Tangu uhuru mpaka leo ndio Biharamulo inapata hospitali ya wilaya

Tangu uhuru mpaka leo ndio Biharamulo inapata hospitali ya wilaya

Jitihada za mbunge wa Biharamulo Ezra CHIWELESA amefanikisha ujenzi wa hospitali ya wilaya ambayo ndio imeanza kutoa huduma za awali

Biharamulo ni wilaya kongwe zilizoanza tangu ukoloni ziwa kundi moja na Nairobi,handeni na n.k ila sasa ndio inapata hospitali ya wilaya huku wilaya mpya kama Chato zikiwa na hospitali ya kanda

Hongera sana mbunge wa Biharamulo Ezra CHIWELESA angalau sasa huduma hizi zitapatikana kwa hospitali ya umma badala teule ya RC


USSR View attachment 2520176View attachment 2520177View attachment 2520178
Rais Samia Suluhu amefanya kazi kweli kweli ndani ya miaka 2 ya uongozi wake amefanikiwa kusogeza vituo vya afya karibu na wananchi
 
Hata Karagwe Kwa Bashungwa yaani mwaka huu ndio Wamepata hospital baada ya Samia kutoa pesa.

Nshomile ni Bure kabisa
Kulikuwa na wilaya zaidi ya 150 hazina hospitali ya wilaya,wewe umeona Biharamulo tu

USSR
 
Rais Samia Suluhu amefanya kazi kweli kweli ndani ya miaka 2 ya uongozi wake amefanikiwa kusogeza vituo vya afya karibu na wananchi
Hope uchaguzi mkuu ujao CCM itashinda au unasemaje

USSR
 
Hata Karagwe Kwa Bashungwa yaani mwaka huu ndio Wamepata hospital baada ya Samia kutoa pesa.

Nshomile ni Bure kabisa
Kama nshomile ndo wanajenga hospital za serikali basi ni bure kweli....

Hiv ile hospital ya nyakahanga ni nini...maana imekuwepo kabla ya wew kuzaliwa
 
We shukuru, wenzio mpaka leo hawajapata. Wanatumia huduma za mashirika ya dini, hata kama huipendi. Utafanyaje wakati serikali imewazira?
 
We shukuru, wenzio mpaka leo hawajapata. Wanatumia huduma za mashirika ya dini, hata kama huipendi. Utafanyaje wakati serikali imewazira?
Imezirai wapi mzee

USSR
 
Kwa hospitali hii mbunge wa Biharamulo Ezra CHIWELESA atapita bila kupingwa

USSR
Apite bila kupingwa. !! Pesa ametoa yeye au huyo mnayembasibu?? Hii pesa za walipa Kodi na Tozo!
Na isitoshe ni haki ya Serikali KUTOA huduma hizo bila kusifia.
 
Hii ya Biharamulo imejengwa na wote hata hizo unazisema zilianzishwa na Magufuli mama anamalizia

USSR
Toa upuuzi wako hapo, Mwendazake alianzisha hospital jumla 61 tuu miaka 6 aliyokaa madarakani

So toa 127 Kwa 61 zikizobaki ni za Samia.

On top of that Samia anajenga hospital ya Kanda ya Magharibi Kigoma, hospital ya Rufaa ya Mikoa ya Lindi,Ruvuma,Rukwa na Ukerewe.

Yote hayo ni ndani ya miaka tuu,huko kwenye Vituo vya Afya ndio usiseme.

Harafu Mwendazake ni WA ajabu sana alikuwa anaanzisha Ili amalizie nani Sasa?
 
Kama hio ni hospitali ya wilaya, vituo vya afya huko vikoje?
 
Toa upuuzi wako hapo, Mwendazake alianzisha hospital jumla 61 tuu miaka 6 aliyokaa madarakani

So toa 127 Kwa 61 zikizobaki ni za Samia.

On top of that Samia anajenga hospital ya Kanda ya Magharibi Kigoma, hospital ya Rufaa ya Mikoa ya Lindi,Ruvuma,Rukwa na Ukerewe.

Yote hayo ni ndani ya miaka tuu,huko kwenye Vituo vya Afya ndio usiseme.

Harafu Mwendazake ni WA ajabu sana alikuwa anaanzisha Ili amalizie nani Sasa?
Una mimba ya mwendazake sio bure binti mbona hasira hivyo hii ni mijadala tu ,tuseme haikujenga kanisa

USSR
 
Una mimba ya mwendazake sio bure binti mbona hasira hivyo hii ni mijadala tu ,tuseme haikujenga kanisa

USSR
Ukibanwa kende Kwa kukosa hoja lazima utafute kujifariji.

Mwendazake was a looser kila siku nakuambia
 
Ukibanwa kende Kwa kukosa hoja lazima utafute kujifariji.

Mwendazake was a looser kila siku nakuambia
Ila wafu wanamenda na humu hamchoki kumosti hata Samia mwenyewe alisema hawezi kuvaa viatu vyake maana jamaa alikuwa sio mtu wa mchezo

USSR
 
Unachobisha nini?, nenda kawaulize wazee wa chato km mzee Bigambo,mbanda wanamjua haswa huyu jamaa.
Jamaa gani hapo chatu

USSR
 
Back
Top Bottom