Tanroad hawajui barabara za kutatua foleni, wajifunze kenya

Tanroad hawajui barabara za kutatua foleni, wajifunze kenya

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Hapa ni kenya, huwezi kuta vitu kama hivi vimwjengwa na tanroad. Kimara kibaha barabara imekua kero kwa sababu hawakutumia akili, stop over, suka, temboni, kwa msuguri, kibamba, kiluvya etc ni baadhi yaaeneo hayalutakiwa kuwekwa mataa.
FB_IMG_1723892088115.jpg
 
Hapa ni kenya, huwezi kuta vitu kama hivi vimwjengwa na tanroad. Kimara kibaha barabara imekua kero kwa sababu hawakutumia akili, stop over, suka, temboni, kwa msuguri, kibamba, kiluvya etc ni baadhi yaaeneo hayalutakiwa kuwekwa mataa. View attachment 3072445
Ndugu Tabutupu acha uwongo. Pamoja na ubora na ukubwa wa barabara za Nairobi bado foleni ni kitu cha kawaida. Kinachosababisha doleni ni muda gani na watu wanaelekea wapi. Soma hapa chini kama utaoiona Dar katoka majiji 5 yenye foleni mbaya.
Screenshot_20240817_141523_Google.jpg


Watu mnadharau vya kwenu na kuabudu upuuzi tu
 
Hapa ni kenya, huwezi kuta vitu kama hivi vimwjengwa na tanroad. Kimara kibaha barabara imekua kero kwa sababu hawakutumia akili, stop over, suka, temboni, kwa msuguri, kibamba, kiluvya etc ni baadhi yaaeneo hayalutakiwa kuwekwa mataa. View attachment 3072445
Kuhusu barabara za mitaa kwa barabara ya Kimara Kibaha upo sahihi...yaani mtu analazimika kupita njia moja tu bila kujali umefika au bado safari inaendelea. Utakatia huko huko mbele...na ikitokea ajali barabarani nyote mnasimama kama mna ajali. Hakuna Njia mbadala.
 
Ndugu Tabutupu acha uwongo. Pamoja na ubora na ukubwa wa barabara za Nairobi bado foleni ni kitu cha kawaida. Kinachosababisha doleni ni muda gani na watu wanaelekea wapi. Soma hapa chini kama utaoiona Dar katoka majiji 5 yenye foleni mbaya.
View attachment 3072465

Watu mnadharau vya kwenu na kuabudu upuuzi tu
Unadhani anayeenda kununua Mzigo Karikoo na Anayeenda Lindi Mjini nani atakutana na vizingiti vya usafiri?

Je Wa Lindi atajivuna kuwa yuko kwenye jiji bora kwa kuwa anatumia muda mfupi kumaliza shughuli zake?..

Hapo Majiji yamejaa kutokana na umuhimu wa shughuli za uchumi na sio kwa sababu ya miundombinu mibovu.
 
Hapa ni kenya, huwezi kuta vitu kama hivi vimwjengwa na tanroad. Kimara kibaha barabara imekua kero kwa sababu hawakutumia akili, stop over, suka, temboni, kwa msuguri, kibamba, kiluvya etc ni baadhi yaaeneo hayalutakiwa kuwekwa mataa. View attachment 3072445
Nawaza hiyo mikato ingekuwa Dar Machinga hapo wangefurika balaa😆😆😆
 
Hapa ni kenya, huwezi kuta vitu kama hivi vimwjengwa na tanroad. Kimara kibaha barabara imekua kero kwa sababu hawakutumia akili, stop over, suka, temboni, kwa msuguri, kibamba, kiluvya etc ni baadhi yaaeneo hayalutakiwa kuwekwa mataa. View attachment 3072445
Ubora wa Miundombinu ya Barabara au Majengo huenda sambamba na ubora wa akili walizonazo Wajenzi wa miundombinu yenyewe.
Ukiona Kuna Barabara au Nyumba ambayo ni nzuri na Bora basi tambua ya kwamba hata Wajenzi wenyewe akili zao pia ni nzuri na bora, and vice versa is true.
 
Hapa ni kenya, huwezi kuta vitu kama hivi vimwjengwa na tanroad. Kimara kibaha barabara imekua kero kwa sababu hawakutumia akili, stop over, suka, temboni, kwa msuguri, kibamba, kiluvya etc ni baadhi yaaeneo hayalutakiwa kuwekwa mataa. View attachment 3072445
Sasa huo uchafu hapo utaufananisha na barabara 8 za kimara kibaha?

Halafu kwa sasa Foleni ni sababu ya 2 way roads magari yamekuwa mengi sana hivyo inaleta usumbufu anzia Ubongo mpaka Kimara, japo wanatanua ila sidhani kama itakuwa ya kiwango kama Kimara-Kibaha ile
 
Sasa huo uchafu hapo utaufananisha na barabara 8 za kimara kibaha?

Halafu kwa sasa Foleni ni sababu ya 2 way roads magari yamekuwa mengi sana hivyo inaleta usumbufu anzia Ubongo mpaka Kimara, japo wanatanua ila sidhani kama itakuwa ya kiwango kama Kimara-Kibaha ile
Barabara 8 za kimara zita prove ni uchafu zaid mataa yakianza kufanya kazi,
By the way sio nane tena, ni sita maana ile ya zamani katikati kuna nguzo za mataa, haitatumika tena
 
Ndugu Tabutupu acha uwongo. Pamoja na ubora na ukubwa wa barabara za Nairobi bado foleni ni kitu cha kawaida. Kinachosababisha doleni ni muda gani na watu wanaelekea wapi. Soma hapa chini kama utaoiona Dar katoka majiji 5 yenye foleni mbaya.
View attachment 3072465

Watu mnadharau vya kwenu na kuabudu upuuzi tu
Jaribu kutembea Nairobi, jamaa kwenye miundombinu wametuacha mbali sana
Kenha ni tofauti kabisa na Tanroads.
 
Barabara 8 za kimara zita prove ni uchafu zaid mataa yakianza kufanya kazi,
By the way sio nane tena, ni sita maana ile ya zamani katikati kuna nguzo za mataa, haitatumika tena
Mataa ni kukosa akili kwa wahusika ambao wanashindwa kujenga underground bridges kwa ajili ya watembeaji kwa miguu. Otherwise its a very nice project na imesaidia kupafanya maeneo ya nje ya mji kuwa karibu.
 
Back
Top Bottom