Umbea mtupu!Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Atasema "ADA ZISHALIPWA"Na ukimuona mechi ijayo utasemaje Sasa
Akili kiazi.Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Ni muda wetu wanathimba kudai pwenti zetuYanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Atacheza CAF confederation cup 2024/2025Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Moja ya sifa ya watanzania wengi ni kuto kutumia akili Pacome amewezaje kucheza mechi za CAF bila kukidhi vigezo yaani Al Ahly hawana data za mchezaji aliwewafunga ila wewe unazo?Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Pole,m-mbea unadhan kila kitu ni umbea.umezoea umbea na hutumii ubongo.Umbea mtupu!
Usanii utawaponza utopolo.Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Uzi ufungweMoja ya sifa ya watanzania wengi ni kuto kutumia akili Pacome amewezaje kucheza mechi za CAF bila kukidhi vigezo yaani Al Ahly hawana data za mchezaji aliwewafunga ila wewe unazo?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ata ukataaa Uzi wake huuAtasema "ADA ZISHALIPWA"
Kwanini aliitwa national team na kukaa benchi kabisa? Hakuumia ile ilikuwa ni janja janja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani ivory coast waite majeruhi kutoka Tanzania!!!!!!Aliumia mechi vs Azam
Hii wanaita "wanajitekenya na kucheka wenyewe"Kwanini aliitwa national team na kukaa benchi kabisa? Hakuumia ile ilikuwa ni janja janja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani ivory coast waite majeruhi kutoka Tanzania!!!!!!
Pacome ni mchezaji wa kwanza kuitwa majeruhi? Inonga hakuitwa timu ya taifa akiwa majeruhi? au akili yako ni nzitoKwanini aliitwa national team na kukaa benchi kabisa? Hakuumia ile ilikuwa ni janja janja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani ivory coast waite majeruhi kutoka Tanzania!!!!!!