zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Ilihali gharama za maisha ziko juu, umeme usione na uhakika, tozo, n.k? WaTanzania sio wajinga wanaona mijadala ya bunge na wanajua ni mzigo hospitali ni Kodi zao Wala sio mfuko wa Jimbo au hisani ya mbunge.Kwa hospitali hii mbunge wa Biharamulo Ezra CHIWELESA atapita bila kupingwa
USSR