Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Mkuu kuna jambo nimeligundua kutoka kwako aisee...uyo mwanamke huwa uunampiga!? mwanamke anakwambia kama unataka kuendelea kukaa na mimi inabidi ujifunze kupika na wewe uunamuacha!? Butua huyo mwanamke mpaka akili imkae. sawa
 
Mkuu kuna jambo nimeligundua kutoka kwako aisee...uyo mwanamke huwa uunampiga!? mwanamke anakwambia kama unataka kuendelea kukaa na mimi inabidi ujifunze kupika na wewe uunamuacha!? Butua huyo mwanamke mpaka akili imkae. sawa
Ujue mkuu, ndio maana ndoa za sisi wakurya huwa zinadumu na zina kuheshimiana sana.mwanamke ukienda nae kwa Diplomasia sana ndio yanatokea mambo kama haya ya huyu jamaa..mwanamke akizingua piga makofi mengi sana hadi azime data
 
Ujue mkuu, ndio maana ndoa za sisi wakurya huwa zinadumu na zina kuheshimiana sana.mwanamke ukienda nae kwa Diplomasia sana ndio yanatokea mambo kama haya ya huyu jamaa..mwanamke akizingua piga makofi mengi sana hadi azime data
Kitu ambacho nimeguundua kwa mke wangu ni kwamba ukiendekeza demokrasia kwenye ndoa unaekuja kuteseka ni wewe mwanamme,,,,yaani mke mpende lakini ajue demokrasia hakuna, yaani baba ndio anatoa SAY ya mwisho na sio mama.

Alafu jambo lingine ni kwamba mwanamke alieolewa ni sawa na mtoto mwanamme aliemuoa, akikosea anapewa adhabu kama watoto wanavyoadhibiwa
 
Nawashangaaga sana wanaume wa hivyo. Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.

Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.

Pesa zangu ni zangu.
Ova.
Imagine mm n dr (MD) ..Ni mwanamke...nikakutana na mwanaume kazini...ndo kwanza una miez 2 tu kwny ajira...ajira ya serikalini...mwanaume nlokutana nae Ana diploma ya Laboratory...hata wiki hatujamaliza kweny mahusiano..ananambia nikope million 18 ninunue gari atembelee..afu mimi ndo nikatwe kwny mshahara..aloo nilimpiga chini siku hyo hyo..wanawake tutafute wanaume wanaojiweza ili watutunze.. hatujaumbwa kuprovide..tena cku hz wanaume wanapiga mizinga afadhali ya wanawake...yani mm.kwny mahusiano yangu cjawahi kupewa hela mimi ndo naombwa hela..ya nini mie..nipo single naenjoy..tangu niachane na mahusiano nimeshanunua kiwanja soon naanza ujenzi..before that hela yangu ilikuwa ni kulisha wanaume tu et mpenzi namvumilia atapata kazi..loh
 
Nawashangaaga sana wanaume wa hivyo. Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.

Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.

Pesa zangu ni zangu.
Ova.
Unataka kuolewa nani ambaye utamheshimu akiwa na kazi na pesa zake? Hayupo mwanaume wa hivi duniani.
Cha kukushauri. Tafuta watoto maana hata ukiolewa utarudi tena kwenye usingle tena na utaanza kulea watoto peke yako.

Huyo mwanamke, ataanza kulea mtoto peke yake tena itabidi aweke na mfanyakazi wa ndani.
 
Nawashangaaga sana wanaume wa hivyo. Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.

Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.

Pesa zangu ni zangu.
Ova.
 
Kuna mwanaume hata akiwa hana Kitu bado anapambana Iwe jua Iwe mvua na anajua ye ni mwanaume anatakiwa kufanya nini.

Halalamiki wala kuomba nimsaidie, kama binadamu lazima nijiongeze angalau.

Kuna mijitu sasa imejiwekea Ratiba kwamba kama ni ada ya watoto mke nusu mume nusu, Bill za umeme na maji mchango unapitishwa au pengine mume anajisahaulisha alipe mke.
Yaani mume yupo kama hayupo.
Aseee mume mwendawazimu wa hivyo hapana.
So wote tunafanya Kazi tunapata kipato but fedha zangu tu ndio zihudumie familia??za kwako??tutaendelea vipi??kwa mtindo huo bora nisioe but kwangu itakua pesa zetu zote bajeti tunapanga wote zitumike vipi
 
Ndoa za siku hizi zimekuwa ngumu sana kwasababu ya ubinafsi. Ni wachache sana ambao wanaweza kusaidia familia endapo baba ameyumba kiuchumi.

Mimi katika maisha yangu nafanya haya tu
1. Kupata watoto. Nikifikisha watoto 3 au 4 na mwanamke haeleweki ndoa inavunjika

2. Kuwekeza kwenye mali zangu. Hapa mwanamke hatakiwi kujua nina shilingi kwenye account na baadhi ya mali zangu asijue watajua watoto. Na mali zote naandika jina langu.

3. Sitachangia kitu chochote cha kununua na mwanamke. Yeye km ananunua anunue ila mimi nitanunua vyangu.
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Mkuu, kaka angu, ndugu yangu furaha yako ije kwanza furaha yako iwe ya kwanza. Pili usifanye kazi yyte hapo ndani zaid ya kuoga na kufua nguo zako.

Tatu usijibishane nae kabisa yani akikwambia ushenzi ww kaa kimya shika simu endelea kuperuzi.

Alfu kingine anza kupambana kutafuta chumba nunua godoro kitanda lipa kodi siku ikifika mwambie tu naondoka basi.

MUHIMU ZAID.
Hakikisha kila anapokua anatukana uwe unamrecord.
 
So wote tunafanya Kazi tunapata kipato but fedha zangu tu ndio zihudumie familia??za kwako??tutaendelea vipi??kwa mtindo huo bora nisioe but kwangu itakua pesa zetu zote bajeti tunapanga wote zitumike vipi
Ukioa mwanamke mwenye kazi halafu ukaona kazi yake haina manufaa yoyote kwenye familia. Siyo km utegemee pesa ya mwanamke hapana ila kuna vitu vidogo vidogo anashindwa huyo inabidi achague
1. Ndoa
2. Kazi
 
Ndoa za siku hizi zimekuwa ngumu sana kwasababu ya ubinafsi. Ni wachache sana ambao wanaweza kusaidia familia endapo baba ameyumba kiuchumi.
Mimi katika maisha yangu nafanya haya tu
1. Kupata watoto. Nikifikisha watoto 3 au 4 na mwanamke haeleweki ndoa inavunjika
2. Kuwekeza kwenye mali zangu. Hapa mwanamke hatakiwi kujua nina shilingi kwenye account na baadhi ya mali zangu asijue watajua watoto. Na mali zote naandika jina langu
3. Sitachangia kitu chochote cha kununua na mwanamke. Yeye km ananunua anunue ila mimi nitanunua vyangu.
Usioe tu, hata hivyo ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu.
 
Usioe tu, hata hivyo ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu
Wanaume wenye akili hawaoi wanatafuta watoto tu. Siku hizi wanawake wa kuoa hawapo wamebaki maslay queen.

Unatafuta mwanamke au wanawake unajaza mimba kisha unachukua watoto wako unaishi nao na unaweka mfanyakazi wa ndani maisha yanasonga.

Hapo inabaki siku ukijisikia, utafuta pisi kali unaenda kupiga unaacha naye. Siku ukijisikia hamu unatafuta tena.

Wanaume wenye akili wanafanya hivi
1. Hawaoi
2. Wanatafuta watoto
3. Kupiga pesa. Maana hapa muda wako mwingi utakuwa unafikiria kazi na watoto tu
 
Wanaume wenye akili hawaoi wanatafuta watoto tu.
Unatafuta mwanamke au wanawake unajaza mimba kisha unachukua watoto wako unaishi nao na unaweka mfanyakazi wa ndani maisha yanasonga.
Hapo inabaki siku ukijisikia, utafuta pisi kali unaenda kupiga unaacha naye. Siku ukijisikia hamu unatafuta tena.
Wanaume wenye akili wanafanya hivi
1. Hawaoi
2. Wanatafuta watoto
3. Kupiga pesa. Maana hapa muda wako mwingi utakuwa unafikiria kazi na watoto tu
Siku ukikua au utakapokuwa na akili ndio utaelewa utopolo ulioandika
 
Nawashangaaga sana wanaume wa hivyo. Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.

Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.

Pesa zangu ni zangu.
Ova.
Ni jambo zuri ina maana hadi sasa hujaolewa 😀😀😀 na wanaume wote wanaojua majukumu yao wanaishia kufokoa mbususu na kusepa tu.
 
Back
Top Bottom