Andiko lako likekuja muda Sahihi,Cha msingi kama serikali imeshindwa kuwalinda raia wake kwa vitendo basi Kila mtu atambue kuwa usalama wa mwili wako ni wewe mwenyewe hivyo basi Anza kujilinda wewe mwenyewe.
Andiko lako likekuja muda Sahihi,Cha msingi kama serikali imeshindwa kuwalinda raia wake kwa vitendo basi Kila mtu atambue kuwa usalama wa mwili wako ni wewe mwenyewe hivyo basi Anza kujilinda wewe mwenyewe.
Hii kamata kamata na utekaji ina baraka kubwa sana kuliko watu wanavyozania!
Kamata na utekaji imeonekana ni mbinu inayolipa haraka zaidi kuliko ile ya ustaarabu!
Hivyo ni vigumu mno sasa hivi kwa raia kutofautisha yupi ni mtekaji na yupi ni askari!
IFAHAMIKE Kuna ile KAULI ya Polisi sheria kwamba UKIMZUIA ASKARI AKIWA ANATEKELEZA MAJUKUMU YAKE NI KOSA, Hili peke yake linaweza kupelekea wewe kufungwa JELA au kuunganishwa na mtuhumiwa!
Polisi Halazimishwi kuvaa sare wakati wowote anapotekeleza majukumu yake, lakini pia polisi kuna kipengele kingine kinaitwa ANAWEZA KUTUMIA NGUVU YA KADRI ili kumdhibiti wanaedai ni mhalifu!
Sasa kwa hayo hapo juu ni RAIA Gani ataweza kutofautisha zoezi hili la utekaji na lile la ukamataji wa polisi kwa nguvu ya kadri?
Ukiwazuia wanakuunganisha kwenye utekaji!
Sioni wa kumzuia mtekaji! Watu pekee ambao huwa angalau na uthubutu kidogo ni kina mama,
kina mama angalau wakiwa wawili watatu huwa hawaogopi sheria na hujikuta wanapiga kelele za ujasiri!
Lakini wanaume wengi huwa wanatafakari kabla ya kuingilia kati, moja ya tafakari huwa ni hii USIMZUIE ASKARI KUTENDA KAZI YAKE.
Hili la ukamataji na utekaji ni vigumu sana kulitenganisha na POLISI kwasababu mbinu ya VIKOSI KAZI vya serikali kuanzia mgambo, polisi, jeshi wooote ili wapate matokeo ya haraka wanatumia mbinu hii!
Kama kweli polisi wanalaani wapige marufuku ukamataji wa hivyo na jamii ifahamishwe kupitia vyombo vya habari kwamba popote watapoona watu wanaojitambulisha kuwa naaskari kwa style hiyo wapigwe mawe!
Lakini kusema tu mkiona tukio pigeni simu polisi mnapaswa kujiuliza mnamshitaki nani polisi wakati ndo huyo yupo doria uraiani akidaka watu!
Yaani ni sawa uwapigie emergency tanesco kwa kukatiwa umeme na mafundi emergency waliokuja kukata umeme bila sare!
Niliwahi pia kushauri haya katika mada hii lakini watu tunapenda zaidi kujadili umbea wa bartazari na si mambo ya msingi.
Kila sehem tunalaani! Tunalaani! Tunalaaani! Yaani sisi afrika hatujui mambo mengine yanahitaji vitendo! Jeshi la polisi linalaani... Mashejh wanalaaani... Waziri analaaani... Wachungaji wanalaani.. Wananchi wanalaaani.. Bunge linalaaani... Rais analaaani... Yaani watu tunaotegemea mkae...
Watu pekee ambao huwa na uthubutu kidogo ni kina mama, kina mama angalau wakiwa wawili watatu huwa hawaogopi sheria na hujikuta wanapiga kelele za ujasiri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.