Hivi wewe ungekua unafanya kazi TANROAD ungekua unajituma kwa lipi?? Acha hawa nyumbu wagongwe mpaka watakapojielewa!! Watumishi wa umma wana moyo saaana
Traffic ndo msimamizi wa Sheria, unakuta Jamaa kapita zebra au maataa yamemsimamisha na mbele ya mataa Kuna traffic, lkn unakuta traffic wanakula buyu km vile hawaoni....