Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?

Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?

Nikweri kamanda ata mimi sijawai shuhudia mchezaji kawapita difensi wa4-6! iz diego and messiah alone
Uliangalia game ya Atletico Madrid vs Bayern Munich pale vicente cal derona..28/4/2016....¿¡
 
acheni utani nyie kuna hawa watu hawa
gaucho
christiano ronaldo
zidane
wanajua kulikooo
 
Gaucho!!![emoji15] seriously??? For me Dinho hamfikii hata Zidane, and he is not even close to him. Juzi tu hapa Ronaldo(the real Ronaldo, not Cr7) alisema bila kupepesa macho kua Zidane is the best player he has ever played with. Mind you, Ronaldo kacheza na wote, Gaucho na Zizou

Your comment is but a laughing stock! I respect both opinions as long as they remain personal! Its a sin against football to say Zidane beats Gaucho in any angle!
 
GREATEST PLAYERS OF ALL TIME

1-maradona=Argentina
2-messi=Argentina
3-Alfredo de stefano=Argentina
4-Zidane=France
5-Beckenbauer=Germany
6-Pele=Brazil
7-Johan Cruiff=Holland
8-Redondo=Argentina
9-Mario kempes=Argentina
10-Cr7=Portugal
 
Your comment is but a laughing stock! I respect both opinions as long as they remain personal! Its a sin against football to say Zidane beats Gaucho in any angle!

Ronaldino hafiki ht robo ya zidane,
 
Kama unaongelea kufunga na kuchukua vikombe,kweli messi ni zaidi ila kama unaongelea MCHEZAJI MPIRA,GAUCHO kwa karne hii ya 21 mpaka sasa ni hakunaga,nenda heirlj channel pale YouTube,utakuta habari zao wote wawili halafu uje tena hapa, kwA pele na maradona ,yeyote Kati Yao anaweza kuwa mkali maana pele nae alikuwa mkatili uwanjani si kidogo,

😀😀 Messi na gaucho? upo dunia ya wapi ndugu? Yaani Sawa sawa na tyson umpambanishe na francis cheka... duh tumejaza mashabiki mandazi humu si mchezo..

Danhosnoop njoo uone KING anavyo-dhalilishwa na mandazi fans 😀
 
😀😀 Messi na gaucho? upo dunia ya wapi ndugu? Yaani Sawa sawa na tyson umpambanishe na francis cheka... duh tumejaza mashabiki mandazi humu si mchezo..

Danhosnoop njoo uone KING anavyo-dhalilishwa na mandazi fans 😀
Yeeah..!!! Gaucho ni mtu mwingine hata kama ww ni kitumbua fan,labda nikutoe umaandazi tu,gaucho ni kipaji asilia wakati messi ni zao la kuku wa kufugwa, pili jinsi ronaldinho alivyokuwa anaishi ni kipaji tu kilimbeba na laiti kama messi angeishi maisha ya gaucho type angelikuwa ameshafutika zama, magic ball control ,impossible bicycle kicks,back,shoulder,neck plus waist control & passing,usisahau kuvaisha viremba watu wa3 na kutegua watu viuno na nyonga kwa vyenga,teh
 
Sawa ila mimi kwangu Gaucho is the one and the only one true prophet of football

Maradona=Argentina
Messi=Argentina
Alfredo de stefano=Argentina
Zidane=Fance

Sijapata kuona players wenye kila aina ya sifa kama hawa tangia soccer lianze hapa ulimwenguni! Hebu kuweni wawazi,na acheni wivu wa kike eti kisa ni mafundi.

Huyo gaucho nachompendea anavyotingisha mauno na kukenua
 
Maradona=Argentina
Messi=Argentina
Alfredo de stefano=Argentina
Zidane=Fance

Sijapata kuona players wenye kila aina ya sifa kama hawa tangia soccer lianze hapa ulimwenguni! Hebu kuweni wawazi,na acheni wivu wa kike eti kisa ni mafundi.

Huyo gaucho nachompendea anavyotingisha mauno na kukenua

😛😛😛😛 Ekibinda nkoi
 
😛😛😛We jamaa unanifanya nicheke tu,timu alizochezea hizo hapo! unafikiri pele huyu au mchezaji yeyote unayemfikiria?

1976–1981 Argentinos Juniors
1981–1982 Boca Juniors
1982–1984 Barcelona
1984–1991 Napoli
1992–1993 Sevilla
1993–1994 Newell's Old Boys
1995–1997 BocaJuniors

Ingia youtube ujionee, usipende kuhadithiwa

kijana kwanza kuwa adabu,niombe radhi kwa kuniita shabiki mandazi,halafu pia jifunze kujibu hoja,sijakuambia unitajie msururu wa timu alizochezea maradona,kama msururu ni hoja basi maradona wako hamuwezi Nicholas Anelka!!kitendo cha kushindwa kujibu hoja yangu kinaonesha maradona wako ni mtupu!!
 
Maradona=Argentina
Messi=Argentina
Alfredo de stefano=Argentina
Zidane=Fance

Sijapata kuona players wenye kila aina ya sifa kama hawa tangia soccer lianze hapa ulimwenguni! Hebu kuweni wawazi,na acheni wivu wa kike eti kisa ni mafundi.

Huyo gaucho nachompendea anavyotingisha mauno na kukenua

Tatizo wewe utakuwa BRN! Unakuwa na wivu na mtu ambaye unamwona kwenye TV na ambaye zaidi ya hapo hakuna la zaidi! Acha tabia za kishangingi.
 
Maradona=Argentina
Messi=Argentina
Alfredo de stefano=Argentina
Zidane=Fance

Sijapata kuona players wenye kila aina ya sifa kama hawa tangia soccer lianze hapa ulimwenguni! Hebu kuweni wawazi,na acheni wivu wa kike eti kisa ni mafundi.

Huyo gaucho nachompendea anavyotingisha mauno na kukenua

😀😛 Hana lolote uyo dunia yenyewe haimtambui
 
Huyu jamaa hakunaga, mpira ulikuwa unampenda ni kama messi vile... dunia haiwezi msahau huyu jamaa EL DIEGO10S

Screenshot_2016-05-07-13-15-20-1.png
 
Wengi wanafikia viwango vya feruzi au kuwa ma D Choka! mpira unataka zoezi! wao zoezi shida, madem ndio usiseme…… hebu aje Mrisho ngasa atuelezee kwanini hawafiki huko sababu hata kina Pelle hawakushikana mikono na Mungu! So ingewzekana hata kwa wao endapo wangekuwa na nia
 
Redondo wa kumfananisha na Zidane...Redondo yupo juu zaidi akiwa madrid zidane juve wamekutana mara mbili..zidane na edgar david walipotea zoote yule ni fundi sema media hazikuumpa attention kama hao wengine...Zidane ni kundi moja la Gaucho na Jay jay Okocha..
 
kijana kwanza kuwa adabu,niombe radhi kwa kuniita shabiki mandazi,halafu pia jifunze kujibu hoja,sijakuambia unitajie msururu wa timu alizochezea maradona,kama msururu ni hoja basi maradona wako hamuwezi Nicholas Anelka!!kitendo cha kushindwa kujibu hoja yangu kinaonesha maradona wako ni mtupu!!

Naomba radhi...pia nimejibu hoja nzuri sana without annoying anyone, na huwa sikurupuki hovyo kama unavyofikiri....pia kwako wewe unaona msururu ktk timu alizocheza lakini dunia nzima inatambua mchango wake,, MARADONA ni jeshi la mtu mmoja ktk timu alizocheza...huyu mshikaji tutammiss sana, lakini yupo mbadala wake aliemwachia mkoba wake ni LEO10S..no doubt
 
Km ukilinganisha mpira wa zamani na wasasa utagundua kua zamani waliokua bora walikua wengi ukilinganisha na sasa...zamani kila mchezaji alikua anacheza kwa kuonyesha uwezo binafsi...siku hizi kuna teamwork.
 
Back
Top Bottom