mamayoyo1
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,011
- 1,019
- Thread starter
- #41
"Leo (jana) tumeshuhudia Makampuni 3 kati ya 9 yakishinda tenda ya ununuzi wa ufuta wote uliokusanywa na wakulima wa Ruangwa,Nachingwea &Liwale(RUNALI).Mnada umefanyika ktk kijiji cha Mbondo,Bei ya Juu kwa kilo ni Tsh.2860 na wakulima wamekubali kuuza"~Rukia Muwango,DC Nachingwea