Ulinzi dhidi ya nani?. Anae amua/kutaka taarifa zake ziwe safe ni mtumiaji ama mtengenezaji?.
Gb WhatsApp ina policies zao, kabla ya kuipakua inakupa uzisome na wapo wazi kuhusu swala zima la Ulinzi wa taarifa zako.
Hakuna judicy itanihukumu kwa kosa la kuweka mlango wa Mabua kwenye nyumba yangu.
Mimi ni hoe hae, mkulima na mfugaji nani atahiji taarifa zangu?.
Kwa kuzingatia ilo nimechagua Gb whatap ila na WhatsApp wanakuja nifungia Gb WhatsApp yangu et kisa haina usalama wa taarifa zangu, usalama wa taarifa zangu unawahusu nini wao ikiwa mimi sijali?.