TANROADS ifanyieni matengenezo barabara ya Shinyanga - Mwanza

TANROADS ifanyieni matengenezo barabara ya Shinyanga - Mwanza

jojipoji koromije

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,024
Reaction score
1,466
Jana Nilikuwa nikisafiri kutoka Dar to Mwanza for sherehe za Christmas & New year 2025 kwakweli safari ilikuwa nzuri sana tena nikakunjia njia ya Tabora baada ya kufika Manyoni; Shida ilianza baada ya kutoka Shinyanga especially pale junction ya Old Shinyanga road hadi Usagara Mwanza.

Dah safari iligeuka jehanamu!! Kwa njia ile ajali ni muda wowote!! Either upige shimo upasue tairi na kupindisha Rim au ukwepe Shimo mkutane uso kwa kwa uso na gari mnavyopishana au uchochole ukafie Vichakani!

Kwa kweli kwa hali hii TANROADS mmeamua tufie barabarani kwa makusudi.

Kama kazi hii imewashinda hamna uhalali wowote wa nyie kuwa hapo ofisini kwasababu mnatutia hasara watumiaji wa barabara hii na baadhi yetu kupoteza maisha.

Hii haiwezekani kuvumilika. Fikiria mimi wakati wa kurudi nimeamua nizungukie Geita, Runzewe Kahama Tinde ili tu kuepuka Kifo katika jehanamu yenu.

Hizi gharama nani atarudisha? Namshauri Mheshimiwa Rais aivunje bodi ya TANROADS na kufukuza Director na hawa mameneja wa Shinyanga na Mwanza maana kazi imewashinda.
 
Mwanza ilishatupwa kitambo tangu kifo cha Jpm, sio hiyo barabara ya Shinyanga tu (Kenyata Road) bali pia barabara ya Musoma (Nyerere Road) iko hoi nyembamba kama ulimi wa nyoka, ujenzi wa soko kuu umetelekezwa, SGR mkandarasi hayuko site, meli mpya imeanza kupata kutu kabla hata ya safari ya kwanza, uwanja wa ndege kama stendi ya daladala, Mwanza wanatakiwa wajiulize kama wanastahili kuirudisha serikali hii madarakani 2025
 
Jana Nilikuwa nikisafiri kutoka Dar to Mwanza for sherehe za Christmas & New year 2025 kwakweli safari ilikuwa nzuri sana tena nikakunjia njia ya Tabora baada ya kufika Manyoni; Shida ilianza baada ya kutoka Shinyanga especially pale junction ya Old Shinyanga road hadi Usagara Mwanza.

Dah safari iligeuka jehanamu!! Kwa njia ile ajali ni muda wowote!! Either upige shimo upasue tairi na kupindisha Rim au ukwepe Shimo mkutane uso kwa kwa uso na gari mnavyopishana au uchochole ukafie Vichakani!

Kwa kweli kwa hali hii TANROADS mmeamua tufie barabarani kwa makusudi.

Kama kazi hii imewashinda hamna uhalali wowote wa nyie kuwa hapo ofisini kwasababu mnatutia hasara watumiaji wa barabara hii na baadhi yetu kupoteza maisha.

Hii haiwezekani kuvumilika. Fikiria mimi wakati wa kurudi nimeamua nizungukie Geita, Runzewe Kahama Tinde ili tu kuepuka Kifo katika jehanamu yenu.

Hizi gharama nani atarudisha? Namshauri Mheshimiwa Rais aivunje bodi ya TANROADS na kufukuza Director na hawa mameneja wa Shinyanga na Mwanza maana kazi imewashinda.
Tupiako kapicha basi sisi kina Thomaso turidhike. la sivyo utatufanya tujue umesimuliwa tu kuhusu hiyo barabara.
 
Hiyo barabara toka mwaka 2021 inatengenezwa vipandevipande, nimeenda juzi mwaka huu, nimekuta bado wanatengeneza.

Sijui shida nini?
 
Jana Nilikuwa nikisafiri kutoka Dar to Mwanza for sherehe za Christmas & New year 2025 kwakweli safari ilikuwa nzuri sana tena nikakunjia njia ya Tabora baada ya kufika Manyoni; Shida ilianza baada ya kutoka Shinyanga especially pale junction ya Old Shinyanga road hadi Usagara Mwanza.

Dah safari iligeuka jehanamu!! Kwa njia ile ajali ni muda wowote!! Either upige shimo upasue tairi na kupindisha Rim au ukwepe Shimo mkutane uso kwa kwa uso na gari mnavyopishana au uchochole ukafie Vichakani!

Kwa kweli kwa hali hii TANROADS mmeamua tufie barabarani kwa makusudi.

Kama kazi hii imewashinda hamna uhalali wowote wa nyie kuwa hapo ofisini kwasababu mnatutia hasara watumiaji wa barabara hii na baadhi yetu kupoteza maisha.

Hii haiwezekani kuvumilika. Fikiria mimi wakati wa kurudi nimeamua nizungukie Geita, Runzewe Kahama Tinde ili tu kuepuka Kifo katika jehanamu yenu.

Hizi gharama nani atarudisha? Namshauri Mheshimiwa Rais aivunje bodi ya TANROADS na kufukuza Director na hawa mameneja wa Shinyanga na Mwanza maana kazi imewashinda.
Hakuna uwezekano wa kuwadai fidia hao TANROADS ama TARURA pindi gari lako linaharibiwa na barabara kutokana na ubovu wa barabara zao?

Mbona mamlaka ama mashirika mengine kama yenye kuhusiana na masuala ya umeme na maji kuna Mawakala wa kusikiliza kero za wateja na kutolea maamuzi. Kwanini kwenye barabara wasiwepo?

WANASHERIA waliopo hapa JF mnasemaje?
 
Jana Nilikuwa nikisafiri kutoka Dar to Mwanza for sherehe za Christmas & New year 2025 kwakweli safari ilikuwa nzuri sana tena nikakunjia njia ya Tabora baada ya kufika Manyoni; Shida ilianza baada ya kutoka Shinyanga especially pale junction ya Old Shinyanga road hadi Usagara Mwanza.

Dah safari iligeuka jehanamu!! Kwa njia ile ajali ni muda wowote!! Either upige shimo upasue tairi na kupindisha Rim au ukwepe Shimo mkutane uso kwa kwa uso na gari mnavyopishana au uchochole ukafie Vichakani!

Kwa kweli kwa hali hii TANROADS mmeamua tufie barabarani kwa makusudi.

Kama kazi hii imewashinda hamna uhalali wowote wa nyie kuwa hapo ofisini kwasababu mnatutia hasara watumiaji wa barabara hii na baadhi yetu kupoteza maisha.

Hii haiwezekani kuvumilika. Fikiria mimi wakati wa kurudi nimeamua nizungukie Geita, Runzewe Kahama Tinde ili tu kuepuka Kifo katika jehanamu yenu.

Hizi gharama nani atarudisha? Namshauri Mheshimiwa Rais aivunje bodi ya TANROADS na kufukuza Director na hawa mameneja wa Shinyanga na Mwanza maana kazi imewashinda.
 

Attachments

  • IMG-20241226-WA0017.jpg
    IMG-20241226-WA0017.jpg
    97 KB · Views: 2
Hakuna uwezekano wa kuwadai fidia hao TANROADS ama TARURA pindi gari lako linaharibiwa na barabara kutokana na ubovu wa barabara zao?

Mbona mamlaka ama mashirika mengine kama yenye kuhusiana na masuala ya umeme na maji kuna Mawakala wa kusikiliza kero za wateja na kutolea maamuzi. Kwanini kwenye barabara wasiwepo?

WANASHERIA waliopo hapa JF mnasemaje?
Naunga mkono hoja uanzishwe utaratibu wa kuwadai fidia hawa TANROADS once ukipata ajali au kupoteza maisha kwasababu ya ubovu wa barabara!! Ina kera sana kuna jamaa nilikuwa naongozana nao walikuwa kibati balaa!! Nikawakuta mbele tayari wamepasua tairi.
 
Je, kuna mfumo rasmi wa kuwasilisha malalamiko dhidi ya TANROADS?
 
Jana Nilikuwa nikisafiri kutoka Dar to Mwanza for sherehe za Christmas & New year 2025 kwakweli safari ilikuwa nzuri sana tena nikakunjia njia ya Tabora baada ya kufika Manyoni; Shida ilianza baada ya kutoka Shinyanga especially pale junction ya Old Shinyanga road hadi Usagara Mwanza.

Dah safari iligeuka jehanamu!! Kwa njia ile ajali ni muda wowote!! Either upige shimo upasue tairi na kupindisha Rim au ukwepe Shimo mkutane uso kwa kwa uso na gari mnavyopishana au uchochole ukafie Vichakani!

Kwa kweli kwa hali hii TANROADS mmeamua tufie barabarani kwa makusudi.

Kama kazi hii imewashinda hamna uhalali wowote wa nyie kuwa hapo ofisini kwasababu mnatutia hasara watumiaji wa barabara hii na baadhi yetu kupoteza maisha.

Hii haiwezekani kuvumilika. Fikiria mimi wakati wa kurudi nimeamua nizungukie Geita, Runzewe Kahama Tinde ili tu kuepuka Kifo katika jehanamu yenu.

Hizi gharama nani atarudisha? Namshauri Mheshimiwa Rais aivunje bodi ya TANROADS na kufukuza Director na hawa mameneja wa Shinyanga na Mwanza maana kazi imewashinda.
Hiyo barabara nilipita saa 7 usiku Mwanza to Dodoma niliichukia sana.
Ina mashimo hatari
 
Mwanza ilishatupwa kitambo tangu kifo cha Jpm, sio hiyo barabara ya Shinyanga tu (Kenyata Road) bali pia barabara ya Musoma (Nyerere Road) iko hoi nyembamba kama ulimi wa nyoka, ujenzi wa soko kuu umetelekezwa, SGR mkandarasi hayuko site, meli mpya imeanza kupata kutu kabla hata ya safari ya kwanza, uwanja wa ndege kama stendi ya daladala, Mwanza wanatakiwa wajiulize kama wanastahili kuirudisha serikali hii madarakani 2025
Kwa hadhi ya Jiji la Mwanza kama Mji namba mbili kwa Ukubwa Tanzania baada ya Dar es Salaam kwa kweli Hii Serikali ya Mama Samia Hassan Suluhu inatakiwa wakamilishe miradi yote Molina kwa jiji hili la sivyo itakuwa haijaitendea haki Jiji hili. Mfano mdogo barabara ya Kenyata ni balaa tupu!! Barabara unapiga shimo mwanzo mwisho ukifika pale wanapojenga SGR utadhani uko barabara za kijijini huko Kaliua na Sikonge. Aibu sana. Ila bado hawa TANROADS managers wa Mwanza na Shinyanga wajitathmini na waachie hizo ofisi za umma kwasababu kazi imewashinda; huwezi kubaki ofisini wakati barabara zina mashimo kama mahandaki. Oneni aibu achieni hizo ofisini.
 
Death Trap nyingine ni Dom-Iringa huku kifo nje nje.Yale sio Mashimo kuna mahandaki yanajitengeneza kule si mchezo.

Then ,kama sijakosea nisahihishwe,
Igawa -Mbeya ,uje ufike mlima nyoka ukutane na malori yale hayapandi na uwe na roho ya haraka ku overtake bila umakini.
 
Hicho kipande kina mashimo kiasi magari yanataka kupita upande Mmoja, pia kwanini wale jamaa SGR hawaonekani kule site? Mke wangu kahamishiwa Mwanza hapa naona kabisa mke nakosa Mwanza mbali sana,
SGR itasaidia sana
 
Mwanza ilishatupwa kitambo tangu kifo cha Jpm, sio hiyo barabara ya Shinyanga tu (Kenyata Road) bali pia barabara ya Musoma (Nyerere Road) iko hoi nyembamba kama ulimi wa nyoka, ujenzi wa soko kuu umetelekezwa, SGR mkandarasi hayuko site, meli mpya imeanza kupata kutu kabla hata ya safari ya kwanza, uwanja wa ndege kama stendi ya daladala, Mwanza wanatakiwa wajiulize kama wanastahili kuirudisha serikali hii madarakani 2025
Acha uongo Mwanza aliyeijali ni Mkapa pekee.JK na JPM kidogo sana.
Kwa sasa barabara zake zimechakaa sana hususan za kutoka na kuingia jijini.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Jana Nilikuwa nikisafiri kutoka Dar to Mwanza for sherehe za Christmas & New year 2025 kwakweli safari ilikuwa nzuri sana tena nikakunjia njia ya Tabora baada ya kufika Manyoni; Shida ilianza baada ya kutoka Shinyanga especially pale junction ya Old Shinyanga road hadi Usagara Mwanza.

Dah safari iligeuka jehanamu!! Kwa njia ile ajali ni muda wowote!! Either upige shimo upasue tairi na kupindisha Rim au ukwepe Shimo mkutane uso kwa kwa uso na gari mnavyopishana au uchochole ukafie Vichakani!

Kwa kweli kwa hali hii TANROADS mmeamua tufie barabarani kwa makusudi.

Kama kazi hii imewashinda hamna uhalali wowote wa nyie kuwa hapo ofisini kwasababu mnatutia hasara watumiaji wa barabara hii na baadhi yetu kupoteza maisha.

Hii haiwezekani kuvumilika. Fikiria mimi wakati wa kurudi nimeamua nizungukie Geita, Runzewe Kahama Tinde ili tu kuepuka Kifo katika jehanamu yenu.

Hizi gharama nani atarudisha? Namshauri Mheshimiwa Rais aivunje bodi ya TANROADS na kufukuza Director na hawa mameneja wa Shinyanga na Mwanza maana kazi imewashinda.
Hiyo barabara ukiambiwa pesa ya matengenezo iliyotumika hapo tangu miaka ya 2009,ni sawa na kujenga barabara mpya ya lami ya muitaliano kutoka Mwanza hadi Shinyanga.

Ni eneo la kimkakati la kupiga pesa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Mda Hua najiuliza kwanini tusianzishe Serikali za majimbo, hivi kweli Mwanza na Shinyanga waungane wanashindwa kujenga hicho kipande, au tuseme Dodoma na iringa wanashindwa kujenga hivyo Vipande, kwenye Rasimu ya Dira ya Taifa hili nalo liwe na umuhimu, Viongozi pia huwa na mahaba na vipaumbele vyao unaweza kuona sawa tu kwa vile regime hii imewapenda ila itakapo kuja regime nyingine ikawaweka kushoto ndo utajua umuhimu wake, Nashauri tuwe na Serikali za majimbo hapa hata upige kelele vip haitasaidia
 
Angalia na jionee fedha za walipa Kodi zinakoelekezwa.
Uniambie umaskini utaisha
 

Attachments

  • IMG-20241227-WA0036.jpg
    IMG-20241227-WA0036.jpg
    295.9 KB · Views: 2
  • IMG-20241227-WA0037.jpg
    IMG-20241227-WA0037.jpg
    269.2 KB · Views: 3
  • IMG-20241227-WA0039.jpg
    IMG-20241227-WA0039.jpg
    222.7 KB · Views: 3
  • IMG-20241227-WA0040.jpg
    IMG-20241227-WA0040.jpg
    150.2 KB · Views: 4
  • IMG-20241227-WA0038.jpg
    IMG-20241227-WA0038.jpg
    223.7 KB · Views: 2
  • IMG-20241227-WA0042.jpg
    IMG-20241227-WA0042.jpg
    230.8 KB · Views: 2
  • IMG-20241227-WA0043.jpg
    IMG-20241227-WA0043.jpg
    177.1 KB · Views: 2
  • IMG-20241227-WA0044.jpg
    IMG-20241227-WA0044.jpg
    237.2 KB · Views: 3
  • IMG-20241227-WA0046.jpg
    IMG-20241227-WA0046.jpg
    220.9 KB · Views: 3
  • IMG-20241227-WA0045.jpg
    IMG-20241227-WA0045.jpg
    248.1 KB · Views: 1
  • 20241227_074220.jpg
    20241227_074220.jpg
    184 KB · Views: 3
Back
Top Bottom