Tangu zamani nilishaapa kuwa nikiolewa siwezi kuishi na Mama mkwe wangu


Mwanakulitafuta
Mwanakulipata
Tulia dawa iingie
 
Kupitia huu mwandiko wako tayari nimeweza kugundua una umbo la namna gani.[/SIZE][/QUOTE]

piga ua atakua kimbaumbau flan hivi
 
Una nia OVU tangia mwanzo na Hili linadhihirika kupitia mama yako.
Tubu
 
Subiri msiba / sherehe utokee kijijini mkienda ukamuache huko
 
Mim nikimskia.or nikihis tuu kuwa mke wangu hampendi mama angu..bas huyo mke ataish kwa tabu sana...tabu snaaaa

Yaan ntampa adhab ambazo atataman asingenijua..kwanza ntazaaa nje kumkera tu.sirud nyumban.michepuko ya kutosha

Yan ni bora u pretend kumpenda maza
 
We always get lesson in a hard way. Nadhani huu msala umejiletea mwenyewe mpaka sebuleni kwako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ujue kuishi na mama yako sehemu uliyoolewa ni aibu! Kwani jamaa kaoa mama na mtoto??
 
Vipi kama mama yako ana tabia kama za mama yake huyu binti??? Kuna watu Wana tabia mbaya tu, sio sababu mama yako basi ndio awe malaika hata akikosea basi watu wakae wavumilie, Kuna wamama wengine vichomi kwelikweli tena mpaka unajiuliza huyu binadamu au vipi yaani, ni vile hana roho ya Utu wala huruma... Kabla hujamchukia mkeo kisa mama yako, Anza kutumia Muda wako kumjua mama yako yupoje kwa mkeo.... Hakuna hukumu inayotoka kwa kuangalia upande mmoja.
 
doh pole bidada.je hukujua tabia za mama yako kabla hujamchukua kuja mjini?

kama ulikuwa hujui basi ina maana kwamba hata wewe ni mtoto kama mama alivyo. nakushauri fika kwa viongozi wa dini husika ili ufikishe malalamiko yakonkwa hatma ya ndoa yako
 
Roho mbaya imekuponza....!

Ila tafuta wenye busara wamueleze bi mkubwa hasa kama una mjomba wako ndo itapendeza zaidi.
 
Wewe una roho mbaya mnoo, yaani eti ulikuwa umejiapiza kutoishi na mama mkwe tena mzee wa mungu! Na hizi ndio akili za mabinti wengi wa kileo.

Na hao wanaume suruali mnaowapata eti mie mama yangu nikitaka kuishi nae nikuulize wewe kuwa nimlete au la, hilo haliwezitokea. Nitachofanya ni kukupa taarifa tu sio kukuomba.

Mme wako ni mwanaume wa shoka, sio mwanaume suruali, na ndio maana hakukusikiliza ulipomkatalia mama yake kuja kuishi nae.

Sasa ukatarajia umkomeshe mmeo kwa kumtoa mama yako kwa mmewe (baba yako) kwa hila za kishetani (hiyo nayo ni kumkosea adabu baba yako ), sasa ubaya umekurejea kisha unaanza kulialia humu.

Na tayari umeshamvunjia ndoa baba yako sasa
 
Ita mchungaji akifika mwambie akufafanulie juu ya huu mstari Mwanzo 2:24, Waefeao 5:31 naamini had hapo wataondoka wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…