Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kuanzia kwa Mathias huko si ni njia mbili. Foleni haikwepeki mkuu, huwezi kutegemea njia 2 kwa nyakati za sasa. It was worth it during the 1980s-90s magari yalikuwa machache ila kwa population ya sasa na hali ya uchumi its a big joke. Mradi wa njia 8 ulitakiwa uendelezwe hadi chalinze.Nipo kibaha muda huu foleninkuanzia oicha ya ndege hadi mataa ya kwa Mathias