Tambi si tambiSijui kwanini nakerwa na style zake za nywele.π
π€£π€£π€£π€£Tambi si tambi
Mi namuonaga kama muimba kwaya tu wa sunday scul.Ray vanny kwangu ni Muimbaji bora wa WCB toka ianzishwe
Umeona mkuu.Nyimbo nying sana ule uimbaji unakua kama unafanana.Mbona mahadhi yake kama tu Te Amor
Mi namuonaga kama muimba kwaya tu wa sunday scul.
Ukweli kamkalisha , ubunifu wa mashairi na Ulinganifu wa vina na mizani , Zuchu alituliaRayvanny ni mkali sana wa mashairi ......ila tuwe fair kidogo kwenye huu wimbo wake wa Number one Zuchu kamkalisha vanny boy
Haka kazuchu kameimba vizuri kuliko yeye
Ahahahahahahha.Dah...haya bwna muimba kwaya wa mtakatifu dangote wa madale πWaimba kwaya huwa tunapendana ndio maana nimemkubali
Sio nywele tu Na anajichubua Mr nyegeziSijui kwanini nakerwa na style zake za nywele.[emoji41]
Vany Mzee wa kujichubua choko wa domoMakofi kwake vanny boy[emoji122]
Anajichubua kama wale wasenge wa kinondoniNi kweli jamaa anajua kwenye nyimbo za taratibu ila aache kutajataja matembele kwenye kila wimbo.
Naona choko umemtambua choko mwenzioVany Mzee wa kujichubua choko wa domo
Ahahahahahahha.Dah...haya bwna muimba kwaya wa mtakatifu dangote wa madale π
Sahihi mkuuUmeona mkuu.Nyimbo nying sana ule uimbaji unakua kama unafanana.
Ana saut nzuri ndio lakin kuna mahala anakwama (kwa sisi wenye masikio ya kimuziki).
Kwaya sa hv ndo zinaimba bongofleva , sidhan kama wimbo wa rayvany ukigongwa kanisan unasound vyema , kwaya zinaimba bongofleva thus why bongo fleva inaonekana kama kwaya , ....Mi namuonaga kama muimba kwaya tu wa sunday scul.