Kama Ke au Me acha dharau kwa wengine,yani unataka anybody akufuate unachokisema... hapa kila mmoja na mawazo yake, alaf pia unasema nimekimbia kuelezea sio kweli, usifikiri wote tunashindia jf kama wewe vile,then tukaacha kibarua....kwanza hoja gani za maana umetoa hadi wadau wakukimbie? Ndio maana nikasema usidharau michango ya wengine ukaona yakwako ipo correct, plz heshimu mawazo ya wengine....
wataalamu wa soka wamesha sema kuwa maradona is the all the time player of the world,unataka maelezo gani zaidi ya haya?
Mpaka huko Argentina mtu akiwa anapanda ghorofani kwenda kwenye ghorofa ya 10 anasema naenda Diego. Huko Naples Maradona ni kama mungu wao" ni kama mungu mtu..japo mimi The Black P sipendi sipendi kutukuzwa binadamu kihivyo" washabiki duniani kote wanakubali kuwa hajawahi kutokea mchezaji kama yeye na hatatokea, ndio maana wanamshangaa Messi! Lapulga or Atomic flea
Hili ndilo jibu la the Great Diego kuhusu hoja zenu za upigaji kura na kuchukua vikombe vingi kabla kabla soka haijawa kali zaidi....
BUENOS AIRES (AFP) - Argentina coach Diego Maradona on Wednesday put Brazilian legend Pele in his place, insisting the latter was the second best player ever after himself.
A FIFA internet poll in 2000 saw Maradona, who will lead the albiceleste against the five-times world champion Brazilians in a September 5 World Cup qualifier, come out on top and he said on Wednesday that ought to settle the issue.
"What matters is that when the people voted, he came second behind me. Nobody can take that away from me," insisted Maradona, who said the fact he had played with success in European club football, unlike Pele, ought to be the clincher - even if Pele won three World Cup titles to his one.
Maradona told FIFA.com that he believed he deserved the accolade of number one player ever.
"Do you know what? I played in European football for ten years while Pele played in South America. Yes he won World Cups and everything, but playing in Europe is something else entirely," he said.
"Not that that makes me much better than him or anything like that. When I played, the man-markers in Spanish and Italian football were like hunting dogs. They never left me alone," said the Argentine.
Chanzo: http://sports.yahoo.com/sow/news?slug=afp-fblwc2010latamargbrapelemaradona&prov=afp&type=lgns
DIEGO MARADONA HAKUNAGAView attachment 395608
[emoji1] [emoji1] [emoji1] LEO10
Messi akiwa kakabwa na timu nzima hadi Refa!!!golikipa nae yupo kwa mbele tu hapo
Kwa kawaida watu weupe kumkubali mtu mweusi huwa ngumu sana kwenye kila jambo. Ukiona wamemkubali , basi tambua kuwa ni vida sana. Unawafahamu, Mohamed Ally, Tyson, Michael Jordan, Serena Williams, nk. Hawa ni bora ama walikuwa bora sana mpaka wazungu wakashindwa Kufanya figisu.Hawa wawili wameupeleka Mpira kwenye level ya kipekee. In my opinion mtu kama Pele naona ni overrated.
kiongozi,naona unazunguka tuuuuu maneno mengi unanilisha maneno sijaandika wala kumaanisha lakini unashindwa kujibu kahoja kamoja tu....Maradona anakumbukwa kwa mechi ngapi?nakuhakikishia hazizidi mbili!!!mojawapo ni ile aliyofunga goli kwa kutumia kiungo kinachotumika katika netiboli.....mkono!!!Messi yuko mbali sana kupita huyo Maradona!kama Kucheza Ulaya Messi kacheza zaidi Ulaya kuliko maradona na kuchukua makombe ya Ulaya ambayo Maradona hata azaliwe na kurudi mara 3 hatoweza kuchukua....kama kuna kitu chochote unadhani kinamuweka Maradona mbele ya Messi basi ni kushinda katika World Stage yaani World Cup...naam Pele kafanya hivyo mara nyingi zaidi ya Maradona wako...Mara 3!!!Hivyo kwa vigezo alivyotamba navyo maradona wako Who is the Greatest????Messi must be ahead of him bila hata ya kumzungumzia Pele!!Jibu hoja niliyoileta sio mleta hoja
kinachotokea hapa kumbe ni MAHABA TU...
Kwa kawaida watu weupe kumkubali mtu mweusi huwa ngumu sana kwenye kila jambo. Ukiona wamemkubali , basi tambua kuwa ni vida sana. Unawafahamu, Mohamed Ally, Tyson, Michael Jordan, Serena Williams, nk. Hawa ni bora ama walikuwa bora sana mpaka wazungu wakashindwa Kufanya figisu.
Pele alicheza kipindi ubaguzi bado upo juu sana. Lakini wazungu waliona kuwa yeye ndiye alikuwa bora kuliko wachezaji wote duniani. Kuna watu wanasema alicheza kipindi Mpira haukuwa kama wa sasa. Mimi nasema vyovyote vile, kama Pelle angecheza zama hizi angekuwa bora zaidi nilingana na zama.
kiongozi,naona unazunguka tuuuuu maneno mengi unanilisha maneno sijaandika wala kumaanisha lakini unashindwa kujibu kahoja kamoja tu....Maradona anakumbukwa kwa mechi ngapi?nakuhakikishia hazizidi mbili!!!mojawapo ni ile aliyofunga goli kwa kutumia kiungo kinachotumika katika netiboli.....mkono!!!Messi yuko mbali sana kupita huyo Maradona!kama Kucheza Ulaya Messi kacheza zaidi Ulaya kuliko maradona na kuchukua makombe ya Ulaya ambayo Maradona hata azaliwe na kurudi mara 3 hatoweza kuchukua....kama kuna kitu chochote unadhani kinamuweka Maradona mbele ya Messi basi ni kushinda katika World Stage yaani World Cup...naam Pele kafanya hivyo mara nyingi zaidi ya Maradona wako...Mara 3!!!Hivyo kwa vigezo alivyotamba navyo maradona wako Who is the Greatest????Messi must be ahead of him bila hata ya kumzungumzia Pele!!Jibu hoja niliyoileta sio mleta hoja
ππeti anakumbukwa kwa mechi mbili to..acha kujisemea kiongozi,naona umeishiwa sasa unabakia kurudia yaleyale maneno! haya bana, Mimi sikukatalii kuwa messi ni zaidi ya maradona.. nikweli king messi ni zaidi ya king diego..lakini unavyosema pele kawazidi wawili hao. hapo nitakubishia tena sio kidogo...japo ana 3 world cups lakini still kuwafikia wawili hawa, so hayo yatabakia kuwa mawazo yako kwa huyo babu...lkn kwangu mimi King Messi na King diego watabakia kuwa wachezaji bora kuwahi kutokea..no doubt
hapo tunaenda sawa mkuu!haya rudi kule juu kamuweke Messi number 1 kisha namba 2 muweke Maradona!!!Kuhusiana na Pele kusema kweli mimi mwenyewe sikuwahi kumuona live akicheza hivyo,nimemuweka mbele ya hawa wawili kwa kufuata mapokeo tu na statistics zake wala si kwa kumuona akisakata kabumbu,hivyo sioni ulazima wa kukomaa kwamba Pele ni bora kuliko wote!Nitabaki kuamini mchezaji bora zaidi kupata kutokea niliyemuona kwa macho yangu akili na moyo wangu ukamkubali kuwa ndie ni Lionel Messi.
vp uliwahi kumwona Edibily Lunyamila?maana huyo mess hata marekani hawamjui
Gaucho ni burudani, unatamani kila muda mpira ufike kwake ili uone mbwembwe zake. Hata Kocha wa timu pinzani anatamani Gaucho aguse mpira ili aone radhaa.Mchezaji bora duniani ambaye dunia kumpata tena ni ndoto ni Ronadino kwa sababu yeye amevunja rule and laws za mpira nani alishawi kumuona mchezaji akiwa uwanjani anacontrol mpira na ustadi mkubwa ule na Messi na Ronaldo mdogo wamevunja records tuu za makombe magoli bt kamwe wanajua wenyewe hawana uwezo Wa burudani ya Ronadhino
Kaka, Hii ni hatari.
Messi akiwa kazungukwa na timu nzima ya Chile kasoro forward na kipa!!!!Whatever Maradona can do....Messi can do it better....except scoring by hand at the World Cup!!!
Aha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!
Messi akiwa kakabwa na timu nzima hadi Refa!!!golikipa nae yupo kwa mbele tu hapo
Mchezaji bora duniani ambaye dunia kumpata tena ni ndoto ni Ronadino kwa sababu yeye amevunja rule and laws za mpira nani alishawi kumuona mchezaji akiwa uwanjani anacontrol mpira na ustadi mkubwa ule na Messi na Ronaldo mdogo wamevunja records tuu za makombe magoli bt kamwe wanajua wenyewe hawana uwezo Wa burudani ya Ronadhino