KERO TANROAD Tabora mko wapi? Barabara ya Shinyanga - Nzega changamoto

KERO TANROAD Tabora mko wapi? Barabara ya Shinyanga - Nzega changamoto

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Torra Siabba

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
243
Reaction score
287
Nilikuwa nasafiri hivi karibuni nikitoka Shinyanga kwenda Igunga, nikiwa kwenye gari sikuamini macho yangu, kama kilometa mbili kabla ya kufika Stendi kuu ya mabasi Nzega, barabara imeliwa na vile mvua zinanyesha kila wakati kila dereva anapita anakojua.

Kama Barabara itaendelea kuwa vile kuna hatari ya ajali kutokea, maana kama dereva ni mgeni anaweza kujitungua akajikuta mtaroni hivyo Tanroad mkoa wa Tabora hakikisheni ile baranabara hususan kile kipande kinatengenezwa ili kuweka usawa.

Ni kero kuwa na aina ya Barabara kama ile kusema ukweli.
 
Nilikuwa nasafiri hivi karibuni nikitoka Shinyanga kwenda Igunga, nikiwa kwenye gari sikuamini macho yangu, kama kilometa mbili kabla ya kufika Stendi kuu ya mabasi Nzega, barabara imeliwa na vile mvua zinanyesha kila wakati kila dereva anapita anakojua.

Kama Barabara itaendelea kuwa vile kuna hatari ya ajali kutokea, maana kama dereva ni mgeni anaweza kujitungua akajikuta mtaroni hivyo Tanroad mkoa wa Tabora hakikisheni ile baranabara hususan kile kipande kinatengenezwa ili kuweka usawa.

Ni kero kuwa na aina ya Barabara kama ile kusema ukweli.
Aliondoka nayo Mwendazake
 
Tanroads mbeya Hali ni mbaya kupita kiasi!
Tulia Ackson asaidie kusukuma hili jambo!
 
Kabisa yaani inatia aibu sema ndio hivyo hawana aibu
 
Back
Top Bottom