DOKEZO TANROAD Morogoro, Zebra ya Msamvu imefutika madereva wanatumia uzoefu kusimama Ili watu wavuke na mamlaka zimekaa kimya mpaka watu wagongwe?

DOKEZO TANROAD Morogoro, Zebra ya Msamvu imefutika madereva wanatumia uzoefu kusimama Ili watu wavuke na mamlaka zimekaa kimya mpaka watu wagongwe?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
762
Reaction score
1,597
Ni mwaka sasa tangu kivuko Cha waenda kwa mguu kifutike eneo na msamvu stand ya Dodoma, madereva wa barabara kubwa kama hii wanatumia uzoefu kusimama kuwa hapa Kuna kivuko. Mamlaka zipo na zimekaa kimya au mpaka watu wagongwe? Tusiishi kwa matukio tubadilike.
 
Sahini kabisa mkuu, pia lile bump hapo jirani na stend ya Dodoma yaani limechakaa vibaya sana
 
Ni mwaka sasa tangu kivuko Cha waenda kwa mguu kifutike eneo na msamvu stand ya Dodoma, madereva wa barabara kubwa kama hii wanatumia uzoefu kusimama kuwa hapa Kuna kivuko. Mamlaka zipo na zimekaa kimya au mpaka watu wagongwe? Tusiishi kwa matukio tubadilike.
Msanvu toka lini ikawa dodoma mkuu? Sema msanvu stend Morogoro. Hv pale zebra inakuwa wapi maana ile ninjia panda ya Iringa, dodoma na Dar es salaam?
 
Tangiapao madereva wa Moro hawampendi kuheshimu sana Zebra....na Matrafik wanachukulia powa tu
 
Ni mwaka sasa tangu kivuko Cha waenda kwa mguu kifutike eneo na msamvu stand ya Dodoma, madereva wa barabara kubwa kama hii wanatumia uzoefu kusimama kuwa hapa Kuna kivuko. Mamlaka zipo na zimekaa kimya au mpaka watu wagongwe? Tusiishi kwa matukio tubadilike.
Mazoea mpaka madhara yatokee
 
Msanvu toka lini ikawa dodoma mkuu? Sema msanvu stend Morogoro. Hv pale zebra inakuwa wapi maana ile ninjia panda ya Iringa, dodoma na Dar es salaam?
Stand ya dodoma ni maeneo karbu na tanesco mkuu
 
Msanvu toka lini ikawa dodoma mkuu? Sema msanvu stend Morogoro. Hv pale zebra inakuwa wapi maana ile ninjia panda ya Iringa, dodoma na Dar es salaam?
Msamvu kuna stand kuu ( ambayo ndio unaifahamu).
Eneo lile lile la msamvu, uelekeo wa Dodoma, kuna sehemu inaitwa "stendi ya dodoma", ni karibu na mitambo ya Tanesco
 
Stand ya dodoma ni maeneo karbu na tanesco mkuu
Mkuu dodoma ulienda zamani stendi iliyokuwa karibu na tanesco ilikuwa jamartin nyingine ya basi ilikuwa kwenye mzunguko wakwenda bungeni ila hii mpya hipo nanenane karibu na soko kuu la Ndugai.
 
Msanvu toka lini ikawa dodoma mkuu? Sema msanvu stend Morogoro. Hv pale zebra inakuwa wapi maana ile ninjia panda ya Iringa, dodoma na Dar es salaam?
Nje ya stand ya msamvu barabara ya kuelekea Dodoma kuna hiyo sehemu inajulikana kama stendi ya Dodoma
 
Mkuu dodoma ulienda zamani stendi iliyokuwa karibu na tanesco ilikuwa jamartin nyingine ya basi ilikuwa kwenye mzunguko wakwenda bungeni ila hii mpya hipo nanenane karibu na soko kuu la Ndugai.
Mkuu nadhan ww hujui watu wanazungumzia mada gani hapa tunamaanisha morogoro ukiwa geti la kuingilia magar ndn ya msanvu kwa upand wa pil kuna stand ndg ya magar yanayoenda gairo na dom hapo nd walibatiza stand ya dodoma mkuu
 
Hata katika vituo vya Njuweni na Shell ya Maili Moja Kibaha hali ni hiyo hiyo. Pundamilia zimefutika lakini TANROADS wapo kimya.
 
Hapo mpaka wagongwe ndo wataamka

Mkuu dodoma ulienda zamani stendi iliyokuwa karibu na tanesco ilikuwa jamartin nyingine ya basi ilikuwa kwenye mzunguko wakwenda bungeni ila hii mpya hipo nanenane karibu na soko kuu la Ndugai.
Jamaa hailewi SS watu wa Moro ulisema stand ya Dodoma tunaelewa wee kalia kusema jamatini mara ndugai wako.
 
Hata katika vituo vya Njuweni na Shell ya Maili Moja Kibaha hali ni hiyo hiyo. Pundamilia zimefutika lakini TANROADS wapo kimya.
Shida sana mkuu sijui hawajui majukumu Yao?
 
Mkuu nadhan ww hujui watu wanazungumzia mada gani hapa tunamaanisha morogoro ukiwa geti la kuingilia magar ndn ya msanvu kwa upand wa pil kuna stand ndg ya magar yanayoenda gairo na dom hapo nd walibatiza stand ya dodoma mkuu
Swadakta yeye anakomaa sijui njedengwa,ilazo,kisiasa, mtumba, sio Dodoma mjini
 
Msanvu toka lini ikawa dodoma mkuu? Sema msanvu stend Morogoro. Hv pale zebra inakuwa wapi maana ile ninjia panda ya Iringa, dodoma na Dar es salaam?
We jamaa muhaya wa wapi??
Mkuu dodoma ulienda zamani stendi iliyokuwa karibu na tanesco ilikuwa jamartin nyingine ya basi ilikuwa kwenye mzunguko wakwenda bungeni ila hii mpya hipo nanenane karibu na soko kuu la Ndugai.
Unatuaibisha wahaya wenzio KalyE'mpunu
 
Msamvu kuna stand kuu ( ambayo ndio unaifahamu).
Eneo lile lile la msamvu, uelekeo wa Dodoma, kuna sehemu inaitwa "stendi ya dodoma", ni karibu na mitambo ya Tanesco
Swadakta nafkiri atakuwa ameelewa
 
Back
Top Bottom