Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Sasa wewe ukimuangalia diamond unaona kuna mume wa mtu au baba wa familia pale au furushi tu!!

Sio kila mwanaume ni wa kuoa jamani. Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu. Wengine mkifanya maamuzi mazuri ya kutokuoa, basi jitahidini msizae pia. Mtakuwa mmeiepushia dunia majanga yasiyo ya lazima.
Kunywa bwiiiaaa kwa mangiiii ntalipa.
Ndoa ni kwaajili ya wanaume sio wavulana.
 
Hongera sana mrembo, bora kujilinda
Niwacheeeeeeee.

Hudumieni familia jamani hebu acheni masononeko wanaume mmekuwajeeeeee
Ndo maana wakina mwijaku wanaongezeka sikuhizi sababu ya kupenda slope
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Mimi kwa umri na uzoefu niliokuwa nao ninajua kuwa asilimia 90 ya wanawake ukianguka kiuchumi, hayo unayoyapitia lazima yakupate, huwa sio wavumilivu wanapokuona umeanguka na unamtegemea yeye.

Na shida yao kubwa hawawezi kuficha hisia zao. Pole sana, nimeyapitia hayo na ninayajua, usikate tamaa, tumia hekima sana unapomshauri jambo, mgeukie Mungu na kumuomba akuondolee hasira na kukupa hekima na uvumilivu, yatapita na iko siku utasahau....
 
Wanaume acheni kukwepa majukumu...mnasingizia et hakuna wanawake wa kuoa,si kweli.
Yani wanaume wanapiga mizinga utafikiri sijui nini..ndo mana wengne wanaolewa sasa
Kinachoshangaza wanawake wanalalamika on the same problem ambayo wao wanayo against men.

Kuomba omba hela ni kero ila wavumilie kama sisi tunavyowavumilia wakitupiga mizinga.
 
Mimi kwa umri na uzoefu niliokuwa nao ninajua kuwa asilimia 90 ya wanawake ukianguka kiuchumi,hayo unayoyapitia lazima yakupate,huwa sio wavumilivu wanapokuona umeanguka na unamtegemea yeye.Na shida yao kubwa hawawezi kuficha hisia zao.Pole sana,nimeyapitia hayo na ninayajua,usikate tamaa,tumia hekima sana unapomshauri jambo,mgeukie Mungu na kumuomba akuondolee hasira na kukupa hekima na uvumilivu,yatapita na iko siku utasahau....
Hahahah wanawake wao kuomba omba hela na kufanyiwa favours ndio kitu wao hupenda zaidi. Hata kwenye ndoa hali ni hio hio.
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Mshukuru sana Mungu wako, Mungu hukupa mitihani ili akuonyeshe jambo lililojificha, sasa ushajua tyr unaishi na mtu ambae hakupendi kwa dhati, usimfukuze wala usifue nguo zake, kuwa mvumilivu utapata kuona na mengine mengi ambayo hukuwa unayajua, ukiamka asbh fanya mzaoezi kidogo walau dkk 20 itakufanya uchangamke kiakili, kaa ndani ila akili iwe nje, ongea na marafiki zako mbalimbali ili wakusaidie namna ya kupata kazi usisahau pia unaweza ukajiajiri kablaa unasubiri kupata kazi mpya, All the best Mkuu.
 
Ni kweli, hata ukiwa jambazi mwanamke atakubali kuishi nawe na atakufichia siri ili mradi tu uwe unahudumia effectively
Unahudumia au anakupenda na ana huruma na wewe. Mwanamke akikosa huruma na wewe automatically hakupendi.
 
Niwacheeeeeeee.

Hudumieni familia jamani hebu acheni masononeko wanaume mmekuwajeeeeee
Ndo maana wakina mwijaku wanaongezeka sikuhizi sababu ya kupenda slope
Mwijaku ana mke hayo Mambo ya kitonga wapi na wapi? Ama nimeelewa vibaya?
 
Mkuu hapo kwa diamond sio mfano bora kwanza umeona wapi akiishi na wanae wote kwa pamoja?kingine mpaka muda huu anapelekeshwa na Zari kuwaona watoto ni gharama kubwa kuliko angeoa na kupata watoto kuishi nao kwake. Kingine hajawahi kutengeneza bond yoyote miongoni mwa wanae aliowazaa kwa Mama tofauti.

Diamond akifilisika hakuna mtoto atakayeishi nae,achilia mbali kupostiwa wala kupewa mapokezi makubwa kila watakapomuona

Siku hizi hakuna wanawake wa kuoa, wapo maslay queen tu.
Unamuona Diamond? Ndiyo utajua kuwa nilichoandika ni utopolo au ?
Unamuoa mwanamke kila mitandao ya kijamii ana account Instagram, Jamii forum, Facebook, badoo, tinder, tiktok, snapchat, whatsapp, telegram n.k
Kazi yake ni umbea na kubishana na wanaume kama huyu.
 
Tatizo ulilikaribisha mwenyewe ulipo oa mchaga wa Vunjo. Mimi huwa nawauliza Sana vijana. Kwenu hakuna warembo mpaka mkaoe kwa watu?

Ukiwa msambaa, oa msambaa mwenzio hata mbondei, mdigo na mzigua usiguse. Ukiwa mpare wa usangi, kaoe usangi achana na dada zetu wa Same.

Usioe kwa sababu ya tako. Oa asiye na yako lkn mwenye busara. Wenye mijitako wako tele Dar. Unajipigia mwenye tako mchana jioni Benet na wife flat screen.
Wanawake hawana tofauti hapo
 
Back
Top Bottom