Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Mkuu, kaka angu, ndugu yangu furaha yako ije kwanza furaha yako iwe ya kwanza. Pili usifanye kazi yyte hapo ndani zaid ya kuoga na kufua nguo zako.

Tatu usijibishane nae kabisa yani akikwambia ushenzi ww kaa kimya shika simu endelea kuperuzi.

Alfu kingine anza kupambana kutafuta chumba nunua godoro kitanda lipa kodi siku ikifika mwambie tu naondoka basi.

MUHIMU ZAID.
Hakikisha kila anapokua anatukana uwe unamrecord.
Safi
 
Mimi hii nadharia siiamini, eti kwa vile msambaa nioe msambaa mwenzangu, au mpare mwenzangu. Kwanza dada zangu siwakubali kabisa when it comes to marriage life..
Kweli we mzee dada zako hautukubali na uzuri upande wa wasambaa huwa tunaoanaga ndugu kwa ndugu
 
Nawashangaaga sana wanaume wa hivyo. Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.

Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.

Pesa zangu ni zangu.
Ova.
Hii comment yako ina chembechembe za chuki dhidi ya wanaume, nini kimefanya uwe hivo? Zesh
 
Imagine mm n dr (MD) ..Ni mwanamke...nikakutana na mwanaume kazini...ndo kwanza una miez 2 tu kwny ajira...ajira ya serikalini...mwanaume nlokutana nae Ana diploma ya Laboratory...hata wiki hatujamaliza kweny mahusiano..ananambia nikope million 18 ninunue gari atembelee..afu mimi ndo nikatwe kwny mshahara..aloo nilimpiga chini siku hyo hyo..wanawake tutafute wanaume wanaojiweza ili watutunze.. hatujaumbwa kuprovide..tena cku hz wanaume wanapiga mizinga afadhali ya wanawake...yani mm.kwny mahusiano yangu cjawahi kupewa hela mimi ndo naombwa hela..ya nini mie..nipo single naenjoy..tangu niachane na mahusiano nimeshanunua kiwanja soon naanza ujenzi..before that hela yangu ilikuwa ni kulisha wanaume tu et mpenzi namvumilia atapata kazi..loh
Mkuki kwa nguruwe 😂😂😂 Calimax
 
Sasa wewe ukimuangalia diamond unaona kuna mume wa mtu au baba wa familia pale au furushi tu!!

Sio kila mwanaume ni wa kuoa jamani. Ndoa ni kwaajili ya wanaume wenye akili tu. Wengine mkifanya maamuzi mazuri ya kutokuoa, basi jitahidini msizae pia. Mtakuwa mmeiepushia dunia majanga yasiyo ya lazima.
Diamond si ana pesa nyingi, na nyie wanawake si mnasema mnapendaga wanaume wenye pesa nyingi wawaoe Pellaiah
 
Imagine mm n dr (MD) ..Ni mwanamke...nikakutana na mwanaume kazini...ndo kwanza una miez 2 tu kwny ajira...ajira ya serikalini...mwanaume nlokutana nae Ana diploma ya Laboratory...hata wiki hatujamaliza kweny mahusiano..ananambia nikope million 18 ninunue gari atembelee..afu mimi ndo nikatwe kwny mshahara..aloo nilimpiga chini siku hyo hyo..wanawake tutafute wanaume wanaojiweza ili watutunze.. hatujaumbwa kuprovide..tena cku hz wanaume wanapiga mizinga afadhali ya wanawake...yani mm.kwny mahusiano yangu cjawahi kupewa hela mimi ndo naombwa hela..ya nini mie..nipo single naenjoy..tangu niachane na mahusiano nimeshanunua kiwanja soon naanza ujenzi..before that hela yangu ilikuwa ni kulisha wanaume tu et mpenzi namvumilia atapata kazi..loh
Chai bin uji
 
Jaribu kutoka toka uzuge Kama Kuna mchongo unasikilizia unavyokaa ndani anakuona huna mpango wowote
Haisaidii kitu kama anarudi mikono mitupu,atafute bodaboda au bajaj aendeshe
 
"wanawake wote wapo ivyo..."
emoji118.png
BIG NO
usiwe mbish mkuu ukipata
Pole sana, kisa tu ulitaka kuwasuluhisha?
yaan nilichoka mkuu nikipata mda ntaelezea hiki kisa
 
Ukweli mchungu ni kwamba men are providers and women are receivers
Ndio maana pesa ya mwanamke haitoki bure bure anaweza kupa na aka kudai au na masimamo juu.

Una nikumbusha mbali sana hata kipindi mzee wangu alipo kuwa ana umwa mama alijitahidi kumhusaidia mzee lakini ndio hivyo tena umri Usha enda bora wazeeka wote lakini lakini

Mwanamke yeyote wa kizazi cha sasa umuoe imewekwa ndani alafu kipato chako ni chakusua sua jiandae kusumbuliwa tu.

Kwanza akikunyima unyumba kwa mda wa mwezi mmoja kuanzia hapo tambua kuna mtu ana mpa.

Me siamini mkeo yuko fresh haumwi, hana tatizo lolote basi tambua fika kuna kitu kina hakipo sawa.

Ukiona mapenzi kwa mkeo yana pungua basi mapenzi yake kwako yameanza kushuka pia.

Kila mahusiano unayo yajua wewe either ndoa au laa mwanamke ana kuwekea mahesabu kama akiona unaenda tofauti na malengo yake ana tafuta sababu.

Most women are very shy to break up a relationship ila kuonyesha dalili tu, mbona nyingi utapata na wanajua kabisa wakitoka kwako waende wapi na ni rahisi kujua yaani wale marafiki wa kiume unao ona message zao kwenye simu yake basi kuna ambao anatembea nao.
Inabidi ujikaze kiume ila huo ndio ukweli, huo sio wako tena
 
Jaribu kutoka toka uzuge Kama Kuna mchongo unasikilizia unavyokaa ndani anakuona huna mpango wowote
Kama mwanamke ameanza kuto kuelewa hata ufanyeje ni kazi bure.
Maadamu kasema ana toa mchango kidogo home freshy.
Unaweza toka na ukaja mikono mitupu ikawa nongwa
 
Pole sana mkuu hapo moja kwa moja unaona the power of job/ money!
 
Back
Top Bottom