Tangu Yanga wafungiwe usajili na FIFA & CAF Pacome hakucheza tena

Tangu Yanga wafungiwe usajili na FIFA & CAF Pacome hakucheza tena

Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.

Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.

TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?

Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
tatizo la kuvimbiwa viporo ndio hii sasa umesikia intavyuu ya pacome na ya rais wa yanga? ukweli sasa si unao?
 
Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.

Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.

TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?

Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Kwa hiyo FIFA wakakwambia mchezaji gani ambaye usajili wake hautambuliwi?
 
Him ni kutokana FIFA kuwazuia kusajili kutoka na kutofuata taratibu za mifumo ya usajili.
Hivyo TFF fuateni taratibu za mpira, msifichefiche
 
Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.

Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.

TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?

Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Utakuwa umekatwa kichwa wewe!

Je Pacome hana leseni ya TFF kucheza ligi za ndani?

Je Pacome hana leseni ya CAF kucheza ligi zake?

Acha tabia za fisi kusubiri mkono udodoke apate kitoweo!
 
Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.

Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.

TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?

Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Hivi huyu aliyeanzisha huu uzi Mbona ha kupata Ban kwa kuandika uongo kuhusu Pacome
 
Utakuwa umekatwa kichwa wewe!

Je Pacome hana leseni ya TFF kucheza ligi za ndani?

Je Pacome hana leseni ya CAF kucheza ligi zake?

Acha tabia za fisi kusubiri mkono udodoke apate kitoweo!
Yule mvuta bangi Yericko Nyerere ndio amewaingiza mkenge.

Mtu wa Iringa anayeacha kutumia jina la baba yake mzazi anadandia jina la Nyerere atapata wapi akili?
 
Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.

Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.

TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?

Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Kwa nini usiwaulize FIFA na CAF ambap ndio walioifungia badala yale uilalamikie TFF.

Jinamizi la Yanga linakutesa sana; kila ukikurupuka kutoka usingizini unaona bango la yanga, unajifunika haraka haraka na kuuliza kwa nini TFF inaficha jina.
 
Kwa nini usiwaulize FIFA na CAF ambap ndio walioifungia badala yale uilalamikie TFF.

Jinamizi la YTanga linakutesa sana; kila ukikurupuka kutoka usingizingi unaona bango la yanga, unajufunika haraka haraka na kuuliza kwa TFF inaficha jina.
Baelezee 😁😁😁🤣😂
 
Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.

Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.

TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?

Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
TUNATAKA SHERIA IFUATE MKONDO WAKE TUTAENDA MPAKA FIFA
 
Back
Top Bottom