Tangu sakata la Bandari liamuke Mods wa Jf wanashuguli pevu sana.

Tangu sakata la Bandari liamuke Mods wa Jf wanashuguli pevu sana.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Hawa jamaa ngoje nitumie fursa hii kuwapa pole. Maana wana wakati mgumu sana kuchuja habari.

Watu tunaandika kwa mihemko. Kongole kwenu na pole kwa kupitia mefu ya nyuzi bila kucboka...

I
 
Nyuzi nyingi za hovyo kuhusu sakata la mkataba wa bandari zimekuwa zikitiririka mpaka unaogopa kwa jinsi zilivyoandikwa. Bora zimefutwa maana zingine ilikuwa ni hatari tupu
 
Back
Top Bottom