fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
tatizo la kuvimbiwa viporo ndio hii sasa umesikia intavyuu ya pacome na ya rais wa yanga? ukweli sasa si unao?Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Kwa hiyo FIFA wakakwambia mchezaji gani ambaye usajili wake hautambuliwi?Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Zero BrainKwanini aliitwa national team na kukaa benchi kabisa? Hakuumia ile ilikuwa ni janja janja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani ivory coast waite majeruhi kutoka Tanzania!!!!!!
Utakuwa umekatwa kichwa wewe!Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Huna akili.Pacome ni mchezaji wa kwanza kuitwa majeruhi? Inonga hakuitwa timu ya taifa akiwa majeruhi? au akili yako ni nzito
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hivi huyu aliyeanzisha huu uzi Mbona ha kupata Ban kwa kuandika uongo kuhusu PacomeYanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Watu wafupi hua mna shida sanaHuna akili.
Yaani Ivory coast iite majeruhi kutoka bongo??? Ubongo wako una funza
Yule mvuta bangi Yericko Nyerere ndio amewaingiza mkenge.Utakuwa umekatwa kichwa wewe!
Je Pacome hana leseni ya TFF kucheza ligi za ndani?
Je Pacome hana leseni ya CAF kucheza ligi zake?
Acha tabia za fisi kusubiri mkono udodoke apate kitoweo!
Taratibu zipi za mpira zaidi ya walichokifanya?Him ni kutokana FIFA kuwazuia kusajili kutoka na kutofuata taratibu za mifumo ya usajili.
Hivyo TFF fuateni taratibu za mpira, msifichefiche
Kwa nini usiwaulize FIFA na CAF ambap ndio walioifungia badala yale uilalamikie TFF.Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Baelezee ππππ€£πKwa nini usiwaulize FIFA na CAF ambap ndio walioifungia badala yale uilalamikie TFF.
Jinamizi la YTanga linakutesa sana; kila ukikurupuka kutoka usingizingi unaona bango la yanga, unajufunika haraka haraka na kuuliza kwa TFF inaficha jina.
TUNATAKA SHERIA IFUATE MKONDO WAKE TUTAENDA MPAKA FIFAYanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)