila siku kutakuwepo na hela, watu hawaumwi na kingine hela zikiwepo mapenzi yanaongezeka.
Rafiki wa kweli ni yule utakayekuwa naye kwenye shida na raha tofauti na hapo piga chini.

Huyo jamaa alikosea kitu kimoja kabla ya kumuoa huyo slay queen alitakiwa amuachishe kazi awe mama wa nyumbani hii ndiyo dawa ya maslay queen.
 
hii ndio sababu naipenda jamii forums mm kuna jamaa alipata matatizo mke alianza visa aisee yaan mwanamke akichange ni balaa mm si niliingilia ugomv ili niweke mambo sawa alimanusura nimwagiwe mafuta ya moto aisee na familia naijua very close since then nilijifunza kitu mwanamke akitaka kukuacha akwambii yeye anakufanyia visa ww ndio ujiongeze
Na akijifanya KUKAZA Atakuja kupewa sumu huko ndani ajifie
 
Sasa mwaka wa 5 huoni kuwa hicho kidume kinakutumikisha bila kukupandisha cheo uwe mke?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hili Liko nje ya uwezo wako bro pumzika tu.
 
Mkuu kulinda heshima yako fanya haya
1. Kuwa jasiri usioneshe kumjali hata kidogo huyo mkeo

2. Anzisha mahusiano na mwanamke mwingine

3. Kama nyumba ni yako mwambie akapange humuhitaji tena

4. Weka mambo yako sawa ofisini au tafuta kazi au shughuli ya kufanya

Yakifanyika hayo atarud tena atakuomba na msamaha na atakupa haki zako zote kama mwanaume.
Huyo hatakiwi kumrudia hata kama akijirudi. Mungu ashamuonyesha rangi yake ilivyo why wanna go back.
 
Wale mnaosemaga eti ukioa mkeo atakusapot ukipatwa na matatzo njoon hapa mropoke uharo wenu tena!!!

Kijana kataa ndoa
Ndoa ni ujambaz
Ndoa ni utapeli
Ndoa ni sekta ya kuwafaidisha wanawake
Ndoa ni jehanamu ya wanaume duniani
Ndoa ni njia nyepesi ya mwanaume kufirisika
Ndoa ni njia nyepesi ya mwanaume kufa

KIJANA KATAA NDOA.
Nakazia
 
Pole, tafuta mishe boss, kama hapo ulipo panakufaa kiutafutaji basi baki hapo usikimbie kisa mabadiliko madogomadogo hivyo, pambana ili kutimiza majukumu yako kama baba, msaidie kazi pale unapoona inafaa na sio kutokua na kazi isiwe sababu ya kutokusimamia nafasi yako.

Kaa myajenge ili abebe majukumu yake kama mama, kuhusu pesa yake mwambie asitoe matumizi, ni bora mlale njaa kuliko kutoa na kuleteana makasiriko.

Kikubwa simama kwenye nafasi yako ukiona unakosa utulivu ndo ufanye maamuzi mengine.
 
Huyo hatakiwi kumrudia hata kama akijirudi. Mungu ashamuonyesha rangi yake ilivyo why wanna go back.
wanawake wote wapo ivyo dunia hii uwez pata mke mwema 100 percent haupo na hatokuja kuwepo ivo unafik kwenye mahusiano ni lazima
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Nilichogundua we umebweteka ndani,yaani anaona huna mpango wa kupalangana kutafuta fulsa, ye ameona bila hiyo wake up call utaridhika kuwa house girl hapo nyumbani, mi kwa upande wangu naona yuko sawa tu
 
Mimi issue yako ni kama yangu, yalinishinda nikaamua kumchana live arudi kwao. Aniache kwanza nijitafakari. Sawa sina kazi kwa sasa lakini nahudumia familia kwa kila kitu.

Dharau ni kitu sipendi kutoka kwa mwanamke. Bora nikae peke yangu kuliko kukaa na mtu anae kudharau ndani.

Sasa hvi yupo kwao pamoja na watoto na hvi ni likizo. huku mimi nipo naishi kibachela naendelea kujipanga upya namna ya kupambana na maisha. I believe nitatoboa tu.
Hao ndo wanasababishaga watu wajinyonge... Fikiria huna kazi halafu unaoneshwa dharau za hivo... si unajiua kabisa
 
neno hapana uhakika hapa limetumikaje? matumizi nyumbani ni mimi natoa japo kutokana na shida hela za matumizi yake binafsi sijampa kwa muda kidogo

Sasa mkuu umesema kwamba shemeji yetu kakuzidi kipato, na ww ndio unahidumia familia. Ina maana na yeye huwa unampa pesa za matumizi yake binafsi?.

Kama ni hivyo yeye pesa zake anafanyia nini?.
 
hii ndio sababu naipenda jamii forums mm kuna jamaa alipata matatizo mke alianza visa aisee yaan mwanamke akichange ni balaa mm si niliingilia ugomv ili niweke mambo sawa alimanusura nimwagiwe mafuta ya moto aisee na familia naijua very close since then nilijifunza kitu mwanamke akitaka kukuacha akwambii yeye anakufanyia visa ww ndio ujiongeze
Nani aliyetaka kukumwagia maji ya moto?
 
Unaoa mwanamke kazi yake ni kula na kunya. Kati ya mwanaume na mwanamke nani ni furushi? Hela yake ni yake.

Siku hizi hakuna wanawake wa kuoa. Ni maslay queen tu waliobaki, watakuchuna na kukufirisi mwisho wa siku wanakukimbia unapokuwa na shida hata uwafanyie jambo gani zuri hawana shukrani.

Maslay queen huwa wanafikiri ndoa ni starehe yaani wahudumiwe kwa kila kitu kazi yao ni kula na kunya tu halafu hufikiri kila siku kutakuwepo na hela, watu hawaumwi na kingine hela zikiwepo mapenzi yanaongezeka.
Rafiki wa kweli ni yule utakayekuwa naye kwenye shida na raha tofauti na hapo piga chini.

Huyo jamaa alikosea kitu kimoja kabla ya kumuoa huyo slay queen alitakiwa amuachishe kazi awe mama wa nyumbani hii ndiyo dawa ya maslay queen.
Slay queen au siyo? Wazee wa kujirekodi tiktok
 
Back
Top Bottom