Tangu waizime WhatsApp GB huduma ya WhatsApp imepoteza mvuto

Tangu waizime WhatsApp GB huduma ya WhatsApp imepoteza mvuto

Poleni. Sisi huku upande mwingine tumefurahishwa sana na hatua hii mana watumiaji wa hii WhatsApp GB walikua wanatukwaza sana kwenye baadhi ya vitu. Kama kitu nimekosea kutuma nikakifuta, kwanini uendelee kukiona, hili na mengine mengi yalikua hayako sawa kabisa
 
Hivi Coca-Cola inaweza mshitaki mtu na kumfunga kwa kosa la kukutwa anakunywa Coca-Cola fake?.
WhatsApp haina wabunifu, watulie watu wachague wenyewe kile wanapenda.
Fake haina ulinzi wakati wao WhatsApp wanajinadi ni end to end kwa usalama wa taarifa zao sidhani kama tunaweza kuwakosoa hao jamaa wakati tupo busy kulalamika Sukari imepanda bei mara mafuta yamefichwa...
 
Fake haina ulinzi wakati wao WhatsApp wanajinadi ni end to end kwa usalama wa taarifa zao sidhani kama tunaweza kuwakosoa hao jamaa wakati tupo busy kulalamika Sukari imepanda bei mara mafuta yamechichwa...

Ulinzi dhidi ya nani?. Anae amua/kutaka taarifa zake ziwe safe ni mtumiaji ama mtengenezaji?.
Gb WhatsApp ina policies zao, kabla ya kuipakua inakupa uzisome na wapo wazi kuhusu swala zima la Ulinzi wa taarifa zako.
Hakuna judicy itanihukumu kwa kosa la kuweka mlango wa Mabua kwenye nyumba yangu.
Mimi ni hoe hae, mkulima na mfugaji nani atahiji taarifa zangu?.
Kwa kuzingatia ilo nimechagua Gb whatap ila na WhatsApp wanakuja nifungia Gb WhatsApp yangu et kisa haina usalama wa taarifa zangu, usalama wa taarifa zangu unawahusu nini wao ikiwa mimi sijali?.
 
Hakuna Namna Mpaka Itakapotokea Tena Sijui Lini
Nadhani Umesikia Ethiopia Kule ATM Zimetema Dollar Bila Mpango Unataka Kutoa Dollar 5 Yenyewe Inatema Dollar Laki
 
Hivi Coca-Cola inaweza mshitaki mtu na kumfunga kwa kosa la kukutwa anakunywa Coca-Cola fake?.
WhatsApp haina wabunifu, watulie watu wachague wenyewe kile wanapenda.
Nadhani kosa ni jina yaani cocacola wewe ukaita cocacola gb, halafu na kuingilia uhuru wa watumiaji wa official cocacola.
Nimeongea kwa kudhani tu.
 
Natumia official whatsapp kwa miaka mingi na nafurahia huduma zao.
 
Ulinzi dhidi ya nani?. Anae amua/kutaka taarifa zake ziwe safe ni mtumiaji ama mtengenezaji?.
Gb WhatsApp ina policies zao, kabla ya kuipakua inakupa uzisome na wapo wazi kuhusu swala zima la Ulinzi wa taarifa zako.
Hakuna judicy itanihukumu kwa kosa la kuweka mlango wa Mabua kwenye nyumba yangu.
Mimi ni hoe hae, mkulima na mfugaji nani atahiji taarifa zangu?.
Kwa kuzingatia ilo nimechagua Gb whatap ila na WhatsApp wanakuja nifungia Gb WhatsApp yangu et kisa haina usalama wa taarifa zangu, usalama wa taarifa zangu unawahusu nini wao ikiwa mimi sijali?.
OK sawa mkuu nadhani wao wapo kwa ajili ya usalama kwa watumiaji wao sisi wauza dagaa tumejichanganya tu ndio maana tunasema hatujali ila Application nyingi hata simu zenye usalama zaidi ndio itathamiwa sana kama unaona Security kwako sio kipaumbele jua umewavamia tu na wao hawapo kwa ajili ya Wavamizi...
 
Ile ilikuwa inaruhusu kuona kama mtu alituma kitu akakifuta wewe unaona na hakifutiki.
Ilimchoma boss mmoja alimtumia surbodinate wake 💋💞 kwenye official group akaifuta kumbe walimwengu bado wanaione
 
Hivi Coca-Cola inaweza mshitaki mtu na kumfunga kwa kosa la kukutwa anakunywa Coca-Cola fake?.
WhatsApp haina wabunifu, watulie watu wachague wenyewe kile wanapenda.
Hawawezi kumfunga anayekunywa coca feki ila wanaweza kumpeleka mahakamani aliyetengeneza feki kwa kukopi features za coca.

Hata iPhone walishawapeleka mahakamani Samsung(?) kwa kuiga baadhi ya features zao.
 
Mimi kama Mimi, labda kwa upeo wangu finyu wa kufikiri... Nawaona developers wa GB Whatsapp ndio hawana akili!

Kwa uwezo huo walionao wa ku-Clone Whatsapp halisi na kuiongezea ladha....

Wangetumia uwezo huo huo!... Kutengeneza app yenye jina tofauti na wastsapp.. waiuze play store.. wangeona kama watu tusingeinunua!

Kuliko kutumia jina la brand ya mtu mwingine kinyemela kama walivyokuwa wakifanya.
 
Hawawezi kumfunga anayekunywa coca feki ila wanaweza kumpeleka mahakamani aliyetengeneza feki kwa kukopi features za coca.

Hata iPhone walishawapeleka mahakamani Samsung(?) kwa kuiga baadhi ya features zao.
Wafanye hivyo na si kufungia WhatsApp za watu.. Watu wanapoteza vitu vya muhimu sana ndani ya hizo WhatsApp.
 
Thread ifungwe sasa, Jibu hili hapa limepatikana...

Nimefurahi sana kuona GBWhatsapp imekula ban.

Kwanza GB WhatsApp ilikuwa ni ya hovyo sana.
. Ilikuwa haina backup
Mbona wengine bado tunadunda......na zitakaa wiki chache ,watu watarudi tena,,,,uzuri ma hacker wake ni wa Iran nao wanapata raha kuwavuruga jamaa
 
Hivi Coca-Cola inaweza mshitaki mtu na kumfunga kwa kosa la kukutwa anakunywa Coca-Cola fake?.
WhatsApp haina wabunifu, watulie watu wachague wenyewe kile wanapenda.
Hawakushtaki bali wameban namba yako kwa kutumia unofficial app maana ile haiwork alone bali ni unofficial yet inatumia huduma zao kurun. So wameiburn out.
 
Hao WhatsApp GB watengeneze program kwa kutumia njia zao wane washindane na official WhatsApp
 
Mimi kama Mimi, labda kwa upeo wangu finyu wa kufikiri... Nawaona developers wa GB Whatsapp ndio hawana akili!

Kwa uwezo huo walionao wa ku-Clone Whatsapp halisi na kuiongezea ladha....

Wangetumia uwezo huo huo!... Kutengeneza app yenye jina tofauti na wastsapp.. waiuze play store.. wangeona kama watu tusingeinunua!

Kuliko kutumia jina la brand ya mtu mwingine kinyemela kama walivyokuwa wakifanya.
Au wangeuza hizo features kwa wenye whatsapp
 
Back
Top Bottom