"Leo (jana) tumeshuhudia Makampuni 3 kati ya 9 yakishinda tenda ya ununuzi wa ufuta wote uliokusanywa na wakulima wa Ruangwa,Nachingwea &Liwale(RUNALI).Mnada umefanyika ktk kijiji cha Mbondo,Bei ya Juu kwa kilo ni Tsh.2860 na wakulima wamekubali kuuza"~Rukia Muwango,DC Nachingwea
Sasa hii picha ina taarifa gani ya nyongeza?Haijibu maswali yetu.
Unapata mashaka ya nini,toa transport cost,toa mtaji ,toa ushuru etc.Napata mashaka kuamini habari hii!So tsh Trilion 2.8+++ zililipatikana kwa mauzo hayo???Kumbe ufuta ni zaidi ya korosho kama inaingiza pesa zote hizo!
Hapo ni kwa 1milion tonnes,sasa tukisema 1.88 million tonnes inakuja tsh trilion 5.3++++!
Hii ndio inanifanya kupata mashaka sana na data zako!
Sasa hapo tani milioni 1.884 ziko wapi?
Haiwezekani lindi pekee zipatikane tani mil 1.884!Hizi ni data za kupika!Unapata mashaka ya nini,toa transport cost,toa mtaji ,toa ushuru etc.
Kama serikali inakusanya Kodi trillion 1 kwa mwezi unashangaa wafanyabiashara kufanya mauzo ya trillion 100 kwa mwezi,ikiwa tu hiyo Kodi ni asilimia 18 tu!!!
nafikiri ni kilo na sio tani kwakuwa sioni ghala la kuhifadhi mzigo wote huoNapata mashaka kuamini habari hii!So tsh Trilion 2.8+++ zililipatikana kwa mauzo hayo???Kumbe ufuta ni zaidi ya korosho kama inaingiza pesa zote hizo!
Hapo ni kwa 1milion tonnes,sasa tukisema 1.88 million tonnes inakuja tsh trilion 5.3++++!
Hii ndio inanifanya kupata mashaka sana na data zako!
Kwa kilo sawa,maana itakuwa tani 1000!nafikiri ni kilo na sio tani kwakuwa sioni ghala la kuhifadhi mzigo wote huo
Halafu hakubali kurudi hapa na kuomba radhi kuwa kadanganya.Ni kg siyo Tani... Mwandishi amenukuu vibayaaa..taharifa yake
lakini pia aliwataahadharisha kuhusu madhara ya kugomea bei.
Wewe dada wewe Nachingwea peke yao watoe tani million moja laki nane???? Katafute taarifa iliyo sahihi
Napata mashaka kuamini habari hii!So tsh Trilion 2.8+++ zililipatikana kwa mauzo hayo???Kumbe ufuta ni zaidi ya korosho kama inaingiza pesa zote hizo!
Hapo ni kwa 1milion tonnes,sasa tukisema 1.88 million tonnes inakuja tsh trilion 5.3++++!
Hii ndio inanifanya kupata mashaka sana na data zako!
Jamani wadau hebu tupeni data za kutosha kuhusu ufuta,ni kweli bei yake ni nzuri kiasi hicho?
Maana kama bei inapendeza,bora nipangishe nyumba yangu,nije huko kusini,niingie kwenye kilimo,maana hizi ajira,tumefanya karibu miaka 10,lakini benki hata 10M hakuna,na nje hata kupaki prado,hatuwezi