Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanaaa....sema mwamba anakosa location makini , hata director wake somtyme anakosa ample time ya kuupitia wimbo vizur ili ajue Kona zipi za kibabe video ipite, nyimbo zake zinahtaj pesa ndefu Sana ili kutoa video konki, mfano uwekezaji alioufanya mond kwenye video ya nitampata wapi ulitakiwa ufanyike pia Kwa nyimbo kama hzi ......Na jamaa ana kipaji cha kuigiza sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ametaja tena kwenye wimbo mpya!? Atakosa mashabiki wasiopenda matembele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli jamaa anajua kwenye nyimbo za taratibu ila aache kutajataja matembele kwenye kila wimbo.
sisi wenye aborder tunacoment wapi? anyway mkuu hongera kwa kumiliki sonybiti nzito inagonga kwenye Sony mpak raha ,
Hapo mm naongema na "zezeta"Mbeleko, natafuta Kiki, naogopa , I love you , teamo , my number one ....nouma Sana huyu kijana
DistanceNapenda snaa mashairi yake asee
Ivi wimbo aloomba " hatucheki na nyani tusijevuna mabua,
Mke nampa pesa w unaleta maua "
Unaitwaje?
Hzo zote aborder , alipu nishawah miliki , boofer hzo huwez kupata ladha ya mziki ambao upo balanced , hayo yanaponda Tu .... Sony na some how LG mziki unatoka umechujwa safi kabisa ,....ni kampuni bora Sana Kwa home theater aiseesisi wenye aborder tunacoment wapi? anyway mkuu hongera kwa kumiliki sony
Mashairi yanapatikana kwenye wimbo wa Jay Rox wa Zambia unaitwa 'Distance', ameshirikishwa Rayvanny na AyNapenda snaa mashairi yake asee
Ivi wimbo aloomba " hatucheki na nyani tusijevuna mabua,
Mke nampa pesa w unaleta maua "
Unaitwaje?
Ushagauza ile Allex yako?Mashairi yanapatikana kwenye wimbo wa Jay Rox wa Zambia unaitwa 'Distance', ameshirikishwa Rayvanny na Ay
[emoji44][emoji44][emoji44]Ushagauza ile Allex yako?
Mzee wa kazi, kuna chuma kinaitwa Hanstone.Ray vanny kwangu ni Muimbaji bora wa WCB toka ianzishwe
Nimekuelewa sanaaaa[emoji95][emoji95][emoji95]Huyu mwamba huwa namwelewa Sana, hasa ngoma zake za kubembeleza , ni fundi haswa , sioni mpinzani Kwa huyu king Leopard , ..... First nilimuapreciate sana Dimond Kwa ngoma zake za hsia lakn tangu aturn back na kuanza kuimba ngoma ambazo mi binafsi simuelew , nafkr yeye Kwa kutafta soko nje but kwangu mi simwelewi hata kdog ,
Nilimpenda pia Harmonize , lakini naye tangu atoke WCB kichwa chake hakijatulia kabisa nahs pressure ya WCB inamfanya kichwa chake kijae verse za vijembe , amebak Ali kiba ambaye nyimbo zake nazipenda , mbali ya hayo yote mwamba Rayvanny ni kichwa hasa , sometyme anaimba hzo pochi Nene, mara gongigo , kwangu Mimi hzo zisipend ila nyimbo zake za romantic ni sniper killer .....
Jiwe aliloachia My number one ft Zuchu aiseeee nimekesha naisikiliza hyo mashine , Lizer kaua Sana , biti nzito inagonga kwenye Sony mpak raha , Zuchu kaflow kibabe Sana , very romantic , Rayvanny is my favourite singer Kwa sasa.....ashikilie hapo hapo tuendelee kuburudika Wana
View attachment 1626566
Distance ft ay, rayvanny mwenye wimbo nimemsahauNapenda snaa mashairi yake asee
Ivi wimbo aloomba " hatucheki na nyani tusijevuna mabua,
Mke nampa pesa w unaleta maua "
Unaitwaje?
Hanstone siwezi kusema kama tayari yupo WCB na kingine huwezi kumpima msanii studio. Unampeleka Live ili uone kama ana talent au ni studio artistMzee wa kazi, kuna chuma kinaitwa Hanstone.
Muda utatoa majibu mkongwe!Hanstone siwezi kusema kama tayari yupo WCB na kingine huwezi kumpima msanii studio. Unampeleka Live ili uone kama ana talent au ni studio artist
Amwambie na mdogo wake mboso aache kututajia mbaazi kila wimbo😁😁Ni kweli jamaa anajua kwenye nyimbo za taratibu ila aache kutajataja matembele kwenye kila wimbo.
[emoji23][emoji23] sawa nimekuelewa mkuuMuda utatoa majibu mkongwe!