Tangu tupate Uhuru ni mara ya kwanza sherehe za Muungano kuhudhuriwa na Marais wote kutoka upande wa Zanzibar

Historia ina faida yake, bila historia usingejua Tanganyika ilipata uhuru lini.
 
Siyo kweli ilikuwa hivyo wakati Mwinyi akiwa rais wa JMT na komandoo Salmin Amour akiwa rais wa Zanzibar.
 
Tujiandae kupokea UJUMBE mzito wa KATIBA .....

Tanzania imekuwa mpaka ina vitukuu
 
Hussein yuko poa sana japo nasikia hao mabingwa ni kaka na dada. Nahsi tumepigwa
 
Mkuu kwani wakati wa Mzee Mwinyi ilikuwaje? Idris Abdul Wakil na kipindi cha Salmin Amour hakuwa wakihudhuria sherehe hizi?
 
Mwinyi alizaliwa Kivure kwenye Mkoa wa Pwaniwa Tanzania bara lakini wazazi wake walihamia Unguja alipokuwa mdogo. Kuanzia mwaka 1933 alipokea elimu ya msingi na sekondari kwenye shule za Mangapwani na Dole Secondary School alikohitimu mwaka 1942.
Kuzaliwa kwake Bara hakumuondolei Uzanzibari wake.
Uzanzibari haupatikani kwa kuzaliwa tu bali hata kwa kuishi.
Uzanzibari unapatikana kwa Mtanzania yoyote alieishi Zanzibar kwa miaka 5 mfululizo. Na Kuna kipindi hapo ilipunguzwa mpaka 2 Ila baadae ikarudishwa 5.
 
Kwani wakati wa mzee Ruksa ilikuwaje?

Ruksa sio mzanzibar Ni Mzaramo wa Bara huku. Kuna kipindi Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar alikuwa Thomas Mihayo kutoka bara. Bara ilimuazima Zanzibar Rais Mwinyi.
 
Ally Hassan Mwinyi alizaliwa Mkuranga Kivure Mkoa wa Pwani wazazi wake walihamia Unguja alipokuwa mdogo. Hussein ni mzanzibari alizaliwa Zanzibar Unguja trh 23/12/1966.
Sasa mbona mwanchanganya ivo?
Siye huyu Husein aliyekua mbunge wa Nkuranga? Hivi wazanzibari Wana ruhusiwa kugombea huku? Au mie nkagombee ubunge Chakechake
 

Kwa nini mababu zetu hawakuwashirikisha wanawake kwenye vikao vya maamuzi​

Maamuzi walikua wanatoa wanawake usiku.
Wanawake hasa waliowalisha waume zao limbwata walikua wanawaamrisha kwenye kikao ukaseme abc.
Wanawake walitawala kupitia chumbani, hata Sasa hivi bado wanafanya hivyo, ndio maana unaweza kumkuta waziri anaongea kitu kisicho na mashiko. Kwa mfano unaweza kumkuta waziri wa mifugo anapima urefu wa mbuzi machinjioni ili kubaini mbuzi anaefaaa kuliwa.
 

Labda kichwa chako ni kina makapi.

Kwa kusema hivyo ina maana yuko unayemsujudu
 
Umempiga pabaya sana huyu member

Atajiona Kilaza ambaye hajui historia ya nchi hii

Nimecheka sana ulivyomjibu, Muda huu atakuwa anauma uma meno
Sio kosa lake inawezekana enzi za Mzee Mwinyi alikuwa hajazaliwa.
Hivyo msimlaumu sana.
 
Mwinyi na Salimin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…