Tani 7,400 za mahindi zakosa soko

Tani 7,400 za mahindi zakosa soko

Mkuu Najua Porters Forces.., na hapa wewe naona unacomplicate issue hadi unafanya issue inakuwa ngumu kuliko ilivyo.., cha maana ni kuangalia tatizo na kutafutia solution Just KISS it ......., Naongelea miundo mbinu ni mibovu hivyo kuna mazao yanaozea mashambani..., au mimi nikichukua gunia moja la mahindi kule mabonde kuinama ili nililete mjini unadhani bei itapanda kiasi gani ?, na hio increase ya bei ni faida ya nani ? utaona kwamba hapa source of production itapungua sana kama miundo mbinu (mfano trains ambayo ni cheaper kuliko magari itatumika) hapu kutaongezeka margin ambayo either atakula mkulima, mfanyabiashara au mlaji kwa bei kupungua...
Mkuu hapa naona tunaenda kuchanganyana lets get to the basics first ili tujue tunacho debate ni nini haswa.

Ngojea mimi ni iweke hii situation kwa uraisi kama hoja yangu ilivyo

1. Mkulima ana gharama zake za uzalishaji na yeye atauza hili aweze sustain anacholima wakati huo akitegemea faida hili kuweza kuendesha maisha.

2. Kwa sasa Tanzania ina wafanya biashara wachache sana wanaoshiriki as intermediaries (in any form) na hawa ndio wanao dili na wakulima na hivyo kuweza determine thamani ya mazao shambani kutokana wingi au upungufu wa mavuno itategemea nani anakuwa upper hand on 'setting or taking the price' kwa kuwa chakula cha kumwaga it is obvious who is the setter there. Vivlevile bei za hawa jamaa wa-katikati pia zina amua chakula kiuzwe at what minimum price kwa walaji sokoni maana wao ndio price setters vilevile masokoni kwa wafanya biashara.

3. Kwa hivyo kwa maoni yangu nikiangalia gharama za bei ya chakula sokoni anazopewa mlaji na bei za mkulima kwa sasa
kuna nafasi kubwa sana kama nitaingia na strategy nzuri kwa mazingira ya sasa bila ya mtu wa kati. Tatizo ninalo liona ni kwamba wauzaji wa mwisho wengi na wakulima wadogo wengi hawana mitaji ya kuweza kumudu gharama za kutoka shambani mpaka sokoni wao wenyewe as intermediaries can. Na ndio kinachofanya bei ziwe juu for the most part sijui umenipata kwakuwa wao wana bargain power everywhere. Hila aina maana bei za sasa aziwezi kuwa challenged.
...........................................................................................................................................................

Aim ya mada sasa ilikuwa ku-address issue kama ifuatavyo iweje chakula kinaoza wakati bei za mkulima as they are kwa sasa bado kuna faida ya kutengenezwa kama chakula kikifika sokoni na bado kuna demand in supply isipokuwa gharama tu zinazuia wengine washindwe kununua kutokanana uhalisia wa mahitaji yao. Wengine wakaongeza kwa kusema na serikari yetu ns wenyewe pia wanachangia kwa kuzuia uuzwaji wa nje ata kama soko la ndani limeshindwa.

Ndio maana nikasema kama unaweza kumudu au unao mtaji wa kumfikia mkulima moja kwa moja wewe mwenyewe shambani nikimaanisha without relying in any form of services from the intermediaries ukirudi mjini una nafasi ya ku-exploit price gaps in the market na bado kupata faida, katika haya haya mazingira ya sasa ya biashara.

Sasa basi unachosema wewe ikiwekezwa miundo mbinu bora zaidi kama reli itaacha more margins (since it could be cheaper to ship or even add up the volume of farm products in the city)ambapo some one is bound to benefit, mimi sijafikia huko wala sibishii point hiyo; ndio maana nikasema kuwe pia na better fiscal policies and other supportive policies to nurture secretarial growth including what your mentoning.

Sasa basi Porter ameingia vipi sasa kwenye huu mjadala. Huyu bwana nimemleta as a frame work for policy makers in the long run in order to regulate the market maana kukiwa na intermidiaries wengi mkulima na yeye bargaining power yake inaongezeka, vilevile sokoni hawa jamaa uwezo ku-detect minimum prices kwaridhaa zao kama sasa utapungua maana watakuwa wanashindana na wao hivyo kuwapa nguvu vilevile final retailers ya kuweza ku- bargain, na bei za vyakula pia vilevile zinaweza kumfikia mlaji zikiwa nafuu (kuna maelezo mengi hapo ya how that could work). Na sisi tuko mbali sana na hapo maana kuna vitu vingi vinahitajika kisera kujenga mazingira ya kuweza kufanya biashara ziji regulate zenyewe, including ujenzi wa reli.

Kwa hivyo poter came just as a frame work for government to understand their future challenges or aspirations and at what position uchumi wetu wa biashara za ndani ulipo (there is an oligopoly) ya intermediaries kwa sasa na ili bei za soko ziendane sambasamba na faida ambazo zipo just above gharama ya uzalishaji kama nchi zingine za kibepari zinavyolenga kuna hitajika more players even under the current circumstances.
 
Eric Cartman

Naona unataka kutumia machine gun au gobore au bazuka kuua nzi.. ?

Ili nikupate vizuri ngoja niweke point yako kwa mstari mmoja tu.., wewe unachosema sababu hii inasababishwa na wanunuzi wachache (wanaokwenda kwa wakulima kununua) kwahio solution ni kuongezeka kwa wanunuzi (ambao mimi nawaita walanguzi)..

Sasa na mimi kukujibu vizuri nikakwambia mbinu bora zaidi sio kutegemea hawa wanunuzi (mimi ninawaita walanguzi) kuwa wengi.., sababu hata hivyo sasa wapo wachache pamoja na kulangua hayo mazao bado mlaji wa mwisho hanufaiki sana sababu kama miundo mbinu bado ni mibovu hata kufikisha mzigo sokoni kunaongeza gharama (hata kama huyu mlanguzi asingekuwa na tamaa ya faida kubwa ).

Pili nikasema ili mkulima nae anufaike ni mambo mawili makubwa inabidi yafanyike kwanza miundo mbinu mizuri ili hata mkulima mwenyewe aweze kufikisha mizigo yake sokoni (yaani mijini kwa walaji) au hao walaji waweze kupara urahisi wa kupata hayo mazao (hii itaondoa wale middlemen/walanguzi na mkulima kupata bei iliyo karibu na mlaji)

Pia inabidi wakulima wajiunge wenyewe kwa wenyewe ili kujitetea na kuweze kuuza mali zao kwa pamoja.., hapa watabargain bei nzuri as well as kuwa na vifaa kama storage ya kuweza kuweka mazao yao kwa muda mrefu pindi bei ikiwa mbaya as well as kuwa informed na ni storage kiasi gani ipo na mazao gani wanayo pungufu ili kuweza kutambua ni kipi cha kulima msimu ujao..

Ni hayo tu Mkuu kwahio hata hizo sera na kuita wafanyabiashara kufanya lobbying n.k. yote hayo yakifanyika mwisho wa siku utagundua kwamba tatizo litakuwa solved kwa hizo solutions nilizoweka hapo juu tu...
 
KeyserSoze

Hapa naona tusipoangalia tutakuwa tunazunguka mmbuyu tu maana kwa upande mmoja naona tunaongea kitu kilekile kwenye swala la umuhimu wa wakulima kuwa na sauti ya pamoja; ila sidhani kama umoja wao pekee utaisaidia kuwapa total advantage bila ya uwepo ya right market forces to their advantage. Na vilevile tunapishana kabisa kwenye mazingira ya biashara inavyofanyika kwa sasa particularly namna mfanya biashara anavyoweza kupanga strategy tofauti na kuweza kuuza bidhaa zake chini sokoni.

Baada ya kuisoma post yako kwa makini kitu ambacho nime note ya kuwa wewe udhani mazingira kama yalivyo could be utilized/exploited any further for business to gain advantages nor formulate different strategies in the existing market. Na hapo nadhani ndipo unapokosea kwa sababu kikubwa kwenye biashara ni execution plan kulingana na mazingira. So long as wapo watu au uwezekano wa kuweza ku access bidhaa regardless of the infrastructure there is always a room for competition because that is already a deterministic situation kwa hivyo risk zinaweza pimwa na itategemea how daring mfanya biashara alivyo and how they want to exploit that situation like any other business setting.

Kwa hivyo sioni miundo mbinu mibaya ina affect vipi bidhaa za sokoni permanently, unless labda useme wabeba bidhaa wote kwa sasa have done the same risk assessment, they have colluded in price settings and their charges are at borderline any lower they are in the reds and their businesses would be unsustainable. Lakini kama kuna uwezekano wa kushuka kwa bei ya usafirishaji na mfanyabiashara akapata faida still ina maana hata kama njia wanayopita ina mabonde ya vipi people will exploit that opportunity to get the upper hand.

Sasa hapo kuna mambo mengi strategy inayoweza pangwa mfano mtu mwenye malori hamsini plus his service charges na mtu mwenye malori 2 zikawa tofauti kabisa kutokana na risks za kibiashara, au mtu anaenunua kwa wakulima na kuuza mwenyewe sokoni akiwa na malori yake anaweza kuwa na strategy tofauti kabisa na wenye malori kwa sababu ya haulage pekee; na kama kuna ushindani wa kutosha ndio kabisa bei za uchukuzi zinaweza shuka zaidi mpaka kwenye kiwango cha mwisho mfanyabiashara kupata faida na mazingira haya haya yaliyopo.

Kwa hivyo basi kwa upande wangu nina angalia gharama za kusafirisha lori kutoka sokoni mpaka shambani na nadhani bado kuna nafasi kubwa sana ya faida bado. Binafsi niliona gharama za kutoka dar to iringa nikawa naangalia bei za nyanya, mapilipili oho, mchele na bidhaa zingine zinavyouzwa kwa gari tuliyokuwa tunasafiria kama tungejaza mzigo wa biashara nikaona kuna faida ya kutengenezwa baada ya kutoa gharama za safari na hata kama namlipa dereva, na kama ndio ingekuwa biashara ya kila siku hata nikitenga kiasi fulani cha service ya gari bado inalipa uku nikiwa chee sokoni. Kwa hesabu za haraka haraka kama ningekuwa na lorry moja tu (provided dereva alipindui trip ya kwanza tu), after a certain number of trips naweza kuwa na biashara ya fiada na yenye kueleweka kabisa huku nikiwa mimi natoa value prices sokoni, that is real kwa hesabu nilizoona mimi.

Sasa sielewe wewe kwanini unaona hilo aliwezekani, despite miundombinu iliyopo?
 
Tatizo serikali yenu sikivu ipo obsessed sana na figures za inflation!!!

Yani wao furaha yao ni ku report single diggit tu basi.
 
Nakubaliana na wewe,
Tunatakiwa tujiulize je tukijiunga tukawa kitu kimoja huku bado hatuaminiani na ndio maana vyama vya ushirika vilikufa sio kwa ajili ya kukosa soko bali ni viongozi kuwa wabinafi na kunza kuhujumu shirika.

Mie niko kwenye kilimo na ninapata chalenge nyingi kuanzia mtaji (masharti ya benki) watendaji (watu + Machines) sokoni (madalali + Bei)sana na kama ulivyosema bila kuwa nba mtaji wa kutosha hauwezi kufanya lolote zaidi ya kuwaneemesha madalali, ninaanda market research kwenye masoko ya dar kariakoo, mwananyamala, kisutu, kinondoni na mabibo lengo langu ni jinsi gani ninaweza kuondoa madalali pale nitakapo anza kuleta mazao yangu sokoni, Mungu akiljalia nitaiweka wazi hiyo ripot kwa faida ya watanzania wote, lengo ni kundoa madalali uchwara wanaoneemeka kwa kuwanyonya wakulima bila kuwekeza mtaji
 
KeyserSoze na Eric Cartman acheni hayo madesa mrudi tujadili wakulima wanavyotaabika...

Mkuu Eric ndio anaingia kwa kina Porter na Theories kibao (hadi kutuchanganya sisi wakulima) wakati mimi mkulima naenda kwa basics tu, yaani simple kwa kutumia mazingira yanayotuzunguka na kufanya vitu ambavyo ni easily implemented.., kwani wewe ulivyonisoma hujaona solutions nilizotoa ? Miundombinu mazao yafike kwa urahisi sokoni na kujiunga wawe wamoja ili wapate nguvu ya kuuza moja kwa moja kwa wateja na kuepuka walanguzi
 
Nakubaliana na wewe,
Tunatakiwa tujiulize je tukijiunga tukawa kitu kimoja huku bado hatuaminiani na ndio maana vyama vya ushirika vilikufa sio kwa ajili ya kukosa soko bali ni viongozi kuwa wabinafi na kunza kuhujumu shirika.
Mkuu siongelei vyama vya ushirika mfano kimoja kinashughulikia Tanzania nzima au chama ambacho kipo under government, naongelea vyama vidogo vidogo private, mfano ngazi ya kijiji n.k., ambapo kinakuwa na shareholders wachache (wakulima wenyewe) na hata kama ni kuajiri experts wanakuwa ni wachache pia ili kuweza kuwafuatilia, haya mambo sio mageni hata wakulima wakubwa Zimbabwe ndicho walichokuwa wanafanya wanajiunga hata wanapata uwezo wa kununua processing plants ili mazao yao yatoke kama finished products.., jambo ambalo hata ufanye nini mkulima mmoja as individual hawezi akafanya hilo, hata akiweza kufanya atakuwa ametoka kwenye kilimo na kuingia kwenye biashara ukizingatia profit kubwa inapatikana kwenye processing.., hivyo njia pekee ya huyu mkulima kunufaika na hizi pesa nyingi zinazopatikana after processing ni kuwa na chombo kinachofanya hii kazi (processing) kwa niaba ya mkulima na sio kwa niaba ya mfanyabiashara mwenye processing plant
 
KeyserSoze

Hapa naona tusipoangalia tutakuwa tunazunguka mmbuyu tu maana kwa upande mmoja naona tunaongea kitu kilekile kwenye swala la umuhimu wa wakulima kuwa na sauti ya pamoja; ila sidhani kama umoja wao pekee utaisaidia kuwapa total advantage bila ya uwepo ya right market forces to their advantage. Na vilevile tunapishana kabisa kwenye mazingira ya biashara inavyofanyika kwa sasa particularly namna mfanya biashara anavyoweza kupanga strategy tofauti na kuweza kuuza bidhaa zake chini sokoni.
Mkuu mambo yanayodetermine competition ni demand na supply sasa wewe nadhani unasema solution ni kuongeza demand ya wafanyabiashara wanaonunua bidhaa kwa wakulima (au sijakuelewa...) na mimi ukinisoma utaona kwamba ninasema hivyo hivyo ila badala ya kuongeza walanguzi wanaofata mizigo shambani mimi nasema patengenezwe miundo mbinu ambayo itakuwa rahisi kwa mizigo kufika sokoni, as well as kuruhusu mkulima auze popote anapoweza as well as wakulima wenyewe kuwa wamoja na kuweza kuwa na chombo chao cha kuwatafutia masoko ili kuondokana na ulanguzi.. hence kupata faida wanayopata walanguzi kwa sasa
Baada ya kuisoma post yako kwa makini kitu ambacho nime note ya kuwa wewe udhani mazingira kama yalivyo could be utilized/exploited any further for business to gain advantages nor formulate different strategies in the existing market. Na hapo nadhani ndipo unapokosea kwa sababu kikubwa kwenye biashara ni execution plan kulingana na mazingira. So long as wapo watu au uwezekano wa kuweza ku access bidhaa regardless of the infrastructure there is always a room for competition because that is already a deterministic situation kwa hivyo risk zinaweza pimwa na itategemea how daring mfanya biashara alivyo and how they want to exploit that situation like any other business setting.
Mfanyabiashara siku zote yeye anaangalia profit.., ananunua mahindi yakiwa bei rahisi anaweka bei zipande au anapeleka kule kwenye bei kubwa.., ila kwa Tanzania bei zikiwa kubwa pengine serikali inakataza wasipeleke kule kwenye bei kubwa kwa wakati huo, bei zikishuka na margins zikiwa ndogo mfanyabiashara haendi huko.., unajua kama profit na opportunity ipo watu watafanya tu.., sasa wewe unaposema watu wapate mitaji ili wawe na nguvu za kulima wenyewe na kusafirisha wenyewe (mmoja mmoja) hapo unakuwa unasahau umuhimu wa outsourcing.., ni vigumu mtu mmoja kufanya kila kitu mwenyewe vizuri, hata usafirishaji nayo ni biashara yenye changamoto zake na inahitaji experience yake sio kila mtu tu anaweza kuingia kwenye biashara ya usafirishaji (ila ikiwepo chombo cha wakulima kinaweza kusimamia hii na sio kutegemea huruma ya walanguzi)

Kwa hivyo sioni miundo mbinu mibaya ina affect vipi bidhaa za sokoni permanently,
Miundo mbinu mibaya ina-affect kubwa sana kwa bidhaa sokoni.., mfano kama kila gunia linatumia tshs 1000 kusafirishwa mpaka sokoni wakati kuna uwezekano wa kutumia tshs 500 kama usafiri ungekuwa rahisi basi hio ni pesa ambayo ingekuwa saved au pocketed by someone...

unless labda useme wabeba bidhaa wote kwa sasa have done the same risk assessment, they have colluded in price settings and their charges are at borderline any lower they are in the reds and their businesses would be unsustainable.
hapa naona tena tutakuwa tumeingia kwenye biashara ya uchukuzi, which as far as I know usafiri wa magari na bei wanazobeba mizigo na mizani tele barabarani sidhani kama bei zao hazipo fair.., kumbuka hii biashara pia inahitaji vipuri na service za magari.., na kuna baadhi ya mazao yapo ndani ndani kweli ambako labda baiskeli tu ndio inafika kwahio badala ya kutibu symptoms au badala ya kukata matawi ya magugu inabidi tuondoe kabisa na mizizi (yaani tuondoe kabisa tatizo kwa kuweka miundombinu mizuri) na sio kujaribu kushawishi watu wengi zaidi waingie kwenye biashara ya uchukuzi

Lakini kama kuna uwezekano wa kushuka kwa bei ya usafirishaji na mfanyabiashara akapata faida still ina maana hata kama njia wanayopita ina mabonde ya vipi people will exploit that opportunity to get the upper hand.
Je umefanya research ukaona kwamba hawa transporters wana-overcharge ?

Sasa hapo kuna mambo mengi strategy inayoweza pangwa mfano mtu mwenye malori hamsini plus his service charges na mtu mwenye malori 2 zikawa tofauti kabisa kutokana na risks za kibiashara,
Hivi kweli hata wewe nikupe leo billions of money unaweza ukafanya biashara kichaa ya kuweka lori kama 50 za kufata mazao vijijini na hizo barabara na ukizingatia haya ni mambo ya misimu na je msimu ukiisha bado hizo lori 50 zitapata kazi ya kufanya kuweza kusustain investment in the first place ?

au mtu anaenunua kwa wakulima na kuuza mwenyewe sokoni akiwa na malori yake anaweza kuwa na strategy tofauti kabisa na wenye malori kwa sababu ya haulage pekee; na kama kuna ushindani wa kutosha ndio kabisa bei za uchukuzi zinaweza shuka zaidi mpaka kwenye kiwango cha mwisho mfanyabiashara kupata faida na mazingira haya haya yaliyopo.
Hapo tunaongelea biashara mbili tofauti ulanguzi wa mazao na biashara ya uchukuzi jambo ambalo sio necessary kwamba mtu mmoja anaweza kuyafanya yote sababu yana changamoto tofauti na sio kwamba ni necessary biashara moja.., unapomwabia mlanguzi awe na gari zake hauna uhakika kutokana na experience yake kama ataweza kumudu biashara ya uchukuzi.., ila miundo mbinu ikiwa poa au wakulima wenyewe kupitia umoja wao wakiwa na gari zao hii itawasaidia sana
Kwa hivyo basi kwa upande wangu nina angalia gharama za kusafirisha lori kutoka sokoni mpaka shambani na nadhani bado kuna nafasi kubwa sana ya faida bado. Binafsi niliona gharama za kutoka dar to iringa nikawa naangalia bei za nyanya, mapilipili oho, mchele na bidhaa zingine zinavyouzwa kwa gari tuliyokuwa tunasafiria kama tungejaza mzigo wa biashara nikaona kuna faida ya kutengenezwa baada ya kutoa gharama za safari na hata kama namlipa dereva, na kama ndio ingekuwa biashara ya kila siku hata nikitenga kiasi fulani cha service ya gari bado inalipa uku nikiwa chee sokoni. Kwa hesabu za haraka haraka kama ningekuwa na lorry moja tu (provided dereva alipindui trip ya kwanza tu), after a certain number of trips naweza kuwa na biashara ya fiada na yenye kueleweka kabisa huku nikiwa mimi natoa value prices sokoni, that is real kwa hesabu nilizoona mimi.

Sasa sielewe wewe kwanini unaona hilo aliwezekani, despite miundombinu iliyopo?

Kwahio hapa huenda unasema kwamba wasafirishaji wana-overcharge au ?, naomba uniwekee hio breakdown tufanye hesabu ya lori limejaa nyanya huko Iringa mpaka kufika Dar litacost kiasi gani na faida itakuwa kiasi gani ?, kumbuka hapa ungezea risk ya nyanya kuoza njiani, kubondeka as well as kama sio regular hauna wanunuzi pale sokoni ukifika na mzigo na watu wakiona una shida wanaweza wakakugalaliza wakakupa bei ya kutupa au wanakwambia leo mzigo tunao mwingi..

Tofauti na kama hao wakulima wangekuwa wamoja huko iringa na wana-processing plant ya kutengeneza tomato na kusindika as well as kutokana na supplying ability kubwa wanaweza wakapata tender popote pale ya ku-supply nyanya
 
Chanzo: Mwananchi

My take;

Hivi katika nchi ambapo ni wengi tu wanaishi kwa mlo mmoja inawezekana vipi mahindi au chakula kikakosa soko, wafanyabiashara wa kitanzania inabidi waongeze ubunifu na serikari inabidi iweke mazingira mazuri ya kibiashara kwa sasa. Si kujenga miundo mbinu tu bali izingatie na majukumu mengine sanasana ya 'fiscal policies' itakayo enda sambasamba na ukuwaji wa microeconomics.

Binafsi bado nakataa sana bei za sokoni kwenye miji bidhaa nyingi za chakula ukichukulia bei za mkulima anazotoa, ni wakati sasa wafanyabiashara waanze ku-lobby ili waweze ku-exploit uwezo wa soko na kuwafikia wengi. Kwa sasa kiualisia itakuwa ngumu kutokana na uhaba wa few participants in the haulage sector akuna bei za ushindani, majukumu ya mikopo ina riba kubwa plus government taxes.

Ni wakati sasa pengine watu kama akina Mengi na wao waongeze jitihada kwenye ku-lobby kama viongozi wa umoja wa wafanyabiashara si kufikiria vitalu tu, wawausishe makundi ya wafanyabiashara wadogo, new enterprenuers kwenye bodi zao, kuwe na ushirikiano na vyombo kama TASO na makundi mengineo bila ya kusahau kutafuta wasomi wa kuwafanyia research na wao ili waweze jibizana na sera za serikari bila ya kuathiri maendeleo na kuongeza pressure yakuwekewa mazingira mazuri ya kibiashara ili bei za soko ziwafikie; ususan kwenye kodi na kwenye interest za mikopo.

Kwa kweli umaskini wetu ni wazi for the large part tunachangia mambo yanavyofanyika na wenzetu mbona maswala yenyewe yapo wazi na na yanataka ku-copy and paste tu, ok with a little bit of imagination required suitable in relation to the stage of our economy.
[/SIZE]

Hii "My take" yako ngumu kweli...
 
Mkuu mambo yanayodetermine competition ni demand na supply sasa wewe nadhani unasema solution ni kuongeza demand ya wafanyabiashara wanaonunua bidhaa kwa wakulima (au sijakuelewa...) na mimi ukinisoma utaona kwamba ninasema hivyo hivyo ila badala ya kuongeza walanguzi wanaofata mizigo shambani mimi nasema patengenezwe miundo mbinu ambayo itakuwa rahisi kwa mizigo kufika sokoni, as well as kuruhusu mkulima auze popote anapoweza as well as wakulima wenyewe kuwa wamoja na kuweza kuwa na chombo chao cha kuwatafutia masoko ili kuondokana na ulanguzi.. hence kupata faida wanayopata walanguzi kwa sasa

Mkuu huo ndio uhalisia soko lolote linakuwa determined na supply and demand na kwa sasa balance iliyopo aina faida kwa mkulima wala mlaji isipokuwa middle man kutokana na equilibrium ya wachezaji. Lakini kama ukiangalia mkulima anachozalisha (including surpluses inayotaka kuoza kwa kukosa soko) na wateja wanaoitaji hizo bidhaa kuna changamoto mbili muhimu ambazo zinaonyesha there is room for new entrants and make profit still kwa sababu gharama za uzafilishaji zinaweza kushuka zaidi na hivyo kupunguza bei za mnunuzi wa mwisho, wakulima wanaweza zalisha zaidi (provided technology inatumika) kwa maana hiyo if they can sell large volumes kuna huwezo wa kuwashusha bei zaidi, na chakula kikapungua bei zaidi huku kila mtu akafaidika kwa miundo mbinu hii hii ya sasa (of course ikiboreshwa na njia za usafishaji zikitanuka na kuwa nyingi as in substitute kama reli, au hata meli kutoka kusini huko pia kutatoa ushindani wa biashara na kuongeza faida zaidi kwa kushuka kwa bei sokoni lakini hata litokee lazima kuwe na wanunuzi wa kutosha) Kuna mengi hapo ya kufafanua ila naona tujikite kwenye simplicity kwa sasa.

Kwa hivyo wewe unachoona ulanguzi kwa sasa mimi naona ni wafanya biashara kutumia mazingira yaliyopo kujinufaisha wao, lakini mazingira yakibadilika na wakulima wakawa na option za wanunuzi mambo yatabadilika ni kosa kubwa sana serikari kuzuia wakulima kuuza nje, kwa sababu hata hao wanunuzi wa nje watabadilisha tabia za wanunuzi wa ndani na kuleta ushindani, unless labda serikari iweke price ceiling and flows kwenye sector hili ku manage gharama na kuwa fairness which is not a good economic policy to me same as limiting buyers to participate.

Ndio maana unaona wakulima wengine wanasema kutokana na mazingira ya sasa moja ya sababu hali zinazochangia huu ulanguzi nao ni upatikanaji wa funds kitu ambacho kina restrict option za kutunga strategy zenye faida kwa wakulima wengi kama huyu bwana hapo chini alivyosema na mimi kwenye post yangu namba moja nimegusia umuhimu wa government kuangalia fiscal policies za kwenye kilimo ie taxes and banks interests rates, hili kuweza kukuza sector.

Mie niko kwenye kilimo na ninapata chalenge nyingi kuanzia mtaji (masharti ya benki) watendaji (watu + Machines) sokoni (madalali + Bei)sana na kama ulivyosema bila kuwa na mtaji wa kutosha hauwezi kufanya lolote zaidi ya kuwaneemesha madalali


Hayo ya kuungana kwa wakulima as cooperative business/ mutual organisation na yenyewe yanachallenge zake vilevile kwakuwa ujatoa sababu muhimu za kwanini unaona itawapa bargaining power, how they suffer kwa sasa interms of prices kama individuals ili mtu ujue unachangia vipi either way in most cases it is not a bad idea hila navyoelewa mimi ili waringe inabidi wawe kwenye masako ambayo demand is high na kuna comlpication zake vilevile lakini kwanza inabidi uelewe nguvu halisi ya soko na kama kweli kuna faida za muda mrefu kwa kila mshirika maana kama mtauza kwa volume fulani kama shamba lako kubwa unanafsi kubwa sana ya kujikuta unapata kidogo as opposed kama ungekuwa mwenyewe kuna vitu vingi vya kuviangalia vilevile kwakuwa wewe huko kwenye kilimo may be you know better kunishinda kwa sasa sometimes experience is the teacher.

Mfanyabiashara siku zote yeye anaangalia profit.., ananunua mahindi yakiwa bei rahisi anaweka bei zipande au anapeleka kule kwenye bei kubwa.., ila kwa Tanzania bei zikiwa kubwa pengine serikali inakataza wasipeleke kule kwenye bei kubwa kwa wakati huo, bei zikishuka na margins zikiwa ndogo mfanyabiashara haendi huko.., unajua kama profit na opportunity ipo watu watafanya tu.., sasa wewe unaposema watu wapate mitaji ili wawe na nguvu za kulima wenyewe na kusafirisha wenyewe (mmoja mmoja) hapo unakuwa unasahau umuhimu wa outsourcing.., ni vigumu mtu mmoja kufanya kila kitu mwenyewe vizuri, hata usafirishaji nayo ni biashara yenye changamoto zake na inahitaji experience yake sio kila mtu tu anaweza kuingia kwenye biashara ya usafirishaji (ila ikiwepo chombo cha wakulima kinaweza kusimamia hii na sio kutegemea huruma ya walanguzi)
Siwezi kubishia hili ndio maana nikasema kila mtu anapanga strategy kutokana na mfuko wake hata unaofanya nao kazi wamejitokeza baada ya kuona kuna opportunity ya kusafirisha bidhaa lakini awataki kuuza wala kulima, business is about opportunities seen and seized to make profit kawa hivyo watu hawawezi kulima na kufanya kila kitu sawa kama wakulima kwenye mbinu za kupata faida wengine will manage to grasp all the opportunities wengine awataweza kutokana mfuko au pengine risk ambazo wapo tayari kuzi manage kuna maamuzi mengi ya kibiashara hapo ambayo mimi wala wewe atuwezi fikiria kwa niaba ya kila mkulima; kwanza watu wana level tofauti za kuridhika vilevile kwa hivyo nitaliwacha kama unavyoona wewe na malengo yako ya muda mrefu ila kumbuka kuna mbinu nyingi za kibiasharana na starategy nyingi kwenye industry moja tu.

Miundo mbinu mibaya ina-affect kubwa sana kwa bidhaa sokoni.., mfano kama kila gunia linatumia tshs 1000 kusafirishwa mpaka sokoni wakati kuna uwezekano wa kutumia tshs 500 kama usafiri ungekuwa rahisi basi hio ni pesa ambayo ingekuwa saved au pocketed by someone...
Sasa miundo mbinu ndiyo inayokuchaji ama tha haulage company. Maana unaweza kuboresha miundo mbinu kama lori moja tu ndio linaingia geita vijijini kuchukua mananasi ujue mtemi ataamua tu ni bei gani anapanga maana akiringa anajua sanasana utasubiri wenye baiskeli waje wanunue kupeleka masokoni, lakini yeye anaweza kupa bei ya chini lakini akachukua large volume, sasa imagine huyu anakutana na wanunuzi watatu wenye malori uoni kama mkulima anaweza kudengua na kuchagua mwenye bei nafuu ama? despite the existing miundo mbinu.

Je umefanya research ukaona kwamba hawa transporters wana-overcharge ?
I cant claim that never-the-less what i can testify ni kwamba kwa hesabu zangu mimi nilichokiona naweza uza rahisi zaidi kwenye soko na kupata faida just common sense assumed there must something wrong with the intermediaries or lack of knowledge i must say my inclination was much more with the former.


Hivi kweli hata wewe nikupe leo billions of money unaweza ukafanya biashara kichaa ya kuweka lori kama 50 za kufata mazao vijijini na hizo barabara na ukizingatia haya ni mambo ya misimu na je msimu ukiisha bado hizo lori 50 zitapata kazi ya kufanya kuweza kusustain investment in the first place ?
Try me kama unayo mkuu hiyo hela nakuhakikishia kazi yako wewe itakuwa kucheza na wajukuu tu au watoto ukichoka wewe na mkeo mnachukua holiday 'waikiki beach' and let me do the work.

Hapo tunaongelea biashara mbili tofauti ulanguzi wa mazao na biashara ya uchukuzi jambo ambalo sio necessary kwamba mtu mmoja anaweza kuyafanya yote sababu yana changamoto tofauti na sio kwamba ni necessary biashara moja.., unapomwabia mlanguzi awe na gari zake hauna uhakika kutokana na experience yake kama ataweza kumudu biashara ya uchukuzi.., ila miundo mbinu ikiwa poa au wakulima wenyewe kupitia umoja wao wakiwa na gari zao hii itawasaidia sana
there are a variety of business operation strategies in businesses that being one kama nilivyosema huwezo nao unachangia kutoa restriction what one could do.


Kwahio hapa huenda unasema kwamba wasafirishaji wana-overcharge au ?, naomba uniwekee hio breakdown tufanye hesabu ya lori limejaa nyanya huko Iringa mpaka kufika Dar litacost kiasi gani na faida itakuwa kiasi gani ?, kumbuka hapa ungezea risk ya nyanya kuoza njiani, kubondeka as well as kama sio regular hauna wanunuzi pale sokoni ukifika na mzigo na watu wakiona una shida wanaweza wakakugalaliza wakakupa bei ya kutupa au wanakwambia leo mzigo tunao mwingi.
Inalipa mkuu creativity tu inahitajika na kwa sasa sijalifanyia research ya kutosha regardless the opportunity was obvious nahitaji strategy tu ya kuuza kwa bei rahisi na mtaji wangu put it this way sifikirii mimi mwenyewe kwenda kukaa sokoni kariakoo lakini naona kuna business opportunity provided napata mtaji sahihi ya kuweza kufanya execution yangu inaenda na strategy zangu.

Tofauti na kama hao wakulima wangekuwa wamoja huko iringa na wana-processing plant ya kutengeneza tomato na kusindika as well as kutokana na supplying ability kubwa wanaweza wakapata tender popote pale ya ku-supply nyanya
Wale jamaa kwanza wapunguze kunywa ulanzi, kuduwa, majungu na wazee kuacha fukuzia vijibwa wakati wa mchana huko vijijini ndio wataweza fikiria mambo ya kusindika wanaridhika haraka sana wanyalukulo (kuna ukweli na joke hapo). On a serious note ndio maana serikari sasa imeanza kutoa somo la ujasiriamli kwa wakulima sio kutegemea wanunuzi wa misimu tu.
 
Mkuu huo ndio uhalisia soko lolote linakuwa determined na supply and demand na kwa sasa balance iliyopo aina faida kwa mkulima wala mlaji isipokuwa middle man kutokana na equilibrium ya wachezaji. Lakini kama ukiangalia mkulima anachozalisha (including surpluses inayotaka kuoza kwa kukosa soko) na wateja wanaoitaji hizo bidhaa kuna changamoto mbili muhimu ambazo zinaonyesha there is room for new entrants and make profit still kwa sababu gharama za uzafilishaji zinaweza kushuka zaidi na hivyo kupunguza bei za mnunuzi wa mwisho, wakulima wanaweza zalisha zaidi (provided technology inatumika) kwa maana hiyo if they can sell large volumes kuna huwezo wa kuwashusha bei zaidi, na chakula kikapungua bei zaidi huku kila mtu akafaidika kwa miundo mbinu hii hii ya sasa
Mkuu wazalishe zaidi tena wakati mazao yanaoezea kwenye maghala ?, alafu hii issue ilishatokea hata England miaka fulani kulikuwa na supply kubwa sana ya maziwa hivyo yakashuka sana bei, wakulima wakaona afadhali kuyamwaga kuliko kuyauza ili ku-create shortage hence demand.., Unachosahau ni kwamba ukiona mizigo haifuatwi sana na walanguzi fahamu kwamba margin imeshuka hata mlanguzi haoni faida kwahio anawekeza mtaji wake pengine... tofauti na kama stake holders wenyewe (wakulima) wangekuwa wana-direct link na soko hayo yasingetokea na hata ikiwepo surplus wangeweza kuhifadhi kutokana na uwezo mkubwa na facilities za kutosha (na hicho wasitegemee mfanyabiashara atawasaidia bali ni wenyewe wanaoguswa ndio wajisaidie au serikali ambayo ni kazi yake kuwaangalia wananchi wake)..

Wenzetu huko magharibi hakuna wakulima wadogo wadogo ni corporations kubwa zinatumia machinery na kuhusika na zao tangia lipo shambani mpaka linaingia kwa mlaji sasa sisi badala ya kuleta wawekezaji watunyonye hao hao wakulima wadogo wadogo waungane na kutengeneza corporation yao itakayowasaidia kwenye manunuzi ya mbegu mpaka utafutaji wa soko as well as usafirishaji wa mazao

Kwa hivyo wewe unachoona ulanguzi kwa sasa mimi naona ni wafanya biashara kutumia mazingira yaliyopo kujinufaisha wao, lakini mazingira yakibadilika na wakulima wakawa na option za wanunuzi mambo yatabadilika ni kosa kubwa sana serikari kuzuia wakulima kuuza nje, kwa sababu hata hao wanunuzi wa nje watabadilisha tabia za wanunuzi wa ndani na kuleta ushindani, unless labda serikari iweke price ceiling and flows kwenye sector hili ku manage gharama na kuwa fairness which is not a good economic policy to me same as limiting buyers to participate.
Hakuna mtu anayekataa kwamba kuruhusu wakulima wauze pale wanapotaka, tena kuwazuia sio tu kwamba ni vibaya bali ni ujambazi wa hali ya juu, Ila jambo unalosahau ni kwamba utake usitake papai linalotoka hapo Morogoro kuja Dar, lazima litakuwa na bei ndogo kuliko papai labda la kutoka Iringa.., sababu ni kwamba kuna cost za usafirishaji ambazo mimi kama mlanguzi taacha papai la Iringa lioze kwenye miti sababu nikilileta Dar there is no way nita-compete kwa bei na mtu aliyelitoa Morogoro

Ndio maana unaona wakulima wengine wanasema kutokana na mazingira ya sasa moja ya sababu hali zinazochangia huu ulanguzi nao ni upatikanaji wa funds kitu ambacho kina restrict option za kutunga strategy zenye faida kwa wakulima wengi kama huyu bwana hapo chini alivyosema na mimi kwenye post yangu namba moja nimegusia umuhimu wa government kuangalia fiscal policies za kwenye kilimo ie taxes and banks interests rates, hili kuweza kukuza sector.
Kwahio unasema kwamba tuongeze funds na mikopo kwa wakulima au ? Naomba niambie bila kuweka sawa miundombinu, wakulima kuwa na storage facility za kisasa na kusindika hizo funds zitamsaidia vipi huyo mkulima ? Zaidi ya kuzalisha zaidi na kuongeza manure ya uozo mwingi zaidi ?


Hayo ya kuungana kwa wakulima as cooperative business/ mutual organisation na yenyewe yanachallenge zake vilevile kwakuwa ujatoa sababu muhimu za kwanini unaona itawapa bargaining power, how they suffer kwa sasa interms of prices kama individuals ili mtu ujue unachangia vipi either way in most cases it is not a bad idea hila navyoelewa mimi ili waringe inabidi wawe kwenye masako ambayo demand is high na kuna comlpication zake vilevile lakini kwanza inabidi uelewe nguvu halisi ya soko na kama kweli kuna faida za muda mrefu kwa kila mshirika maana kama mtauza kwa volume fulani kama shamba lako kubwa unanafsi kubwa sana ya kujikuta unapata kidogo as opposed kama ungekuwa mwenyewe kuna vitu vingi vya kuviangalia vilevile kwakuwa wewe huko kwenye kilimo may be you know better kunishinda kwa sasa sometimes experience is the teacher.
Mkuu watu wanapoungana hata kwenye manunuzi lets say ya mbolea wanaweza wakanunua kwa jumla hence bei inashuka, pili wakiungana wanaweza wakaweka hata viwanda vya kusindika jambo ambalo mmoja mmoja asingeweza kutokana na mtaji kutokuwepo, Tatu kwenye masoko kama unapeleka chakula nje au kwenye makampuni makubwa wanaweza wakasema sisi tunataka minimum ton 10,000 jambo ambalo mkulima mdogo hawezi kuwa nazo ila kama mmejiunga ni kwamba wewe mkulima kazi yako ni kuvuna tu, gari la ushirika linakuja kwako linapima ni nafaka kiasi gani mnaandikishiana na baada ya mauzo unachukua chako..., na kama soko limedorora bado ushirika unaweza ukachukua na kuhifadhi kwenye facility zao.

Siwezi kubishia hili ndio maana nikasema kila mtu anapanga strategy kutokana na mfuko wake hata unaofanya nao kazi wamejitokeza baada ya kuona kuna opportunity ya kusafirisha bidhaa lakini awataki kuuza wala kulima, business is about opportunities seen and seized to make profit kawa hivyo watu hawawezi kulima na kufanya kila kitu sawa kama wakulima kwenye mbinu za kupata faida wengine will manage to grasp all the opportunities wengine awataweza kutokana mfuko au pengine risk ambazo wapo tayari kuzi manage kuna maamuzi mengi ya kibiashara hapo ambayo mimi wala wewe atuwezi fikiria kwa niaba ya kila mkulima; kwanza watu wana level tofauti za kuridhika vilevile kwa hivyo nitaliwacha kama unavyoona wewe na malengo yako ya muda mrefu ila kumbuka kuna mbinu nyingi za kibiasharana na starategy nyingi kwenye industry moja tu.
Cha kujiuliza ni kwamba is it efficient kwa mkulima kila mkulima kuwa na usafiri wake wa kupeleka mzigo wake mpaka sokoni ? au je ni advantage kwa mkulima/mtu ambaye hana experience na magari ajiingize kwenye biashara za magari ili tu aweze kufikisha mzigo sokoni ?, na baada ya msimu atapaki gari au ataendelea na biashara ya uchukuzi ?


Sasa miundo mbinu ndiyo inayokuchaji ama tha haulage company. Maana unaweza kuboresha miundo mbinu kama lori moja tu ndio linaingia geita vijijini kuchukua mananasi ujue mtemi ataamua tu ni bei gani anapanga maana akiringa anajua sanasana utasubiri wenye baiskeli waje wanunue kupeleka masokoni, lakini yeye anaweza kupa bei ya chini lakini akachukua large volume, sasa imagine huyu anakutana na wanunuzi watatu wenye malori uoni kama mkulima anaweza kudengua na kuchagua mwenye bei nafuu ama? despite the existing miundo mbinu.
The case kwamba kuna gari moja tu linaloingia Geita ndani kununua nanasi should tell you something.., jiulize ni kwanini wengine hawafiki huko wakati wapo ?
 
KeyserSoze Mkuu nimekusoma ingawa umeleta legitimate queries lakini naona kama vile unayotolea majibu mepesi sana tofauti na uhalisia wake jinsi mambo yanavyofanyika na kutekelezeaka kama unataka kufanya sustainable business. Ingawa nilia ahidi ntarudi jana usiku na maelezo lakini kila nilipo jaribu kutafuta angle ya kuanzia sikuona kwa sababu post ingekuwa ndefu sana ki maelezo na ingechukua a good chunk of my night wakati kulikuwa na kazi nyengine za kufanya kimaandishi na bado zipo zikiwa na deadline ya leo.

Vile vile ningeshauri upitie hii ripoti ya IMF "Tanzania economic update: "who wants a Job"? ambayo iliwahi wekwa jukwaa la siasa na inapatikana online without fuss. Kwa sababu hoja ulizo ziibua wewe zina ambatana sana na maoni ya waandishi wa ile ripoti kuhusu ufanyaji wa biashara Tanzania na kwanini asilimia kubwa ya wafanya biashara wanabaki wadogo wadogo na mambo luluki kuhusu overall business environment ndani ya Tanzania. Ningependa kujibu kwa kina ile tuwekane sawa kwenye post yako lakini muda na siku avinipi hiyo luxury kutokana na majukumu yaliyo jitokeza kwa hivyo nitaweka tu mawazo yangu kwa kifupi na kama mjadala utakuwa live by next week nta weza kufafanua zaidi.

Mkuu wazalishe zaidi tena wakati mazao yanaoezea kwenye maghala ?, alafu hii issue ilishatokea hata England miaka fulani kulikuwa na supply kubwa sana ya maziwa hivyo yakashuka sana bei, wakulima wakaona afadhali kuyamwaga kuliko kuyauza ili ku-create shortage hence demand..,
Mkuu hapa unachanganya mazingira matatizo ya sera za kutoa subsidies kuwapa wakulima ushindani ndio vitu vinavyosababisha sana europe kuwa na over production in farming; as opposed to our over production problem inayosababishwa na luck of business opportunities.

Ni hivi nchi za EU zinatofautiana kisera, sheria za kazi, mishahara, taxes na kufanya gharama za kuendesha biashara kuwa kubwa, on the other hand kuna nchi nyingine bidhaa zao bado ziko chini kutokana na gharama za uzalishaji. Sasa basi makampuni yanayo tumia hizo bidhaa wanaona kuna faida zaidi iwapo watachukua bidhaa za nchi nyengine kuliko kutumia za kwao. Katika mazingira hayo serikari kwa kushinikizwa mara nyingi na wakulima au their representative groups ujikuta wakitoa subsidies hili gharama za kuzalisha ndani zipungue hili waweze shindana na wazalishaji wa mataifa mengine na kulinda sector ya kilimo. Kinachotokea unakuta ni kwamba even after those subsidies bado wanajikuta wapo juu kwenye gharama na isitoshe wafanya biashara nao wana angalia maslahi ya muda mrefu. Kwa mfano kama wewe ni muuza maziwa fresh utakuwa na option ndogo sana kununua nje, lakini anaetengeza chocolate, cheesse and other dairy product can afford to continue with importation. Kwa hivyo maziwa largely yanabaki kwa sababu ya wanywaji tu lakini matumizi mengine wafanya biashara think they can get a cheaper deal elsewhere. Kwa sababu jamaa wana-subsidies lazima waonyeshe wanaendelea kuzalisha na ndio kinachotokea na kusababisha over production.

On the other hand sisi tunazalisha lakini atujafikia kiwango cha kusema tumezidisha consumption ya soko na kinaoza alikadhalika bado tunauwezo mkubwa sana wakuongeza kilimo, isipokuwa kilimo kunakuwa restricted na uwezo wa wateja wote wanunuzi wakibiashara na walaji wa mwisho. Kwa maana hiyo kwa wazalishaji (wakulima) kilimo kinakuwa kama bahati nasibu hakuna 'production possibility frontier' ya kujua uwezo wa soko, ukijumlisha na changamoto wakulima wenyewe ni wadogo wadogo halafu wapo wengi wakifukuzia wanunuzi wachache wanaokwenda mashambani.

Kwanini unaweza kuona intermediaries wana kila advantage huko mashambani yaani mkulima anaweza shushwa mpaka borderline ya faida na ndio maana wengi bado wana hali ngumu wakati middleman anauwezo wa ku-push mpaka kwenye bei ya juu kabisa ya uwezo wa mlaji.

Na kwa sababu hiyo equilibrium iliyo jitokeza ina maana wakulima wanahitaji more players to if they are to gain advantage kwa sababu huwezo wa soko bado upo especially kama tunaongelea nafaka ambapo ndio lishe kuu kwenye jamii na inatumika kwenye kila nyumba na wengi bado inawasumbua sana kuimudu sanasana mijini kutokana na gharama. Kwa hivyo kuoza kwa chakula ndani ya Tanzania auwezi kulinganisha na kuoza kwa chakula nchi za EU. Anyway kuna details nyingi sana hapa za kuweka especially upande wa Tanzania isipokuwa muda na ukubwa wapost inabidi nizingatie.

Unachosahau ni kwamba ukiona mizigo haifuatwi sana na walanguzi fahamu kwamba margin imeshuka hata mlanguzi haoni faida kwahio anawekeza mtaji wake pengine... tofauti na kama stake holders wenyewe (wakulima) wangekuwa wana-direct link na soko hayo yasingetokea na hata ikiwepo surplus wangeweza kuhifadhi kutokana na uwezo mkubwa na facilities za kutosha (na hicho wasitegemee mfanyabiashara atawasaidia bali ni wenyewe wanaoguswa ndio wajisaidie au serikali ambayo ni kazi yake kuwaangalia wananchi wake)..
Hili nalo ni tatizo lengine kama utasoma hiyo ripoti niliyokwambia utaona waandishi wanalitafsiri vipi jambo kama hili. Mimi nitakupa tu vidokezo vya ripoti na kama nilivyokwambia awali wewe unatoa picha halisi ya argument yao.

Jamaa wanadai asilimia kubwa ya wafanya biashara ni wadogo wadogo na wanamitaji midogo, biashara nyingi azina malengo ya muda mrefu wa kukuwa, wanfanyabiashara mbinu zao ni very predictable na main aim kwa wengi ni ku-sustain life biashara ni kama vile alternative ya kipato cha ajira. Lakini si wafanya biashara wengi wanamalengo ya kuwa akina mengi wala bakhresa.

Hao middle men sum up the argument above that everything is done simply. Mfanyabiashara makini awezi kuchagua route na kusubiri soko lipate nguvu ndio ajishirikishe kama angekuwa na madhumuni ya kutanuka. Huyo anaonekana ni mtu wa kubahatisha na mwoga wa kuongeza risk. Just as unavyo suggest mkulima awe na sehemu ya kuhifadhi mazao, same as distributor anatakiwa awe na warehouse yake yeye mwenyewe kwa sababu za kibiashara, huwezi kuchagua sehemu ya kufuata mzigo kama wewe ni mfanyabiashara makini. Unachofanya ni aggregate cost na kuweka unit cost thats how businesses think kama ikibidi unaweza shusha bei so long bado unabaki na faida ili kuuza haraka. Lakini kwa kushindwa kufikiria faida za muda mrefu na kuja na mikakati ya muda mrefu ya kibiashara ndio maana wenzetu wanona wafanyabiashara wengi wameridhika walipo na wengi hawakui miaka nenda miaka rudi.

Na tatizo sugu litabaki vivo hivyo middleman asilimia kubwa ya wateja wake watakua wafanya biashara wadogo wadogo na awa ndio wanaowafikia walaji wa mwisho. Kwa mlolongo wa chain hiyo advantage ya economies of scale inapotea kwa kila mtu na kusababisha bei ziwe juu pia vilevile kwa mlaji. Kuna mengi hapo ya kufafanuliwa kibiashara na maelezo ya kisera lakini muda ndio tatizo kwa sasa no wonder kilimo akina mchango kwenye GDP yetu.

Jaribu kufuatilia TBL sasa hivi inavyowafaidisha wakulima kutokana na hiyo economies of scale, sasa tanzania kuna masupermarket mangapi, viwanda vingapi na mashirika mengine yenye huwezo wa kudemand large volume au hata wakulima wenye uwezo wa ku-supply large volume if asked. With that nimeifikiria point yako ya ushirika oops it just at the bottom.

Wenzetu huko magharibi hakuna wakulima wadogo wadogo ni corporations kubwa zinatumia machinery na kuhusika na zao tangia lipo shambani mpaka linaingia kwa mlaji sasa sisi badala ya kuleta wawekezaji watunyonye hao hao wakulima wadogo wadogo waungane na kutengeneza corporation yao itakayowasaidia kwenye manunuzi ya mbegu mpaka utafutaji wa soko as well as usafirishaji wa mazao
Mkuu sidhani kama ili swala umelifikiria kwa kina it is one thing kupigania maslahi ya pamoja mfano bei ya pamoja ya soko, sera za kuwasaidia wakulima na mengineo kwenye ya external environmnet yanayo changia kumkandamiza mkulima. However it is also another thing kuweka responsibility za pamoja, wewe umeona hii kama ndio njia ya pekee ya kutatua tatizo lakini mimi naona huu ndio mwanzo wa matatizo.

Maana kwanza apart from mazao mkulima mdogo ana hela yoyote ya mtaji wa kibiashara, sasa unapoenda kukopa benki kufanya unayotaka kuyafanya na business plan yako kama wataikubali si kwa sababu ya wakulima ni kwa sababu it is viable.

Suppose ndio imekubaliwa na wewe umeshirikisha wakulima, kutokana na mikakati yako ya muda mrefu una wa convince watu ambao kwa sasa wanalima wakati mapato ya mavuno ndio akiba ya mwaka mzima halafu wewe unawaambia wa-retain profit kwa sababu za kukuwa au una mbinu gani za kutanuka huko mbele mpaka ufikirie kujenga viwanda maghala , usambazaji na mambo mengine yanayo hitaji hela. (hivi uliona kwenye TV soko la geita lilivyo ungua sio kwamba watu wanalalamika tu, wamama wanalia hapo utadhani wamefiwa au kuna multiple killings, jamani tutakufa, baba raisi tusaidie watoto watakula nini yaani mpaka mimi nikajisikia vibaya wamama wanavyo bubujikwa na machozi kisa soko tu limeungua). Sasa umeshajuwa wakulima kipato chao kwa sasa kikoje, volume wanazozalisha, uhakika wa wewe kuuza bidhaa, faida zao zikoje kushirikiana na wewe, nani atakae control ushirika, maamuzi yakibiashara yana amuliwaje, mgawanyo wa mapato ukoje, mikopo inahudumiwa vipi kuna mlolongo wa mambo mengi ya kujibiwa kuliko kudhani ni swala la kuwaita wakulima mniamini mimi tufanye abc.

Mkuu najaribu kufupisha najikuta maelezo ayatoshi na sehemu zingine ngumu kumeza urekebsihaji unahitajika lakini muda auko upande wangu kama nilivyosema mada ikiendelea nitachangia zaidi yale ambayo sijajibu siku zijazo kwa leo majukumu yanaita sasa also bear with typos for now.
 
Mkuu Eric Cartman

Kama ninakuelewa unasema wingi wa wafanyabiashara (sio necessarily wanunuzi) kutasaidia wakulima as well as kushuka kwa bei through competition.., kama ndivyo usemavyo naomba angalia tena hio scenerio...

Vile vile mkuu kuna kitu kinaitwa opportunity cost Mtu anaangalia pesa anazowekeza sehemu fulani na muda anaoweka je unaendana na kile anachokipata pale au ni bora pesa zile zile aziweke pengine huenda akapata faida zaidi..

Sasa kama kweli wewe unataka ujikite kwenye hii biashara ya kuchukua mazao huko vijijini na kuleta mijini (ukizingatia price sio guarantee na soko lako halina guarantee unless unapeleka mpaka nje ya nchi..) Sasa unadhani ni busara ku-invest kutoka kwenye kununua magari yako ya kuleta bidhaa zako, katika hizi hizi barabara zetu mbovu mbovu na huu mtindo wa kutumia madalali kuuza bidhaa ? Is this the best way of using funds ?
 
Last edited by a moderator:
Kenya wana njaa ya kufa mtu. Juzi kati walitaka tuwauzie tani laki mbili za mahindi srtikali ikaruhusu tuwauzie tani elfu hamsini Tu. Kwa nini hawa watu wenye mahindi mengi wasiruhusiwe wawauzie wapige hela? Viongozi tafakarini!
 
Mkuu Eric Cartman

Kama ninakuelewa unasema wingi wa wafanyabiashara (sio necessarily wanunuzi) kutasaidia wakulima as well as kushuka kwa bei through competition.., kama ndivyo usemavyo naomba angalia tena hio scenerio...
Mkuu

Nilichosema ni kwamba kwa sasa (based on mazao kukosa soko) ni kwa sababu hakuna wateja wengi wa mashambani (ambao wengi ndio wafanya biashara) lakini kuna demand bado ya chakula in the cities (kutoka kwa walaji wa mwisho).

Kutokana na uhaba wa participants especially intermediaries kuna sababisha wafanya biashara wachache wafukuzie mavuno mengi in that situation mkulima anaweza minywa mpaka just above gharama zake and in some instances kupata hasara kama tunazungumzia wakulima wadogo wadogo.

Nikaongezea mambo mawili wakulima hawajajua ni kiasi gani wanaweza lima kwa faida bila ya kuzalisha excesses (complicated considering over 70% of the population rely on farming) na bado soko la walaji alijakuwa exploited to the maximum kwa sababu wafanyabiashara wa kati bado wanao uwezo wa kuuza kwa nafuu zaidi, kuwafikia wengi zaidi, kwa mtiririko huo kununua mazao zaidi kutoka kwa wakulima na kupata faida bado za kibiashara (itategemea mtaji wa mtu, execution strategy yake).

Hivyo basi kwakuwa wafanya biashara wengi wameridhika na mambo yalivyo, wengi si wenye nia za kukua (buying in large volumes) ili mkulima kuweza ku negotiate bei nzuri zaidi/auze zaidi, inabidi wajitokeze wafanyabiashara wengine kutumia fursa zilizopo kwenye kilimo kwa sababu mavuno yapo, soko la walaji lipo, bei bado zinaweza kuwa chini na faida ikaonekana kwa mfanya biashara wakati.

Vile vile mkuu kuna kitu kinaitwa opportunity cost Mtu anaangalia pesa anazowekeza sehemu fulani na muda anaoweka je unaendana na kile anachokipata pale au ni bora pesa zile zile aziweke pengine huenda akapata faida zaidi..
If anything hii argument yako hapa ni sawa na mfano wako wa awali ni bora kufuata mazao yale yale morogoro na kuleta dar, kuliko kuyafuata Iringa it does make sense.

However 'opportunity cost' sometimes inaweza angaliwa interms of ukubwa wa biashara ya mtu kwenye kuchagua wapi pa kufuata mazao (lets assume wakulima wangekuwa wanazalisha just about enough maana hii hali ya sasa in terms of easy option kati ya morogoro au iringa kwenda dar inachangiwa pia na over production, wakulima kuzalisha zaidi ya mahitaji ya wafanya biashara) hivyo basi kama chakula kimeisha morogoro huna budi zaidi ya kukifuata Iringa. Na gharama tunajua zitaongezeka on that situation its the over all business strategy inabidi iangaliwe when weighing the 'opportunity cost' (particularly kama wateja wako na wewe are senstive to prices) sasa hapo kuna vitu kama pricing strategies, resource utilization, production cost, opportunity analysis na mambo mengi ya fikra za kibiashara zinazoendana na uwezo wa mtaji ili kupanga business strategy zinazoweza kufanya safari ya Iringa isiwe big deal after all, kwa sababu opportunity cost imewekwa kwenye malengo ya biashara (kuna mambo luluki hapo ya kuelezea kwa kina).

Sasa kama kweli wewe unataka ujikite kwenye hii biashara ya kuchukua mazao huko vijijini na kuleta mijini (ukizingatia price sio guarantee na soko lako halina guarantee unless unapeleka mpaka nje ya nchi..) Sasa unadhani ni busara ku-invest kutoka kwenye kununua magari yako ya kuleta bidhaa zako, katika hizi hizi barabara zetu mbovu mbovu na huu mtindo wa kutumia madalali kuuza bidhaa ? Is this the best way of using funds ?
Uanzi na biashara halafu ndio ujifunze ku-negotiate mazingira, unatakiwa uyajue mazingira ya biashara, nguvu za soko, profit potential ndio upange mipango yako ya kibiashara.

Kwa maana hiyo kwa mfano kama nataka kuuza mananasi dar sina sababu ya kupeleka lorry all the way to Geita maana kuanzia kibaha mpaka chalinze kuna wakulima wakumwaga wa mananasi, alikadhalika kama walaji wanapendezewa na mananasi ya Geita zaidi siwezi kuyafuata mananasi huko na lorry ambalo najua ili 'leaf spring' inaweza anguka anytime au wheel axle ikaenda upande mwengine, nevertheless i can risk that truck to Kibaha.

Kwa wale wanaopendezewa na mananasi ya geita wajue kabisa ntahitaji gari imara hivyo gharama za lorry in (depreciation estimates), funds set a side kwa sababu ya vipuri na gharama zote kibiashara zinakula kwao. On the other hand kama ni mfanyabiashara mkubwa na kuna demand ya mananasi ya kutosha na amna tofauti kati ya mananasi ya geita na pwani ina maana strategy mchanganyiko itahitajika ya kuweza kwenda geita na kibaha na bado kupata faida thats how organisations think of course the right capital is everything in determination of that strategy in the first place.
 
Back
Top Bottom