Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mleta mada kaona muda wa futari unachelewa.Mbona naona siku 2 na dakika 25 ni sawa na miaka 2905
Dk 25 kwa hesabu za miaka 1000 ni siku moja ni miaka 250!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada kaona muda wa futari unachelewa.Mbona naona siku 2 na dakika 25 ni sawa na miaka 2905
Nyote mfungo umewagonga mnaleta hesabu za ovyo tu bora mpumzike tuMleta mada kaona muda wa futari unachelewa.
Dk 25 kwa hesabu za miaka 1000 ni siku moja ni miaka 250!.
Soma maandiko kitabu cha ufunuo ipo wazi
Yesu yupo kwenye ulimwengu gani? Utaje. Umejuaje kama huo ulimwengu wake una mass kubwa zaidi?kwenda haraka kuliko ulimwengu alipo yesu ambapo kuna mass kubwa hivyo muda unaenda taratibu
Kwa raha na burudani mtakazozipata huko mtaona ni kama tu ila sio uhalisia.2 Petro 3:8 NEN
"Lakini wapendwa, msisahau neno hili: kwamba kwa Mwenyezi Mungu, siku moja ni kama miaka elfu..."
Ndio sababu mbinguni kuna raha
Yajue maisha ya Mbinguni, yana raha isiyo na kifani
Watu wengi wanahangaika usiku na mchana kutafuta raha na starehe za dunia hii, ambazo ni za muda mfupi, lakini hawajishughulishi kuhakikisha wanayo “tiketi” ya kuingia mbinguni kwenye raha na furaha ya milele. Labda ni kwa sababu hawajui maisha ya mbinguni yatakuwa ya namna gani. Nakutajia hapa...www.jamiiforums.com
Duh! Kazi ipo!Yesu yupo kwenye ulimwengu gani? Utaje. Umejuaje kama huo ulimwengu wake una mass kubwa zaidi?
Ndiyo, kazi ipo tena kubwa sana mkuu!Duh! Kazi ipo!
For sureNdiyo, kazi ipo tena kubwa sana mkuu!
Unaakili sana aiseeMiaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
Unaakili sana aiseeMiaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.
Dah!! Nilidhani nimekula miongo kadhaa kumbe bdo hata siku moja sijamaliza duniani?Miaka elf moja kwa Mungu ni sawa na siku moja.
Tunaweza dhani ni miaka mingi sana imepita toka Yesu aondoke duniani kumbe kwa Mungu ni sawa na siku mbili tu.