Uchaguzi 2020 Tangu Tanzania ipate Uhuru, kwa mara ya kwanza CCM inaenda kutumia nguvu nyingi kufanya kampeni

Uchaguzi 2020 Tangu Tanzania ipate Uhuru, kwa mara ya kwanza CCM inaenda kutumia nguvu nyingi kufanya kampeni

Mkuu juz nilikaaa sehemu Wakati anachukua form watu wanaangalia TV kuna wawili walitamba Sana na kumshabikia Sana watu Kama 40 hivi walikuwa kimya wale wakaenda wakawatibua wale 40 walihamaki wakaanza kuwachamba na kusema kuwa tupige kura sasahivi hapa Kati walionyosha mkono kumkataa ni 36 wslionyosha kumkubali ni 6 tu nilishangaa Sana watu wakaanza kusema kuwa watu wanaomkubali magufuli wamekuwa huru kwa kutamba na wanajitokeza zaid Na wanaompinga wamejichimbia wako kimya kutokana na hofu iliyojengwa na serikali Ya kuwafuatilia Ndio maaana watu Kama wewe mnakuwa na ujasiri wa kuongea hivyo Lakini kinachopelekea uongee hivyo ni watu Wa upande wa pili kukaa kimya Lakini ukweli ni kuwa Kwa Uchaguzi huru na haki magufuli ni 30 asilimia tu na haziwez vuka hapo huo ndio ukweli usiosemwa Mkuu
ngoja tuone ni suala la muda tu ila mi naamini atapata kura nyingi upinzani hawana hoja mpya
 
ngoja tuone ni suala la muda tu ila mi naamini atapata kura nyingi upinzani hawana hoja mpya
Mimi namkubali magufuli Kwa Maendeleo Ya nchi isipokuwa simkubali hata chembe kwenye uhuru na haki za binadam, magufuli upande wa haki za binadam na uhuru wa kujieleza ni ziro Kabisa Mkuu, na unajua kabisa kuwa sisi ni binadam twapaswa kupendana na kusaidiana Lakini huyu mzeee yeye anaweza hata akafanya Sherehe pale ambapo mtu wa chama kingne amepigwa risasi Au amekufa huuu sio utu Kwa kweli na Maendeleo pasipo uhuru wa raia ni bomu linalosubiria kulipuka
 
Mimi namkubali magufuli Kwa Maendeleo Ya nchi isipokuwa simkubali hata chembe kwenye uhuru na haki za binadam, magufuli upande wa haki za binadam na uhuru wa kujieleza ni ziro Kabisa Mkuu, na unajua kabisa kuwa sisi ni binadam twapaswa kupendana na kusaidiana Lakini huyu mzeee yeye anaweza hata akafanya Sherehe pale ambapo mtu wa chama kingne amepigwa risasi Au amekufa huuu sio utu Kwa kweli na Maendeleo pasipo uhuru wa raia ni bomu linalosubiria kulipuka
mkuu hata huko ulaya watu wana fixiwa hata mwalim aliyafanya haya tena alikua anawaweka watu underhouse arrest hii nchi inabidi uwe mkali kidogo ili mambo yaende si unaona jk alivyokua anawachekea walivyokua wanamfanya kama babu yao
 
mkuu hata huko ulaya watu wana fixiwa hata mwalim aliyafanya haya tena alikua anawaweka watu underhouse arrest hii nchi inabidi uwe mkali kidogo ili mambo yaende si unaona jk alivyokua anawachekea walivyokua wanamfanya kama babu yao
Sio Kwa kiwango hiki Mkuu, nchi iko kwenye Giza Mkuu, watu wamefungwa mnyororo Mkuu, vyombo vya habari haviko huru wanalalama na kulalamika chini kwa chini Au wewe huna rafiki kwenye vyombo vya habari? Au Ndugu? Hali sio kabisaaa hali ni ngumu kiongozi, Tanzania kwa sasa imezalisha vikundi vya kigaid Kama vya watu wasiojulikana au Yule musiba anachokifanya ni ugaid Lakini angalia alivyohuru haijawahi tokea na inasikitisha
 
Ila sugu Mkuu ni kisiki cha mpingo, kumngoa sugu lazima itumike polis na mitutu mikubwa mikubwa pasipo kufanya hivyo utasugua Sana gaga Mkuu hilo liko wazi, kwa Uchaguzi usiotumia bunduki sugu sio rahis Kama unavyodanganyika
Tulia dislike
 
Sio Kwa kiwango hiki Mkuu, nchi iko kwenye Giza Mkuu, watu wamefungwa mnyororo Mkuu, vyombo vya habari haviko huru wanalalama na kulalamika chini kwa chini Au wewe huna rafiki kwenye vyombo vya habari? Au Ndugu? Hali sio kabisaaa hali ni ngumu kiongozi, Tanzania kwa sasa imezalisha vikundi vya kigaid Kama vya watu wasiojulikana au Yule musiba anachokifanya ni ugaid Lakini angalia alivyohuru haijawahi tokea na inasikitisha
mkuu china usingeweza kuishi wewe ha ha ha ha ha kule hata makanisa au misikiti hawataki
 
Mimi namkubali magufuli Kwa Maendeleo Ya nchi isipokuwa simkubali hata chembe kwenye uhuru na haki za binadam, magufuli upande wa haki za binadam na uhuru wa kujieleza ni ziro Kabisa Mkuu, na unajua kabisa kuwa sisi ni binadam twapaswa kupendana na kusaidiana Lakini huyu mzeee yeye anaweza hata akafanya Sherehe pale ambapo mtu wa chama kingne amepigwa risasi Au amekufa huuu sio utu Kwa kweli na Maendeleo pasipo uhuru wa raia ni bomu linalosubiria kulipuka

Nadhani shida yako ni kwamba hujui ni kura za kundi gani ndizo zinamuwezesha mtu kuwa Rais wa Tanzania. Kundi lililo nyuma ya mtu kuwa Rais wa Tanzania ukiliuliza freedom of speech ni mnyama gani na linanufaikaje naye hata halijui. Lakini hilo kundi linajua vizuri sana linavyonufaika na uwepo wa barabara inayopitika misimu yote, kusogezwa kwa huduma ya afya ambayo lilikuwa linalazimika kuifuata umbali mrefu sana, kutatuliwa kwa kero ya upatikanaji wa maji ya bomba katika vijiji/vitongoji/mitaa yake, nakadhalika.

Once you bridge this knowledge gap, it’s easy to see that defeating Magufuli is almost impossible!
 
Nadhani shida yako ni kwamba hujui ni kura za kundi gani ndizo zinamuwezesha mtu kuwa Rais wa Tanzania. Kundi lililo nyuma ya mtu kuwa Rais wa Tanzania ukiliuliza freedom of speech ni mnyama gani na linanufaikaje naye hata halijui. Lakini hilo kundi linajua vizuri sana linavyonufaika na uwepo wa barabara inayopitika misimu yote, kusogezwa kwa huduma ya afya ambayo lilikuwa linalazimika kuifuata umbali mrefu sana, kutatuliwa kwa kero ya upatikanaji wa maji ya bomba katika vijiji/vitongoji/mitaa yake, nakadhalika.

Once you bridge this knowledge gap, it’s easy to see that defeating Magufuli is almost impossible!
Sikukubali Kabisaaa na hoja zako Mkuu Hakuna Kipindi ambacho kulijengwa barabara kuzid kipindi cha kikwete, ujue vitu vilivyofanyika kipindi cha kikwete ni vingi Sana na nivikubwa Sana kuliko kipindi hiki na ukiangalia nikuwa kipindi hiki kimekopa hela nyingi mno kuliko kipindi chote cha Marais waliopita na kimekamua wananchi Sana na ndicho kipindi kilichopelekea vijana wengi kukosa ajira kuliko vipindi vyooote sasa sielewi unachozungumzw Mkuu labda ujitoe ufaham uteteee ugali wako
 
Sikukubali Kabisaaa na hoja zako Mkuu Hakuna Kipindi ambacho kulijengwa barabara kuzid kipindi cha kikwete, ujue vitu vilivyofanyika kipindi cha kikwete ni vingi Sana na nivikubwa Sana kuliko kipindi hiki na ukiangalia nikuwa kipindi hiki kimekopa hela nyingi mno kuliko kipindi chote cha Marais waliopita na kimekamua wananchi Sana na ndicho kipindi kilichopelekea vijana wengi kukosa ajira kuliko vipindi vyooote sasa sielewi unachozungumzw Mkuu labda ujitoe ufaham uteteee ugali wako

Ulichoandika sasa na ulichoandika hapo awali ni tofauti kama usiku na mchana!

Siwezi kutumia nguvu nyingi sana kukuelewesha kitu ambacho kitajiweka wazi ndani ya siku 90 zijazo. Tukutane hapa November 2020! In the meantime, andaa visingizio tu.
 
Kwa mujibu wa PolePole taarifa aliyoitoa juzi inaonesha kuwa Uchaguzi wa Mwaka huuu Ccm inaenda kufanya kampeni kubwa ambazo hazijawahi kushuhudiwa tangu nchi hii ipate uhuru.

Swali langu inamaana CCM Uchaguzi huuu inawasiwasi Mkubwa kushindwa? Au kuna mgombea wa upinzani ambae anaifanya CCM iwe na hofu?

Katika akiri tu Ya kawaida ukisikiliza maneno Ya Pole Pole yanaonesha pia kuwa Uchaguzi huuu utapelekea CCM kutumia hela nyingi kuliko chaguz zote zilizowahi kufanyika tangu Tanzania iiingie kwenye mfumo wa vyama vingi, hiii inanishangaza na kauli nyingi zilizokuwa zinatolewa huko Nyuma na baadhi ya wanaccm kuwa magufuli haitaji hata kufanya kampeni, wengi Walisema kuwa magufuli na CCM haviona sababu ya kufanya kampeni.

Unaweza kugundua kuwa CCM wenyewe wana hofu iliyopitiliza, maaana kukusanya tu wasanii zaid ya Mia moja pamoja watatumia pesa nyingi Sana na hiyo Yote ni hofu ya kushindwa, sasa kelele zooote za kutamba kuwa hakuna haja ya magufuli kufanya kampeni zimeenda wapi? Au kuna mgombea wa upinzani ambae hakudhaniwa kuwa atagombea sasa kajitokeza gafla wazee wakabadili gia angani?
Ndo ujue hadhi ya chama ishabadilika ni JPM ndo aliekibadilisha chama,,,

Na ni kazi ya chama kueleza maono yake juu ya nchi lazima wananchi waelewe tunaelekea wapi ...

Kufanya kampeni ni muhimu ili watz waelewe nini maono ya chama na kinataka kuwapeleka wapi,,, lakini pia kutoa ujinga unaowekwa na CHADEMA hasa kwenye akili za vijana na kuwafanya wadumae wasifanye kazi kutegemea serikari yao iwaletee kila kitu

Acha kifanye kampeni bwana!!!

Tunamuamini JPM bado
 
Siwezi kutumia nguvu nyingi sana kukuelewesha kitu ambacho kitajiweka wazi ndani ya siku 90 zijazo. Tukutane hapa November 2020! Tumia huu muda kuandaa visingizio tu.
Ukweli unabaki kuwa ukiweka Uchaguzi huru na wahaki, magufuli ni chali kifo cha mende na hilo analifaham Ndugu ndio maana inatumika nguvu kubwa Ya faulo Kwa wapinzani Au wewe haupo Tanzania?

Ni Mwaka upi zilitumika hela za walipa kodi kuwanunua wapinzani? Hivi unajua kuwa lipumba na mbatia wanatumia garama za kodi Ya wananchi? Hela Toka serikalini? Ni mwaka upi uliona vyombo vya habari vinatishiwa? Kama unajiamini why utumie nguvu kubwa Ya ukatiri kiasi hicho? Kama unajiamini kuwa utashinda Kwa nini utumie hadi ukatiri? Si uingie uwanjani mpira upigwe? Kushinda hatashinda ila kutangazwa atatangazwa kutokana kuwa ana bunduki na mabomu ila Chukua tahadhali ukijua kuwa MUNGU yupo lolote linalohusu kutumia nguvu kushinda anaweza kulibadili muda wowote Kwa Wakati wake kwa njia anazoziona kuwa zinafaa

MUNGU ana mamlaka yake Mkuu, usijiamini Sana kutokana na kutumia nguvu, hata huyo lisu watu Walisema atakufa hakufa, wakasema hawez rudi akarudi wakasema hawez pitishwa na chama Chake akapitishwa wakasema hawed Pewa form amepewa, hivyo huwez jua Mkuu MUNGU ana yake katika maisha Ya binadam hapa duniani
 
Ndo ujue hadhi ya chama ishabadilika ni JPM ndo aliekibadilisha chama,,,

Na ni kazi ya chama kueleza maono yake juu ya nchi lazima wananchi waelewe tunaelekea wapi ...

Kufanya kampeni ni muhimu ili watz waelewe nini maono ya chama na kinataka kuwapeleka wapi,,, lakini pia kutoa ujinga unaowekwa na CHADEMA hasa kwenye akili za vijana na kuwafanya wadumae wasifanye kazi kutegemea serikari yao iwaletee kila kitu

Acha kifanye kampeni bwana!!!

Tunamuamini JPM bado
Usiseme chama Ndugu Mimi ni Ccm damu naomba nikueleze kuwa Kwa sasa Hakuna Ccm, huo ndio ukweli, Ccm ya zamani yenye democracy haipo, Ccm Kwa sasa ni mtu mmoja tu ndio mwenye maaamuz, magufuli ndio mwenye maaamuzi pekee yake ndio mwaaamuz wa kila Jambo hata wale unaowaona akina bashiru hana mamlaka yoyote Ccm imechukuliwa na magufuli Nani awe diwani, Nani awe Mbunge ni mtu mmoja tu ndio mwenye mamlaka na Kwa taarifa yako wale tu wanaokula Kwa kutokana na Ccm ndio wanaomuunga mkono Kwa asilimia Mia ila wale wanaoishi Kwa kutegema nguvu zao wanamuunga mkono kinafiki hawapo nae na wengi hawatampigia Kura Kama Mimi na ukoo wetu wote
 
Ukweli unabaki kuwa ukiweka Uchaguzi huru na wahaki, magufuli ni chali kifo cha mende na hilo analifaham Ndugu ndio maana inatumika nguvu kubwa Ya faulo Kwa wapinzani Au wewe haupo Tanzania?

Ni Mwaka upi zilitumika hela za walipa kodi kuwanunua wapinzani? Hivi unajua kuwa lipumba na mbatia wanatumia garama za kodi Ya wananchi? Hela Toka serikalini? Ni mwaka upi uliona vyombo vya habari vinatishiwa? Kama unajiamini why utumie nguvu kubwa Ya ukatiri kiasi hicho? Kama unajiamini kuwa utashinda Kwa nini utumie hadi ukatiri? Si uingie uwanjani mpira upigwe? Kushinda hatashinda ila kutangazwa atatangazwa kutokana kuwa ana bunduki na mabomu ila Chukua tahadhali ukijua kuwa MUNGU yupo lolote linalohusu kutumia nguvu kushinda anaweza kulibadili muda wowote Kwa Wakati wake kwa njia anazoziona kuwa zinafaa

MUNGU ana mamlaka yake Mkuu, usijiamini Sana kutokana na kutumia nguvu, hata huyo lisu watu Walisema atakufa hakufa, wakasema hawez rudi akarudi wakasema hawez pitishwa na chama Chake akapitishwa wakasema hawed Pewa form amepewa, hivyo huwez jua Mkuu MUNGU ana yake katika maisha Ya binadam hapa duniani

Ndiyo maana nikakukumbusha kutumia muda huu kuandaa visingizio!

Ni uwendawazimu kwa mtu kushiriki kwenye mchakato ambao anajua kushiriki au kutokushiriki kwake hakutabadilisha matokeo.
 
Usiseme chama Ndugu Mimi ni Ccm damu naomba nikueleze kuwa Kwa sasa Hakuna Ccm, huo ndio ukweli, Ccm ya zamani yenye democracy haipo, Ccm Kwa sasa ni mtu mmoja tu ndio mwenye maaamuz, magufuli ndio mwenye maaamuzi pekee yake ndio mwaaamuz wa kila Jambo hata wale unaowaona akina bashiru hana mamlaka yoyote Ccm imechukuliwa na magufuli Nani awe diwani, Nani awe Mbunge ni mtu mmoja tu ndio mwenye mamlaka na Kwa taarifa yako wale tu wanaokula Kwa kutokana na Ccm ndio wanaomuunga mkono Kwa asilimia Mia ila wale wanaoishi Kwa kutegema nguvu zao wanamuunga mkono kinafiki hawapo nae na wengi hawatampigia Kura Kama Mimi na ukoo wetu wote
Thibitisha hilo nione!!!

Bado democracy iliyopo CCM ni ya kuigwa hata na wapinzani!!!

Lazima chama kijiridhishe na mtu anaeenda kusimama kwa aijiri ya wananchi hatutaki wababaishaji tena!!!
 
Ndiyo maana nikakukumbusha kutumia muda huu kuandaa visingizio!

Ni uwendawazimu kwa mtu kushiriki kwenye mchakato ambao anajua kushiriki au kutokushiriki kwake hakutabadilisha matokeo.
Mkuu ni kosa kubwa Sana kutoshiriki, maana ingekuwa hivyo magufuli asingeshiriki kuomba kugombea kipindi kile kupitia Ccm, hata wewe hapo ulipokaa unakumbuka na kufaham kuwa magufuli aliingia kwenye kinyanganyiro akihisi kuwa hawez fanikiwa yeye mwenyewe alihisi hivyo na wewe na Mimi na huyo uliekaaa nae hapo pembeni alijua hivyo, Hakuna aliejua kuwa magufuli angekuwa rais, asilimia Mia waligawanyika Kwa membe na lowasa Lakini hawakupita akaja kuwa magufuli, ninachotaka kukuambia kuwa ajue kesho yako ni MUNGU pekee, lolote linaweza kutokea hapo katikati, MUNGU ni Mkubwa kuliko binadam kwenye dhuluma iliyoko mbele, huwa anaiona mbele kabla Ya wewe, maisha Ya binadam na mfumo wa uongozi MUNGU huwa anaujua kabla na sisi huwa tunaangalia recorded iliyokwisha chezwa Akiwa anaangalia MUNGU
 
Kwa mujibu wa PolePole taarifa aliyoitoa juzi inaonesha kuwa Uchaguzi wa Mwaka huuu Ccm inaenda kufanya kampeni kubwa ambazo hazijawahi kushuhudiwa tangu nchi hii ipate uhuru.

Swali langu inamaana CCM Uchaguzi huuu inawasiwasi Mkubwa kushindwa? Au kuna mgombea wa upinzani ambae anaifanya CCM iwe na hofu?

Katika akiri tu Ya kawaida ukisikiliza maneno Ya Pole Pole yanaonesha pia kuwa Uchaguzi huuu utapelekea CCM kutumia hela nyingi kuliko chaguz zote zilizowahi kufanyika tangu Tanzania iiingie kwenye mfumo wa vyama vingi, hiii inanishangaza na kauli nyingi zilizokuwa zinatolewa huko Nyuma na baadhi ya wanaccm kuwa magufuli haitaji hata kufanya kampeni, wengi Walisema kuwa magufuli na CCM haviona sababu ya kufanya kampeni.

Unaweza kugundua kuwa CCM wenyewe wana hofu iliyopitiliza, maaana kukusanya tu wasanii zaid ya Mia moja pamoja watatumia pesa nyingi Sana na hiyo Yote ni hofu ya kushindwa, sasa kelele zooote za kutamba kuwa hakuna haja ya magufuli kufanya kampeni zimeenda wapi? Au kuna mgombea wa upinzani ambae hakudhaniwa kuwa atagombea sasa kajitokeza gafla wazee wakabadili gia angani?
Chama chokwa kina kazi mwaka huu bila bao la mkono wajiandae kukaa benchi.
 
Jiulize kwanini mwenyekiti wao alichukua form mwenyewe? kwanini kura zilipigwa wazi?
Hawakubaliki hata ndani ya Chama.
 
Back
Top Bottom