Tangu Uhuru, wakazi wa jiji la Dar es Salaam wanarundika ndoo zenye maji ndani

Tangu Uhuru, wakazi wa jiji la Dar es Salaam wanarundika ndoo zenye maji ndani

Riskytaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2024
Posts
568
Reaction score
2,522
Katika karne hii ya 21, bado watu wa Dar wanapambana na changamoto za maji, wakihifadhi madumu na mandoo katika hofu ya kukatika kwa huduma hiyo muhimu. Hali hii inatia huzuni, kwani hata mvua inyeshapo, maji hayapatikani kwa masaa 24 kwa wiki.

Tukilinganisha na nchi kama China, yenye watu 1.3 bilioni na upatikanaji wa maji wa asilimia 100%, tunaona tofauti kubwa. Kila raia wa China ana uhakika wa kupata maji masaa 24, huku sisi tukikabiliwa na tatizo hili linalohitaji ufumbuzi wa haraka.

Waziri wetu wa Maji anaonekana kuwa na hotuba za kufokafoka tu, bila hatua za maana. Ikiwa tungekuwa na uwezo wa kuhoji viongozi wetu, hali hii isingekubalika.

Tuna haja ya waziri ambaye anaweza kusimama na kusema kwamba ndani ya mwaka mmoja, mabomba yote Dar yatatoa maji masaa 24. Ikiwa atashindwa, anapaswa kujiuzulu mara moja.

Tukubali kwamba ni wakati wa mabadiliko. Wale walio madarakani wanapaswa kufukuzia maendeleo, na ikiwa hawawezi, ni lazima waondoke ili wengine wapate nafasi ya kufanya kazi hiyo.
 
Chama kipi kukupe full supply ya maji home? Hiki cha Kukamata wananchi 502 kisha kuwasafirisha makwao.
 
tuko karne ya 21 lakin bado watu wa dar wanapambana na .mandoo ,madumu na majaba yenye maji ndani

yaani unakuta mtu kapangilia minara ya madumu na mandoo ya maji ndani kuhofia kukatika maji

dar inyeshe mvua liwake jua bado maji hayatoki masaa 24 kwa week

china ina watu 1.3bilion upatikanaji wa maji ni asilimia 100% yani kila mtu ana uhakika wa maji.24hrs

sisi huku tuna waziri wa kufokafoka tu ukiangalia cha maana anachofanya ni hakuna .

tungekua na uwezo wa kuhoji mambo CCM isingefanya huu upuuzi.

tatizo uwezo wa kuhoji mambo ni sifuri.

waziri wa maji tunaemtaka ni mtu ambaye anaeweza kusimama na kusema ndani ya mwaka mmoja mabomba yote dar yatatoa maji masaa 24 akishindwa anajizulu hapohapo .






KUNA MUDA WATANZANIA TUKUBALI MADADILIKO WALIOPO MADARAKAN EM WAPUNZIKE WAJE WENGINE NAO WAKISHINDWA WANAONDOKA HIVYO TU
Tunaambiwa kuna kampeni ya "kumtua mama ndoo kichwani"; ilihali wanaonekana pichani wakimtwisha mama ndoo kichwani. Zilonga mbali, zitendwa mbali...!!!
 
Nchi imedumaa kwa kung'ang'ani mfumo wa Ujamaa. CCM na wote wanaoizunguka ni stupidit.
 
Tunaambiwa kuna kampeni ya "kumtua mama ndoo kichwani"; ilihali wanaonekana pichani wakimtwisha mama ndoo kichwani. Zilonga mbali, zitendwa mabali...!!!
Haa Wanawatwisha Ndoo Wakina Mama
 
Tuko karne ya 21 lakini bado watu wa Dar wanapambana na .mandoo ,madumu na majaba yenye maji ndani

Yaani unakuta mtu kapangilia minara ya madumu na mandoo ya maji ndani kuhofia kukatika maji

Dar inyeshe mvua liwake jua bado maji hayatoki masaa 24 kwa week

China ina watu 1.3bilion upatikanaji wa maji ni asilimia 100% yani kila mtu ana uhakika wa maji.24hrs

Sisi huku tuna waziri wa kufokafoka tu ukiangalia cha maana anachofanya ni hakuna .

Tungekua na uwezo wa kuhoji mambo CCM isingefanya huu upuuzi.

Tatizo uwezo wa kuhoji mambo ni sifuri.

Waziri wa Maji tunaemtaka ni mtu ambaye anaeweza kusimama na kusema ndani ya mwaka mmoja mabomba yote dar yatatoa maji masaa 24 akishindwa anajizulu hapohapo .

KUNA MUDA WATANZANIA TUKUBALI MADADILIKO WALIOPO MADARAKAN EM WAPUNZIKE WAJE WENGINE NAO WAKISHINDWA WANAONDOKA HIVYO TU
Kisima cha maji ni kati ya 7mln na 18mln kuchimba, lkn wanavijiji bado wanategemea maji ya vidimbwi au mito, wanakunywa wanaugua serikali inaangaika kujenga zahanati eti eneo lile wagonjwa wamekuwa wengi bora tuwasogezee huduma za afya karibu.
 
Back
Top Bottom