TANROADS hawana uwezo wa kudesign barabara nzuri kama za Kenya?

That's research mkuu Mpaka imeingia kwenye manuals zetu, PMDM inaruhusu asilimia 10 ya urefu wa Barabara kuwa ufanisi usioridhisha
 
Kabisa, kuna ziara moja nilikutana na Mama Ummy yule wa afya.

Alishuka kwenye hiyo LC300 alizonunua Mwigulu kwa mawaziri wenzie

Thamani ya hizo gari ni sawa na kituo 1 cha afya kwenye Kata huko Halmashauri
Nasikia zipo lc300 kibao zimepaki tuu bila matemgenezo, wameenda kununua nyingine.
 
Uwezo wanaona ila Sasa wanasingizia Bajeti ndogo.

Just imagine Budget ya Kenya ni Shilingi Trilioni 85 wakati ya Tanznaia ni Trilioni 55 ,Kuna Trilioni 30 zaidi Wametuzidi.
 
Hii ndo nchi ambayo inapotengwa pesa ya mradi wajuba wanaigawana kwanza kinachobaki kwa aibu ndo wanakielekeza kwenye mradi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…