kule kanda ya ziwa kuna ya asili inaitwa kadogori inapigwa kwenye mikesha ya sherehe. Pia kuna ngoma wenyewe wanaita za majini zinapigwa na waganga wa jadi kutuliza mapepo
kule kanda ya ziwa kuna ya asili inaitwa kadogori inapigwa kwenye mikesha ya sherehe. Pia kuna ngoma wenyewe wanaita za majini zinapigwa na waganga wa jadi kutuliza mapepo