Tangu sasa nitakuwa namfuatilia sana Rayvanny kwenye Digital Platforms zote

Tangu sasa nitakuwa namfuatilia sana Rayvanny kwenye Digital Platforms zote

Na jamaa ana kipaji cha kuigiza sana
Sanaaa....sema mwamba anakosa location makini , hata director wake somtyme anakosa ample time ya kuupitia wimbo vizur ili ajue Kona zipi za kibabe video ipite, nyimbo zake zinahtaj pesa ndefu Sana ili kutoa video konki, mfano uwekezaji alioufanya mond kwenye video ya nitampata wapi ulitakiwa ufanyike pia Kwa nyimbo kama hzi ......
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ametaja tena kwenye wimbo mpya!? Atakosa mashabiki wasiopenda matembele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hajataja tembele ha haa haaa
 
sisi wenye aborder tunacoment wapi? anyway mkuu hongera kwa kumiliki sony
Hzo zote aborder , alipu nishawah miliki , boofer hzo huwez kupata ladha ya mziki ambao upo balanced , hayo yanaponda Tu .... Sony na some how LG mziki unatoka umechujwa safi kabisa ,....ni kampuni bora Sana Kwa home theater aisee
 
Napenda snaa mashairi yake asee

Ivi wimbo aloomba " hatucheki na nyani tusijevuna mabua,
Mke nampa pesa w unaleta maua "
Unaitwaje?
Mashairi yanapatikana kwenye wimbo wa Jay Rox wa Zambia unaitwa 'Distance', ameshirikishwa Rayvanny na Ay
 
Huyu mwamba huwa namwelewa Sana, hasa ngoma zake za kubembeleza , ni fundi haswa , sioni mpinzani Kwa huyu king Leopard , ..... First nilimuapreciate sana Dimond Kwa ngoma zake za hsia lakn tangu aturn back na kuanza kuimba ngoma ambazo mi binafsi simuelew , nafkr yeye Kwa kutafta soko nje but kwangu mi simwelewi hata kdog ,

Nilimpenda pia Harmonize , lakini naye tangu atoke WCB kichwa chake hakijatulia kabisa nahs pressure ya WCB inamfanya kichwa chake kijae verse za vijembe , amebak Ali kiba ambaye nyimbo zake nazipenda , mbali ya hayo yote mwamba Rayvanny ni kichwa hasa , sometyme anaimba hzo pochi Nene, mara gongigo , kwangu Mimi hzo zisipend ila nyimbo zake za romantic ni sniper killer .....

Jiwe aliloachia My number one ft Zuchu aiseeee nimekesha naisikiliza hyo mashine , Lizer kaua Sana , biti nzito inagonga kwenye Sony mpak raha , Zuchu kaflow kibabe Sana , very romantic , Rayvanny is my favourite singer Kwa sasa.....ashikilie hapo hapo tuendelee kuburudika Wana

View attachment 1626566
Nimekuelewa sanaaaa[emoji95][emoji95][emoji95]
 
Mzee wa kazi, kuna chuma kinaitwa Hanstone.
Hanstone siwezi kusema kama tayari yupo WCB na kingine huwezi kumpima msanii studio. Unampeleka Live ili uone kama ana talent au ni studio artist
 
Back
Top Bottom